Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kagame ni general aliyechukua mafunzo ya juu kabisa kwenye chuo cha maofisa wa kijeshi USA Cha General Staff Colldege kilichopo Fort Leavenworth,Kansas. Ni jasusi aliyeiva kwelikweli.

Jeshi lake ni dogo lakini ni jeshi lililo imara na limekuwa tested kwenye trenches katika operations mbalimbali. Mobutu ameondolewa na Kagame via Laurent Desire Kabila hilo halina ubishi. Ameivuruga Kongo anavyotaka.amepimana msuri na Kaguta Mseveni ndani ya Kongo pale Kisangani miaka ya mwanzoni mwa 2000 na akamuonesha show ya kibabe. Na hawa wawili wote ni wafugaji,wamesoma wote na pia wamefanya harakati za mapambano wote.

Ripoti ya CIA inasema mataifa makubwa ya Zimbabwe na Angola yaliopogundua jeshi la Rwanda taifa dogo kuidhibiti Kongo na kuchuma mali,nao wakatuma majeshi yao Kongo kwa lugha ya kulinda amani Ila lengo ilikuwa kuidhibiti Rwanda na kuipunguzia ushawishi kwenye kanda ya maziwa makuu. Huyo ndo Kagame. Lakini wapi mda huu tukijadili haya jeshi la Kagame lipo Msumbiji likiwafyeka magaidi.

So kuliangalia jeshi letu kwa dharau yuko sahihi ,hapa kwetu tuna majenerali wanastaafu hawajawahi kuwa tested kwenye mapambano. Kazi kupasua matofali only for domestic intimidation kwa wapinzani wa CCM.

jipe muda wa kujielimisha na kuchimba....siasa ya dunia inataka ufuatili sana na ujue sana historia za mambo....yapo mengi kuliko hayo...
 
Mnamuonea sana jirani na ndugu yetu Kagame........

Tanzania ni "shock absorber" ya matatizo ya maziwa makuu....

Hapa ni nyumbani kwao.....ni mtoto wa Tanzania.....

Siempre JMT
 
Mh! Waganda wapi hao unawa-refer ndugu? Waganda hawa waliomwita Museveni makalio ndo unawasemea au waganda wengine? Pengine nimesoma vibaya.
Umesoma vibaya.. lengo la komenti ni kwmaba wabongo hupenda kumpraise sana kagame na rwanda
 
Kama kuna mtu ana wasiwasi na vikosi vya jamhuri afanye kwa vitendo. Maharamia wanalipa pesa mingi kuvushwa boda.
 
Bado ni upuuzi kufananisha jeshi la Rwanda na Tanzania. Hata awe amesoma wapi! Hayo majeshi ya Uganda na Congo DRC na magaidi wa Mozambique hayapo organized. Kuna ukabila,umaskini hayalipwi mishahara na matatizo kibao! Zaidi Kagame ni kibaraka wa makampuni ya wazungu! Wanamtumia kufanya machafuko Congo DRC na hata Mozambique ametumwa kulinda makampuni ya Ufaransa.

Pia hauwezi kuangalia uwezo wa jeshi la nchi kwenye gwaride na kutathimini uwezo wake. Ni mpuuzi tu anayeweza kufanya hivyo. Alimchokoza Kikwete akamfurumuaha kule Congo,kulinda amani ilikuwa gia tu. Na Kikwete angeendelea kuwepo madarakani Kagame asingedumu kwenye urais. Alijifanya kuzira kutumia bandari ya Dar akatumia bandari ya Mombasa mwisho wa siku akaomba yaishe baada ya kuingia gharama kubwa za kusafirsiha kupitia Kenya. So anaweza akapigwa kiuchumi kabla ya kijeshi.
Kagame ni general aliyechukua mafunzo ya juu kabisa kwenye chuo cha maofisa wa kijeshi USA Cha General Staff Colldege kilichopo Fort Leavenworth,Kansas. Ni jasusi aliyeiva kwelikweli.

