Kwanini Rais Samia haambatani na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi kwenye matukio na hafla za Kitaifa?

Kwanini Rais Samia haambatani na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi kwenye matukio na hafla za Kitaifa?

Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Najiuliza tu kwani ni Rais ndio huwa anapanga ni akina nani wawepo na akina nani wasiwepo ?! Nikijua hili naweza nikachangia vizuri zaidi !
 
Uongozi ni hekima, busara na kipawa (trait), na vyote hivi mtu huzaliwa navyo. Kama huna ndiyo unakuwa kama Magufuli. Kwa vile hakuwa na kipawa cha uongozi na hakujaliwa busara kitu pekee ambacho kingemfanya atawale ni MAGUVU tu.

Hivyo ili kuwaonyesha Watanzania kuwa yeye ni Rais wao na anaweza akawafanya chochote wakati wowote akawa ana tabia ya kuwa na CDF, DG-TISS, IGP, CG Prisons etc.

Madikteta wote duniani huwa ni waoga sana na wanajishuku (not safe), hivyo hutumia vyombo vya dola ku-legitimise utawala wao. Magufuli anaingia ukurasa mmoja na akina Mobutu, Iddi Amin, Hitler na Musolini
Tuseme hakuwa kiongozi aliyepikwa. Alidanganya watu kwamba yupo kwenye vita ya kiuchumi! Mwehu yule
 
Magu aliharibu heshima za taasisi nyingi mpaka zikaonekana ni za kisiasa.

Wakati haitakiwi kufungamana na upande wowote.

Mungu atuepushie mbali kadhia ya vile.

Mpaka BODIGADI eti anaambiwa atoe hella ya harambee!.

Acha atangulie tu,tutamfata badae.

Taasisi ziligeuzwa kuwa UVCCM PhD.

Alivunja katiba mchanna kweupee.
 
JPM kwa matendo yake alijua akiwaacha nyuma tu ipo siku ataisoma namba, ili awe salama Bora atembee nao
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Kuwahusisha viongozi hso wa vyombo vya dola hata kwenye matukio ya kitaifa ambayo ni trivial ni matumizi mabaya ya vyombo hivyo.
 
Tuseme hakuwa kiongozi aliyepikwa. Alidanganya watu kwamba yupo kwenye vita ya kiuchumi! Mwehu yule
Miaka 5, Magufuli katengeneza wajinga wengi sana na bado wanamkumbuka kuwa ni "shujaa", wengine wanamuita "mwamba". Ila Mungu alitusaidia kumuondoa Machi 2021
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Ulikuwa ushamba wa JIWE na woga wa kupinduliwa
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Samia sio mshamba.
 
Zamani ungeweza kumuona Mkuu wa Majeshi, IGP, Mkuu wa Magereza, Mkuu wa Uhamiaji, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa wote hao ungeweza kuwaona kwenye kila tukio alipo Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Yaani hao wote ungeweza kuwaona kuanzia kwenye uwekaji wa jiwe la msingi, uzinduzi wa bodi, ufunguaji wa barabara, ugawaji wa vitambulisho vya machinga kote huko ungewakuta wameambatana na Rais.

Lakini mama Samia yeye yuko tofauti, haambatani nao bali kwa matukio muhimu yanayowahusu.

kwanini Rais Samia haambatani na wakuu hao kama zamani??
Hiyo ndiyo tofauti kati ya kiongozi na mtawala. Kiongozi huongoza njia kupitia katika imani aliyokuwa kwa wasaidizi wake ili kutimiza malengo ya kitaasisi, huiona taasisi kama mali ya umma, huwaamini wasaidizi wake hata kama hawapo mbele ya macho yake.

Lakini mtawala yeye huwa mbinafsi na taasisi huiendesha kama mali yake binafsi, na wala hana imani na wasaidizi wake, pengine mpaka awaone mbele ya macho yake.
 
Naona madai ya KATIBA mpya yamepamba moto.

KATIBA mpya itaweka mifumo na limits imara ambazo Viongozi wakuu hawatojiamulia kufanya watakavyo.

Bring back our WARIOBA 💪💪💪💪
 
unaposema zamani unamaanisha lini maana hayo yalikuwa yanafanyika wakati wa magufuli tu, awamu iliyopita. Viongozi wote kabla ya magufuli walikuwa hawafanyi hivyo.
Zamani haikuwa rahisi kumjua mkurugenzi wa takukuru, Uhamiaji, TISS...waliofahamika ni mkuu wa majeshi na IGP tu
Sahihi kabisa %.

Yule Mwendazake alikuja na mambo yake ya ajabu ajabu- sijui ulikuwa ni ulimbukeni au nini.

Vizuri kujisahihisha unapokosea.
 
Back
Top Bottom