Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

Kwanini Paul Kagame aangalie jeshi letu kwa dharau likionesha uwezo wake kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru?

PAKA mnamuoverate sana....mpaka sasa huwezi kulisifia jeshi la Rwanda aka RPF kama jeshi lenye nguvu maana halijawahi kupigana vita yeyote na jeshi lolote ambalo ni well organised..

Mobutu hakutolewa madarakani na Paka kama mnavyotaka kujiaminisha humu, Mobutu alitolewa madarakani na allied force baada ya watu kumchoka Mobutu, jeshi la Mobutu halikuwa na morali ya kupigana maana tayari lilikuwa limegawanyika kifupi kulikuwa na uasi ndani ya jeshi na miongoni mwa raia wa DRC dhidi ya Mobutu..
Desire Kabila aliishi Dar es salaam na harakati zake kuziendeshea hapa mpaka anakwenda ikulu kinshasa alitokea Dar es salaam, hapo ndio utajua role ya Tanzania kumtoa Mobutu..

RPF mpaka sasa miaka yote huwa wanapigana na vikundi vya wanamgambo kule DRC, RPF na Paka, Updf na M7 wote ni vibaraka wa USA kulinda maslahi ya USA na mabeberu pale DRC...ndio maana huwezi kusikia lolote juu ya Paka wala M7 kutoka USA hata wafanye nini...
RPF pia wako Msumbiji kupigana na wanamgambo pamoja na kulinda maslahi ya beberu Mfaransa na kampuni yake ya Total kule Msumbiji (hili wengi hamlijui)....

Kifupi RPF ni kundi kama kundi la wanamgambo wengine unaowasikia, aka wahuni tu ambao wako msituni DRC kulinda maslahi ya USA na wakati huo huo kuijenga Rwanda kupitia rasimali za DRC....

Unaposema JK alinywea utakuwa unajifurahisha tu, na unaonekana huyajui mengi kuhusiana na ule mgogoro na ule mgogoro ulipoishia, sidhani kama leo hii ungemsikia huyu kiumbe kama sio busara za watu, kuanzia kule DRC,Kijana wake Sultan Makenga wa M23 anajua busara gani ilitumika baada ya kushukia kivu na kurudi nyumbani ni busara tu, Mengine bila shaka utayasikia mtaani huko anyway KIGALI SIO MBALI kutokea Rusumo, wazee wa kaboya wanaweza kwenda usiku mmoja tu pale...

Kwa msioijua DRC, DRC ni linchi likubwa sana ambalo serikali iko Kinshasa, Kisangani, lubumbashi na huko kwingine, Goma, Kivu zote, Beni nk ni kama hakuna serikali na unaweza kuingia msituni na kuanzisha uasi tu....Utawala kwa nchi ya DRC umekuwa mgumu kutokana na ukubwa wa nchi hivyo baadhi ya maeneo ni kama hakuna serikali...mpaka sasa hata mishahara kwa jeshi la DRC imekuwa issue..
Ungeuliza nina maana gani kusema JK alinywea,wewe unaongelea issues za DRC nani kaandika habari hizo?

PK na M7 ni kweli ni majasusi wa USA,do you know what it takes 2b that?

Je unajua kuwa PK alishamtamkia JK kuwa angemshughulikia na JK hakusubutu kumbuguzi PK?

Soma na fanya tafiti utamjua PK,namuongelea PK kama PK sio habari za majeshi yetu yasiyo na meno,kucha kuvunja matofali wakati watu wanapigana kiakili na tech
 
Ungeuliza nina maana gani kusema JK alinywea,wewe unaongelea issues za DRC nani kaandika habari hizo?

PK na M7 ni kweli ni majasusi wa USA,do you what it takes 2b that?

Je unajua kuwa PK alishamtamkia JK kuwa angemshughulikia na JK hakusubutu kumbuguzi PK?

Soma na fanya tafiti utamjua PK,namuongelea PK kama PK sio habari za majeshi yetu yasiyo na meno,kucha kuvunja matofali wakati watu wanapigana kiakili na tech

unajua kilichotokea baada ya hiyo kauli ya PK
"I will hit you" kumbuka JK alikuwa kiongozi wa dola halafu unamwambia "I will hit you"....tafuta taarifa utaelewa baada ya hiyo kauli...

