kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Ila kasugua kidogoUsije shangaa kateuliwa kuwa mkurugenzi wa taasisi kubwa au katibu wa wizara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kasugua kidogoUsije shangaa kateuliwa kuwa mkurugenzi wa taasisi kubwa au katibu wa wizara
Mpeni fomu huko Chadema,Hapana aisee kwa haya ni wazi kuwa Paul Makonda kaonewa sana. Nimejikuta nikipata huruma juu yake maana si kwa faulo hii iliyochezwa.
Yani mfano kwa Shinyanga mjini mtu kakataliwa na wajumbe 456 kapata kura 12 tu eti ndiye amepitishwa? Hapana!
Pia nimegundua kumbe ile hama hama ilikuwa ni makubaliano endelevu.
Makonda umeonewa na nasimama na wewe leo.
Ubunge wa kuteuliwa baada ya kushindwa jimboni haunaga heshima!Sasa mkuu ulitaka Makonda apitishwe alafu Upinzani wapate cha kusemaa yani hii ni Tactical move moja makini sanaaa na Atateuliwaa
Huyo atapewa wa viti maalumUbunge wa kuteuliwa baada ya kushindwa jimboni haunaga heshima!
Nasikia yupo kwenye payroll ya tiss...?Makonda ni kiongozi wa vitengo maalum kazi maalum wasiojulikana etc
[emoji1787][emoji1787]Ila pesa si atakuwa anakulaa mkuu kasoro tu hana kauliiUbunge wa kuteuliwa baada ya kushindwa jimboni haunaga heshima!
Makonda ni kiongozi wa vitengo maalum kazi maalum wasiojulikana etc
Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025 ni Tundu Antipas Lissu. Sasa huo wa viti maalum atautoa wapi??!Yule anasubiri ubunge viti maalumu
Pasco tu ndio huwa haonekanagi sijui kwanini!!?Katambi mjanja juzi alimtukana lissu na kujianzishia Uzi humu watu wakamfokea hatimaye kaonekana
Lile swali lake kwa mkuu siku waliyoitwa ikulu linamponza I do believe mr. President hupita humu JFPasco tu ndio huwa haonekanagi sijui kwanini!!?
[emoji23][emoji23][emoji23]hata Mimi nilijua ndio lengo la mkuu ili a win mass support Ila makonda naye angecheza kwa step tu. Pole yake Mimi naona bashite Ni mpambanaji asiye chokaHabari ni kuwa Makonda alikuwa atumbuliwe kabla ya kampeni kuanza ili impe JPM credit , sasa yeye akaustukia machezo akajiengua mapema! Hizo hazikuwa habari njema kwa mkuu, akakasirika sana kwani amemharibia mahesabu. Kwa sababu hiyo sioni ajabu Makonda kutopata uteuzi wa Ubunge.
Ukiona mtu anahama chama ni mnafiki na inabidi chama kimtumie kwa uangalifuUnafiki ni mmojawapo ya vigezo kupata uongozi huko CCM.View attachment 1543085
Aisee kwahiyo katibua mipangoHabari ni kuwa Makonda alikuwa atumbuliwe kabla ya kampeni kuanza ili impe JPM credit , sasa yeye akaustukia machezo akajiengua mapema! Hizo hazikuwa habari njema kwa mkuu, akakasirika sana kwani amemharibia mahesabu. Kwa sababu hiyo sioni ajabu Makonda kutopata uteuzi wa Ubunge.
Masele kaachwa,,handsome boy amekatwa,,ugly boy kawinShinyanga mjini