Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 979
- 1,256
Shinyanga mjini kapigwa chini Masele.Katambi kapewa jimbo gani mbona ninetafuta sijaona mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shinyanga mjini kapigwa chini Masele.Katambi kapewa jimbo gani mbona ninetafuta sijaona mkuu
Duh.. Mungu anakuona, sio kwa hasira hizo aisee, nadhani makahaba sio type yake, ungeokoka kwanza ili umshawishi, leo sidhan kama ungeandika maandiko yasio na utu kiasi hiko.Mnasahau kwamba huyo Paul hata elimu yake ni shida. Yeye safari hii atabaki kulea mwanae wa kichina tuu hakuna namna
Kimbunga cha LISSU kimebadilisha maamuzi ....Huu uchaguzi wa KIHISTORIA ZT
Hata mimi nimewaza hivi.Psycholoical warfares against voters, but finally atakuwa waziri kupitia uteuzi wa baba J.
Wapi nimezungumzia kufa njaa bwashee?!Kwa taarifa yako yule ana kazi nzuri tuu usidhani atakufa njaa.
Naomba niishie hapo.
Pole sanaMnasahau kwamba huyo Paul hata elimu yake ni shida. Yeye safari hii atabaki kulea mwanae tu hakuna namna
Mnasahau kwamba huyo Paul hata elimu yake ni shida
Yeye safari hii atabaki kulea mwanae wa kichina tuu hakuna namna
Naona kama unamwonea huruma sanaWapi nimezungumzia kufa njaa bwashee?!
Unafiki ni mmojawapo ya vigezo kupata uongozi huko CCM.Mtu namna hii utamuachaje kwa akili ya kawaida? Endelea
.Makonda ni kiongozi wa vitengo maalum kazi maalum wasiojulikana etc
Mbona wewe unamjua?Makonda ni kiongozi wa vitengo maalum kazi maalum wasiojulikana etc
Sasa mkuu ulitaka Makonda apitishwe alafu Upinzani wapate cha kusemaa yani hii ni Tactical move moja makini sanaaa na AtateuliwaaHapana aisee kwa haya ni wazi kuwa Paul Makonda kaonewa sana. Nimejikuta nikipata huruma juu yake maana si kwa faulo hii iliyochezwa.
Yani mfano kwa Shinyanga mjini mtu kakataliwa na wajumbe 456 kapata kura 12 tu eti ndiye amepitishwa? Hapana!
Pia nimegundua kumbe ile hama hama ilikuwa ni makubaliano endelevu.
Makonda umeonewa na nasimama na wewe leo.
Kwa nini hakuwatumia wale wajuba aliotimba nao Clouds Media?Hapana aisee kwa haya ni wazi kuwa Paul Makonda kaonewa sana. Nimejikuta nikipata huruma juu yake maana si kwa faulo hii iliyochezwa.
Yani mfano kwa Shinyanga mjini mtu kakataliwa na wajumbe 456 kapata kura 12 tu eti ndiye amepitishwa? Hapana!
Pia nimegundua kumbe ile hama hama ilikuwa ni makubaliano endelevu.
Makonda umeonewa na nasimama na wewe leo.