PK ni kibaraka tu wa USA kama vinabaraka wengine....USA wanamtumia kwa maslahi yao DRC...hata RPF wako kule msumbiji kuendeleza yaleyale ya ukibaraka..

Kipi ambacho PK amefanya kinachotuthibitishia ni jasusi wakuogopwa?...Kipi ambacho RPF wamefanya kinachoweza kutuambia ni jeshi imara....lete taarifa..
 
Mkuu darcity ,kongole maana maandishi yako yamemaliza kila kitu.
JWTZ ndiyo jeshi bora zaidi kusini mwa jangwa la Sahara. Anayebisha na abishe.
Kwa sisi tunaowasiliana na watu toka nchi mbalimbali,wanatuambia tuna jeshi la mfano katika Afrika.
Kagame anajua.
Nyusi anajua.
Museveni anajua.
Haikande anajua.
Ramaphosa anajua.
Tsishekedi anajua.
Farmaajo anajua.
Mohamed Abdullahi anajua.
Uhuru anajua.
Salva Kiir anajua.
Chakwera anajua.
Kuangaliwa kwa jicho zuri au baya,kwa dharau au heshima, haviondoi ukweli kwamba JWTZ ni balaa.
Taasisi pekee ambayo bado haijaingiliwa na kunajisiwa Tanzania ambayo Watanzania wanao uwezo wa kujivuna nayo ni JWTZ.
Ubora? Labda kwa idadi ga askari lakini sio ubora

Jeshi makomandoo wake wanateswa na makachero km watt na JWTZ liko kimya!

Unajua PK ndie alieliongoza jeshi letu kumtoa Idd Amin?

Au mlidanganywa kuwa ni Mayunga?

PK ni extreme fighter sio level yetu mkuu
 
Kagame atulie tu, na hapo hatujawatoa kina Kingai, Mahita, Jumanne.
 
Awezi kuwa na dharau anatuheshimu sana sisi ndo baba yao bila sisi yy na museveni wasingekuwa pale leo wanatujua vzr mziki wetu...
 
Ubora? Labda kwa idadi ga askari lakini sio ubora

Jeshi makomandoo wake wanateswa na makachero km watt na JWTZ liko kimya!

Unajua PK ndie alieliongoza jeshi letu kumtoa Idd Amin?

Au mlidanganywa kuwa ni Mayunga?

PK ni extreme fighter sio level yetu mkuu

We jamaa bwana...

PK na M7 na waganda wengine walikuwa ni waasi wa Uganda waliohifadhifa Tanzania... kwenye operation wanatumika kama informer na addition force kusaidia kumtoa Amin...

Kwa taarifa yako, PK kipindi kile na M7 walikuwa baado saaana kwenye hizo mambo zaidi ya kuwa ndio wanagain experience... Jeshi la Tanzania zama zile lilikuwa na wabobezi kuanzia kwenye mapigano na intelenjia ~ NI KICHEKESHO NA UJINGA KUSEMA HAYO UNAYOSEMA NA UNAJIVUA KUONEKANA HUNA UNALOJUA NA BADO NI MTOTO...
 
unajua kilichotokea baada ya hiyo kauli ya PK
"I will hit you" kumbuka JK alikuwa kiongozi wa dola halafu unamwambia "I will hit you"....tafuta taarifa utaelewa baada ya hiyo kauli...

PK ni kibaraka tu wa USA kama vinabaraka wengine....USA wanamtumia kwa maslahi yao DRC...hata RPF wako kule msumbiji kuendeleza yaleyale ya ukibaraka..

Kipi ambacho PK amefanya kinachotuthibitishia ni jasusi wakuogopwa?...Kipi ambacho RPF wamefanya kinachoweza kutuambia ni jeshi imara....lete taarifa..
Ok...PK ni kibaraka wa US..kweli.

Ila nimekuuliza swali jepesi tu kuwa unajua ni sifa gani unatakiwa kuwa nazo ili uwe kibaraka wa US? Au unafikiri kuwa kibaraka wa US ni kwa yyte tu?