Jeshi lake ni dogo lakini ni jeshi lililo imara na limekuwa tested kwenye trenches katika operations mbalimbali. Mobutu ameondolewa na Kagame via Laurent Desire Kabila hilo halina ubishi. Ameivuruga Kongo anavyotaka.amepimana msuri na Kaguta Mseveni ndani ya Kongo pale Kisangani miaka ya mwanzoni mwa 2000 na akamuonesha show ya kibabe. Na hawa wawili wote ni wafugaji,wamesoma wote na pia wamefanya harakati za mapambano wote.

Ripoti ya CIA inasema mataifa makubwa ya Zimbabwe na Angola yaliopogundua jeshi la Rwanda taifa dogo kuidhibiti Kongo na kuchuma mali,nao wakatuma majeshi yao Kongo kwa lugha ya kulinda amani Ila lengo ilikuwa kuidhibiti Rwanda na kuipunguzia ushawishi kwenye kanda ya maziwa makuu. Huyo ndo Kagame. Lakini wapi mda huu tukijadili haya jeshi la Kagame lipo Msumbiji likiwafyeka magaidi.

So kuliangalia jeshi letu kwa dharau yuko sahihi ,hapa kwetu tuna majenerali wanastaafu hawajawahi kuwa tested kwenye mapambano. Kazi kupasua matofali only for domestic intimidation kwa wapinzani wa CCM.
 
PK anauguza kansa ya ubongo!inawezekana ipo katika secondary stage na anaona marue rue kibao hadi anajichekea bila sababu!!!
 
jipe muda wa kujielimisha na kuchimba....siasa ya dunia inataka ufuatili sana na ujue sana historia za mambo....yapo mengi kuliko hayo...
Yap,tukianzia kuyasema tunayoyanjua kwanza huku tukiyaendea ambayo hatujayajua. Nadhani kwa kufanya hivyo ndo kujifunza kwenyewe.
 
Ila kwa kweli sikujua hasa shabaha ya waliotaka kuonesha vifaa vya kijeshi! Kama ni kuonesha tuna 'vifaa' wamefeli sana. Vingi ni obsolete na hata vimesahauliwa (Mig 21). Badali yake, imetoa picha kuwa hata makamanda wakuu wa jeshi letu hawajui maendeleo makubwa yaliyopo katika zana za kijeshi. Afadhali wangeficha aibu na kuleta kile tunachofanya vizuri zaidi tu: muziki.
Uhuru wetu hatukuupata kwa vita, wala hatuna vita hivi sasa au hatari ya karibu, kwa nini ikawa lazima kuonesha vifaa vya kijeshi kama 'maendeleo ya miaka 60?' hasa ukijua kuwa hatutengenezi chochote katika hivyo! Beats me.
 
Mtu pekee anaeweza kumu outsmart PK ni JK na mimi tu,, huyu jamaa tayari ana Blackhawk attack helcopters, na hii ni tabu kweli kweli,, inabidi angalau nasisi tutafute HIND..
In order to outsmart that guy, you must think like him,,, he is very smart
Rwanda ni mkoa wetu tu. Tukiutaka, tunauchukua. Kama Russia alivyo annex Crimea.
 
Ameona kitambo sana!! wenye jeshi lao kwa Asili wamewekwa kando sasa wamejaa wazaramo tupu! waosha kucha! .....kagame anajua bana ile zamani ile!!..wkt anaitafuta Rwanda kwa hali na mali, alikuwa na yare machamaa yare! yanaweza kusonga mbere bira buti ra fiatu.....

yare kwakweri jeshi ilikuwa Damuni! na nidhamu hasa! yakisema mbere ni mbere hayatanii! yarikomboa bara ra afirika yoote!! na huko yariacha matoto!! km zimbabwe mwee!! yaani yare ni mura kabisa! sasa bongo ya reo yamefitinika!! yamewekwa kando!

kagame anayakubali sana!! km wewe ni Mkurya nenda Rwanda jeshini!! unaanza na Sajenti hakuna kuruta mkurya kule!! hii ni siri nawapa! kina Muraaa! waree tu wanao penda jeshi!
Kwa hiyo Jeshi la watanzania makabila 120 liwe la kabila moja tu?!? Unatuongelea hisia tu......
 
Back
Top Bottom