Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Huu mjadala unanihusu mimi Gang Chomba ambae nilikuwa Vice wa Puzza.

Tuanze na Ishu ya ugomvi kati ya Tambaza na Azania.

Ugomvi uliwahusu Walter Muro aka Sisulu from Azania ndio alikua mpinzani No 1 wa Puzza mpk kifo chake.

Walikua marafiki wakubwa mpk kulala kitanda kimoja na miaka michache baadae wakageuka maadui wakubwa jambo lililosabasha vita vya mara kwa mara kuanzia mitaani, shuleni na mara nyingine hata kanisani Ubungo Lutherani Church ambapo wote wawili wazazi wao walikua wazee wa kanisa (church elders & na waimba kwaya (choir members)

Ntarudi na kisa cha ugomvi wao...


Rudi fasta bro utupe data
 
Thread ni nzuri sana.. Tatzo imekuja kuharibiwa na madogo.. !
Mkuu walio iharibu ni wanaojibishana na hawa machalii wenye kiburi ya hela ya mzazi, bado ni tegemezi hawajui maisha waachwe wajifariji, kuwajibu ni kuwapa kichwa.. mwalimu Frank unafikiri alipiga yule dent kwa bahati mbaya ni product kama hizi zenye dharau ndio zinasababisha watu wafanye yale.
 
mkuu huyo Mwampemba hata mimi nilikuwa namkubali,ni yule jamaa alikuwa na vijimvi flani kichwani na pia alikuwa mchoraji katuni? ila Tambaza nako kulikuwa na jamaa anaitwa Lodrick wakati ule akiwa A level,hawa jamaa walikuwa wanastahili kucheza team kubwa,na kule kinondoni kulikuwa na aboubakar kombo.KWA KWELI UMISETA BADO MUHIMU.

Umemshau Athuman China.
 
Huu mjadala unanihusu mimi Gang Chomba ambae nilikuwa Vice wa Puzza.

Tuanze na Ishu ya ugomvi kati ya Tambaza na Azania.

Ugomvi uliwahusu Walter Muro aka Sisulu from Azania ndio alikua mpinzani No 1 wa Puzza mpk kifo chake.

Walikua marafiki wakubwa mpk kulala kitanda kimoja na miaka michache baadae wakageuka maadui wakubwa jambo lililosabasha vita vya mara kwa mara kuanzia mitaani, shuleni na mara nyingine hata kanisani Ubungo Lutherani Church ambapo wote wawili wazazi wao walikua wazee wa kanisa (church elders & na waimba kwaya (choir members)

Ntarudi na kisa cha ugomvi wao...

Duh moja kati ya good storyteller wa JF naweza kuwaweka daraja moja na The bold
 
Kuna sister wangu alinipa story kuwa Kuna siku Tambaza waliwaalika Kisutu baada ya kutokuwa kwenye terms nzuri na wenza wao wa Zanaki. Waliwakirimu vizuri saba na ilikuwa mahafali ya form four. Kwenye mahafali kama hayo ya Kisutu si wanaume wakatinga. Vidada vya Kisutu vikawachukulia poa, si kutahamaki jamaa washachukua sufiria zima la pilau wanakula bila kupakua!! Natamani ningezaliwa enzi hizoo na kushuhudia mambo hayo! ! Hawa watu saa hizi wana heshima zao na nyazifa serikalini na kwenye jamii! Salute kwenu my older brothers/parents!!
 
[emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji125] [emoji125] [emoji125] heshima kwenu vijana wa zamani
 
Lulindi Swahili, alikuwa na mizuka sana na kitabu cha Makumazan hasa Umsolopa
Sasa mwaka ule Si ilibadilishwa siasa ifundishwe kwa kiingereza!,sasa hiyo civics ndo akapewa mzee Lulindi daah....burudani..
 
Huu mjadala unanihusu mimi Gang Chomba ambae nilikuwa Vice wa Puzza.

Tuanze na Ishu ya ugomvi kati ya Tambaza na Azania.

Ugomvi uliwahusu Walter Muro aka Sisulu from Azania ndio alikua mpinzani No 1 wa Puzza mpk kifo chake.

Walikua marafiki wakubwa mpk kulala kitanda kimoja na miaka michache baadae wakageuka maadui wakubwa jambo lililosabasha vita vya mara kwa mara kuanzia mitaani, shuleni na mara nyingine hata kanisani Ubungo Lutherani Church ambapo wote wawili wazazi wao walikua wazee wa kanisa (church elders & na waimba kwaya (choir members)

Ntarudi na kisa cha ugomvi wao...
Yule jamaa walter yuko wapi siku hizi?
 
Dah huu uzi ni kila kitu sijawah soma comment zote katika uzi mmoja ndio kwanza huu
Huyu jamaa sijui alifikiria nini,huu uzi unaweza ukaendelea kuwa hot mwaka mzima,leo siku ya ngapi bado uko mpya.
 
Siku zote huwa nawaambia hawa watoto humu hatujuani kwa sababu ya hizi I'D zetu. Ila tukishaingia huko PM na kutambulishana tunabaki kushangaana. Respect kila ID unayokutana nayo humu.
Kweli mkuu,humu ukijifanya mkaidi unaweza kujikuta unamtupia dongo babaako mzazi ambae yuko nyuma ya ID fake ukaambulia laana za kimya kimya...
 
Nikiwa form one Tambaza 1994 nilivuliwa viatu na kunyang'anywa pesa na mwanafunzi aliyefahamika kwa jina la Dictator akiwa na mwenzake aitwaye Bedui.Aliyetoa wazo la kufuta O level Tambaza ashukuriwe maana nilichaguliwa tena Tambaza A level 1998 shule ilikuwa imebadilika.Mabronso na masistadu walikuwa wa kutosha.
 
Nikiwa form one Tambaza 1994 nilivuliwa viatu na kunyang'anywa pesa na mwanafunzi aliyefahamika kwa jina la Dictator akiwa na mwenzake aitwaye Bedui.Aliyetoa wazo la kufuta O level Tambaza ashukuriwe maana nilichaguliwa tena Tambaza A level 1998 shule ilikuwa imebadilika.Mabronso na masistadu walikuwa wa kutosha.
Ile hamisha hamisha we uliperekwa wapi?..
 
Puza alikuwa mtemi sana,kipindi anaingia form one alipigana na jamaa wa form two,yule bwana wa form two alidundwa vibaya sana. Wapi Saga Power atueleze chanzo cha kifo cha Puza ila hakuwa na kesi ya mauaji
Saga power yupo.
 
Back
Top Bottom