Kumbuka Rwanda haina rasilimali za kuivutia US,kibaraka ni km kuwa agent au muwakilishi ivyo kuwa agent wa nchi yenye jeshi bora kuliko yote duniani siyo issue ya kitoto. Kuwa kibaraka wa US leo hii ni credit sana kuliko zama za ujamaa.
JK na JPM hawakuwahi kumdharau PK ata siku moja...they knew him
 
Unaweza kutuwekea ushahidi mkuu?
Unajua masharti ya waJapan baada ya Magu kuwazingua Konoike akiwa waziri wa ujenzi barabara ya manyoni?huyo jamaa yenu alikuwa muaribifu sana tukubaliane ilo...
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Acha kusumbuka na PK, huko kwake tu amekalia kutu kavu katika hii miaka mitano kuna jambo litatokea huko.
 
PAKA mnamuoverate sana....mpaka sasa huwezi kulisifia jeshi la Rwanda aka RPF kama jeshi lenye nguvu maana halijawahi kupigana vita yeyote na jeshi lolote ambalo ni well organised..

Mobutu hakutolewa madarakani na Paka kama mnavyotaka kujiaminisha humu, Mobutu alitolewa madarakani na allied force baada ya watu kumchoka Mobutu, jeshi la Mobutu halikuwa na morali ya kupigana maana tayari lilikuwa limegawanyika kifupi kulikuwa na uasi ndani ya jeshi na miongoni mwa raia wa DRC dhidi ya Mobutu..
Desire Kabila aliishi Dar es salaam na harakati zake kuziendeshea hapa mpaka anakwenda ikulu kinshasa alitokea Dar es salaam, hapo ndio utajua role ya Tanzania kumtoa Mobutu..

RPF mpaka sasa miaka yote huwa wanapigana na vikundi vya wanamgambo kule DRC, RPF na Paka, Updf na M7 wote ni vibaraka wa USA kulinda maslahi ya USA na mabeberu pale DRC...ndio maana huwezi kusikia lolote juu ya Paka wala M7 kutoka USA hata wafanye nini...
RPF pia wako Msumbiji kupigana na wanamgambo pamoja na kulinda maslahi ya beberu Mfaransa na kampuni yake ya Total kule Msumbiji (hili wengi hamlijui)....

Kifupi RPF ni kundi kama kundi la wanamgambo wengine unaowasikia, aka wahuni tu ambao wako msituni DRC kulinda maslahi ya USA na wakati huo huo kuijenga Rwanda kupitia rasimali za DRC....

Unaposema JK alinywea utakuwa unajifurahisha tu, na unaonekana huyajui mengi kuhusiana na ule mgogoro na ule mgogoro ulipoishia, sidhani kama leo hii ungemsikia huyu kiumbe kama sio busara za watu, kuanzia kule DRC,Kijana wake Sultan Makenga wa M23 anajua busara gani ilitumika baada ya kushukia kivu na kurudi nyumbani ni busara tu, Mengine bila shaka utayasikia mtaani huko anyway KIGALI SIO MBALI kutokea Rusumo, wazee wa kaboya wanaweza kwenda usiku mmoja tu pale...

Kwa msioijua DRC, DRC ni linchi likubwa sana ambalo serikali iko Kinshasa, Kisangani, lubumbashi na huko kwingine, Goma, Kivu zote, Beni nk ni kama hakuna serikali na unaweza kuingia msituni na kuanzisha uasi tu....Utawala kwa nchi ya DRC umekuwa mgumu kutokana na ukubwa wa nchi hivyo baadhi ya maeneo ni kama hakuna serikali...mpaka sasa hata mishahara kwa jeshi la DRC imekuwa issue..
You can imagine DRC ni mara mbili na nusu ya Tanzania. Ni nchi kubwa kweli kweli.
 
Kagame ni general aliyechukua mafunzo ya juu kabisa kwenye chuo cha maofisa wa kijeshi USA Cha General Staff Colldege kilichopo Fort Leavenworth,Kansas. Ni jasusi aliyeiva kwelikweli.

Jeshi lake ni dogo lakini ni jeshi lililo imara na limekuwa tested kwenye trenches katika operations mbalimbali. Mobutu ameondolewa na Kagame via Laurent Desire Kabila hilo halina ubishi. Ameivuruga Kongo anavyotaka.amepimana msuri na Kaguta Mseveni ndani ya Kongo pale Kisangani miaka ya mwanzoni mwa 2000 na akamuonesha show ya kibabe. Na hawa wawili wote ni wafugaji,wamesoma wote na pia wamefanya harakati za mapambano wote.

