Msudu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2021
- 1,050
- 1,705
Nilipanga leo kutokucheka siku nzima lkn umevunja ratiba yangu hahahahaYule mwenye kichwa chenye kona kona kama korosho alikuwa hajiamini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipanga leo kutokucheka siku nzima lkn umevunja ratiba yangu hahahahaYule mwenye kichwa chenye kona kona kama korosho alikuwa hajiamini.
Yule muda wote alihisi atapinduliwa hivyo akaamua kuwa anatembea nao woteHaikuwa kitu kizuri kabisa, nadhani Dkt Magufuli alidanganywa kutembea na hao wakuu.
Hakudanganywa yule alikuwa hajiamini na alikuwa anaamini kwenye matumizi ya Nguvu na kutosha watu eti ndio kuwa RaisHaikuwa kitu kizuri kabisa, nadhani Dkt Magufuli alidanganywa kutembea na hao wakuu.
Sio Kila mahala hata Rais anaambatana nao inapobodi harafu ulinzi wa Rais sio wa maigizo na maonyeshoIlikuwa ni kawaida tu...kwanini mkuu wa mkoa huwa anaambatana na kamati ya ulinzi na usalama? Na kwanini rais asiambatane na kamati ya ulinzi na usalama wa taifa⁉️⁉️
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.
Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.
kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Alikuwa limbukeni tu wa madaraka, na kuendekeza sifa za kishamba.Haikuwa kitu kizuri kabisa, nadhani Dkt Magufuli alidanganywa kutembea na hao wakuu.
Ulevi wa madaraka.Ubaya wake nini?
Hana wasiwasi kama hayati Dikteta UchwaraZamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.
Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.
kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Kauli yako sijaipenda. Haisaidii kumdhihaki kiongozi. Ukome mbwaAlikuwa limbukeni tu wa madaraka, na kuendekeza sifa za kishamba.
Hofu ya mapinduzi ilimtawala Mwendazake ndio sababu. Na kiusalama sio sawa. Kama inatokea ambushi manake kuna uwezekano wa viongozi wote wakuu kupotezwa.Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.
Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.
kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Huku ni kwenye mitandao ya kijamii sio kwenye kikao cha kanisa, huwezi lugha ngumu kakae na mumeo mtengeneze watoto. Ngiripori ww.Kauli yako sijaipenda. Haisaidii kumdhihaki kiongozi. Ukome mbwa
Shkamoo TINDO a.k.a NESI FEKI.Huku ni kwenye mitandao ya kijamii sio kwenye kikao cha kanisa, huwezi lugha ngumu kakae na mumeo mtengeneze watoto. Ngiripori ww.
Humu ndaniYule mwenye kichwa chenye kona kona kama korosho alikuwa hajiamini.
Hii habari ni unafiki mtupu,imelenga kuhakikisha hayati Magufuli anatukanwa, endeleeni na genge lenu la kuhakikisha mnapoteza legacy japo ni mlima mrefu sanaZamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.
Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.
kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Kama maku ya mama yakoYule mwenye kichwa chenye kona kona kama korosho alikuwa hajiamini.
Ule ulikuwa ni ushamba wa Mzee wa chatto, alifanya vile ili aogopweZamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.
Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.
kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Siyo zamani. Ujinga huu alikuwa anafanya dikteta uchwara jiwe. Alikuwa mpuuzi sana huyu.Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Mwinyi, Mkapa na Kikwete walikiwa wanaambata nao?Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.
Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.
kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Uongozi ni hekima, busara na kipawa (trait), na vyote hivi mtu huzaliwa navyo. Kama huna ndiyo unakuwa kama Magufuli. Kwa vile hakuwa na kipawa cha uongozi na hakujaliwa busara kitu pekee ambacho kingemfanya atawale ni MAGUVU tu.Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.
Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.
kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??