Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Sasa tuzo si angeenda kuchukua hata makame mbalawa 😁
Woi...πŸ˜ƒ
Mama amefanya vyema kwenda sababu aliandaliwa mapokezi ya heshma zote kama mlivyoona...😜😜
 
Anajidhalilisha mwenyewe tu, did she have to go to Ghana? Hii tabia ya kumuiga Kikwete kwa kila ujinga ndiyo inamlostisha huyu Mama
 
Hata kwenye familia yako / jamii, ukijionesha kuwa wewe ni mwenye njaa sana kubali msibani au ugenini kupewa kitanda na kulala na kitoto kikikojozi kitanda kimoja. Jitahidi kuuficha umaskini wako siyo wakikuona kwa jirani wajue umeenda kuomba chumvi.
 
Mwandishi wa uzi huu naomba nikuulize,hivi aLiyekuwa raisi wa Marekani George w Bush,alipotembelea Arusha wakati uleee alipokelewa na nani?
 
Mwandishi wa uzi huu naomba nikuulize,hivi aLiyekuwa raisi wa Marekani George w Bush,alipotembelea Arusha wakati uleee alipokelewa na nani?
 
Asiseme ukweli???
Kwan hiyo picha si imejieleza, angalia hata wearing style ya waliompokea, huoni kama wametoka kwenye vikoba??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Kama yeye ameamua kujishusha wao wenyeji wake wafanyeje. Chengine, yeye hatulii nyumbani kwake kupajenga. Kutwa kucha kiguu na njia. Anawakuta wenzake wako bize ndio maana wanamtumia Watendaji Kata kumpokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti watendaji wa kata.
Khaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangi mie
 
Ohooooo....
Mkuu wewe ndio umenipa jibu mujarab kabisa.
Kwahiyo kumbe hao walio mpokea Hangaya ndio watoa tuzo...??
Dahhhh....
Ila huyo binti aliyevaa viatu hadi mguu ukapitiliza ndio nimempenda bure...[emoji1787][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…