Ripoti ya CIA inasema mataifa makubwa ya Zimbabwe na Angola yaliopogundua jeshi la Rwanda taifa dogo kuidhibiti Kongo na kuchuma mali,nao wakatuma majeshi yao Kongo kwa lugha ya kulinda amani Ila lengo ilikuwa kuidhibiti Rwanda na kuipunguzia ushawishi kwenye kanda ya maziwa makuu. Huyo ndo Kagame. Lakini wapi mda huu tukijadili haya jeshi la Kagame lipo Msumbiji likiwafyeka magaidi.

So kuliangalia jeshi letu kwa dharau yuko sahihi ,hapa kwetu tuna majenerali wanastaafu hawajawahi kuwa tested kwenye mapambano. Kazi kupasua matofali only for domestic intimidation kwa wapinzani wa CCM.
Acha uongo ww hapo kwenye maJenerali nakaataa kuna Majenerali wengi tuu wamepigana vitu mfano Mwakibolwa,Masao,Samweli,Shimbo,na wengine kibao tuu uyo kagame hamna kitu.
 
Rafiki yangu tafuta vitu vya kuandika basi kama huna unaonaje ukikaa kimya kwani nani atakuona hujui fb?

Huu ni upimbi watu wanahitaji mijadala inayowajengea weredi siyo upumbavu kama huu.

Ifikie maadmin nyuzi kama hizi zisizo na tija zifutwe kabisa ,ujinga gani huu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Asante!
 
Hawa wanajeshi wetu ndio walimnyoosha kule DRC walipokuwa wakiwachapa M23 ,
 
We jamaa bwana...

PK na M7 na waganda wengine walikuwa ni waasi wa Uganda waliohifadhifa Tanzania... kwenye operation wanatumika kama informer na addition force kusaidia kumtoa Amin...

Kwa taarifa yako, PK kipindi kile na M7 walikuwa baado saaana kwenye hizo mambo zaidi ya kuwa ndio wanagain experience... Jeshi la Tanzania zama zile lilikuwa na wabobezi kuanzia kwenye mapigano na intelenjia ~ NI KICHEKESHO NA UJINGA KUSEMA HAYO UNAYOSEMA NA UNAJIVUA KUONEKANA HUNA UNALOJUA NA BADO NI MTOTO...
Ujinga ninkutokuwa na info za kutosha.

PK kaanza vita akiwa kijana mdogo sana na alishiriki vita ya Uganda mstari wa mbele kabisa km kiongozi wala sio informer,umepotoshwa..soma!

PK ndie aliemfurusha Idd Amin ndipo akina Mayunga wakafuata..soma!

M7 alipoingia madarakani alimpa cheo PK cha kusimamia na kulinoa jeshi la Uganda...soma!

Baadae PK alirudi msituni kuikomboa Rwanda chini ya utawala wa wahutu...soma!

Hakuna vita PK aliwahi kushindwa,ndje jasusi bora kabisa kuwahi tokea kusini mwa sahara...US wanajua,Nyerere,JK,JPM hawa wote na ubabe wao kwa 'slim' hawakuwahi kumchokoza
 
We jamaa bwana...

PK na M7 na waganda wengine walikuwa ni waasi wa Uganda waliohifadhifa Tanzania... kwenye operation wanatumika kama informer na addition force kusaidia kumtoa Amin...

Kwa taarifa yako, PK kipindi kile na M7 walikuwa baado saaana kwenye hizo mambo zaidi ya kuwa ndio wanagain experience... Jeshi la Tanzania zama zile lilikuwa na wabobezi kuanzia kwenye mapigano na intelenjia ~ NI KICHEKESHO NA UJINGA KUSEMA HAYO UNAYOSEMA NA UNAJIVUA KUONEKANA HUNA UNALOJUA NA BADO NI MTOTO...
Ujinga ninkutokuwa na info za kutosha.

PK kaanza vita akiwa kijana mdogo sana na alishiriki vita ya Uganda mstari wa mbele kabisa km kiongozi wala sio informer,umepotoshwa..soma!

PK ndie aliemfurusha Idd Amin ndipo akina Mayunga wakafuata..soma!

M7 alipoingia madarakani alimpa cheo PK cha kusimamia na kulinoa jeshi la Uganda...soma!

Baadae PK alirudi msituni kuikomboa Rwanda chini ya utawala wa wahutu...soma!

