Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Wabongo utawaweza?🤣Nafikiri huyu kulia ni waziri wa mambo ya njeView attachment 2236160
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo utawaweza?🤣Nafikiri huyu kulia ni waziri wa mambo ya njeView attachment 2236160
Na huo mkoti sasa....🤣🤣hicho kiatu cha huyo mjomba hapo ndo kimeshusha sana credit aisee 🤔🤔
Na kule kwa kina kanjibai atapokelewa na yule muigizaji aliyekuja siku za nyumaMovie za Bolywood haziwezzi mpita huyu
Wametudharau sana aiseeee...Kamati ya mapokezi
umeshasema nchi nyingine. kulikua na haja gani kuanza kuzitaja?Kwa uelewa wangu Mkuu wa nchi anapoenda kuzuru nchi nyingine mfano Nigeria, Ghana, Uganda, Malawi. Afrika Kusini nk. inabidi APOKELEWE na Mkuu wa nchi husika au mwenyeji wake. Sasa kwa Mhe. Rais wetu protokali kama hiyo ilifuatwa nchini Ghana?.
huyu jamaa utadhani walimkurupua vile na hawakumpa taarifa ya anayeenda kumpokea ni nan..Na huo mkoti sasa....🤣🤣
Wakuu, hivi kweli mkuu wa nchi anaweza akapolekewa na hawa watu kweli?
Kuna huyu amevaa kana kwamba ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo (na mkoti wake na safety ruber shoes.
Halafu na huyo mdada kama mratibu elimu kata Wallah.
View attachment 2236124
Mama amepokelewa huko Accra, Ghana. Halafu kuna lijamaa halina hata kisogo.
View attachment 2236133
Ingependeza kama angepokelewa na bodaboda, ndio tungeona mama amepokelewa kwa heshma...🤣Mlitaka apokelewe na watu wa aina gani..?
Wapo vizuri sana mkuu, na bilashaka mwenye kiti atakua huyo binti mwenye miguu ilioshinda viatu kwa mbele...😜Kamati ya mapokezi
Sijui ndio kamati ya mapokezi...??🤨🤔Yaani, kwanza hata nguo, viatu wote wacheki hao wanaompokea, duh, kama wauza supu
Sasa aibu imempata...🤣🤣Amezid nae kuzurura.😂😂🚶