Hakuna vita PK aliwahi kushindwa,ndje jasusi bora kabisa kuwahi tokea kusini mwa sahara...US wanajua,Nyerere,JK,JPM hawa wote na ubabe wao kwa 'slim' hawakuwahi kumchokoza
Kagame ni general aliyechukua mafunzo ya juu kabisa kwenye chuo cha maofisa wa kijeshi USA Cha General Staff Colldege kilichopo Fort Leavenworth,Kansas. Ni jasusi aliyeiva kwelikweli.

Jeshi lake ni dogo lakini ni jeshi lililo imara na limekuwa tested kwenye trenches katika operations mbalimbali. Mobutu ameondolewa na Kagame via Laurent Desire Kabila hilo halina ubishi. Ameivuruga Kongo anavyotaka.amepimana msuri na Kaguta Mseveni ndani ya Kongo pale Kisangani miaka ya mwanzoni mwa 2000 na akamuonesha show ya kibabe. Na hawa wawili wote ni wafugaji,wamesoma wote na pia wamefanya harakati za mapambano wote.

Ripoti ya CIA inasema mataifa makubwa ya Zimbabwe na Angola yaliopogundua jeshi la Rwanda taifa dogo kuidhibiti Kongo na kuchuma mali,nao wakatuma majeshi yao Kongo kwa lugha ya kulinda amani Ila lengo ilikuwa kuidhibiti Rwanda na kuipunguzia ushawishi kwenye kanda ya maziwa makuu. Huyo ndo Kagame. Lakini wapi mda huu tukijadili haya jeshi la Kagame lipo Msumbiji likiwafyeka magaidi.

So kuliangalia jeshi letu kwa dharau yuko sahihi ,hapa kwetu tuna majenerali wanastaafu hawajawahi kuwa tested kwenye mapambano. Kazi kupasua matofali only for domestic intimidation kwa wapinzani wa CCM.
Wewe una taarifa sahihi sana za PK.

Jeshi letu lina idadi kubwa ya wanajeshi lakini halina ubora wowote ukilinganisha na la Rwanda.

PK ni level nyingine kabisa acha atudharau km makomandoo wetu wanapigwa vibao na askari polisi hakuna namna,dharau lazima
 
Ujinga ninkutokuwa na info za kutosha.

PK kaanza vita akiwa kijana mdogo sana na alishiriki vita ya Uganda mstari wa mbele kabisa km kiongozi wala sio informer,umepotoshwa..soma!

PK ndie aliemfurusha Idd Amin ndipo akina Mayunga wakafuata..soma!

M7 alipoingia madarakani alimpa cheo PK cha kusimamia na kulinoa jeshi la Uganda...soma!

Baadae PK alirudi msituni kuikomboa Rwanda chini ya utawala wa wahutu...soma!

Hakuna vita PK aliwahi kushindwa,ndje jasusi bora kabisa kuwahi tokea kusini mwa sahara...US wanajua,Nyerere,JK,JPM hawa wote na ubabe wao kwa 'slim' hawakuwahi kumchokoza

Wewe una taarifa sahihi sana za PK.

Jeshi letu lina idadi kubwa ya wanajeshi lakini halina ubora wowote ukilinganisha na la Rwanda.

PK ni level nyingine kabisa acha atudharau km makomandoo wetu wanapigwa vibao na askari polisi hakuna namna,dharau lazima
Acha utoto
 
Ktk maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wetu leo, Rais PK sikumuelewa vizuri.

Kwa wale walioshuhudia jicho lake wakati akiwaangalia Makomando wetu, gwaride na silaha zetu mtagundua Kuna walakini!!

Mbona Kama alikuwa na Dharau Sana?
Zama hizi sio za kupeleka mwanajeshi vitani na maturubai, beleshi, magogo, na mafurushi yote yale.
1639122505830.png
 
Alikuwa anashangaa ilikuwaje wakamruhusu yule mtu aondoke

Hata mie ningewaalia hivyo hivyo
 
Ubora? Labda kwa idadi ga askari lakini sio ubora

Jeshi makomandoo wake wanateswa na makachero km watt na JWTZ liko kimya!

Unajua PK ndie alieliongoza jeshi letu kumtoa Idd Amin?

Au mlidanganywa kuwa ni Mayunga?

PK ni extreme fighter sio level yetu mkuu
Hivi upuuzi kama huu mnautolea kwenye vijiwe gani?
 
Back
Top Bottom