Kwanini Rais Samia haambatani na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi kwenye matukio na hafla za Kitaifa?

Kwanini Rais Samia haambatani na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi kwenye matukio na hafla za Kitaifa?

Naona madai ya KATIBA mpya yamepamba moto.

KATIBA mpya itaweka mifumo na limits imara ambazo Viongozi wakuu hawatojiamulia kufanya watakavyo.

Bring back our WARIOBA 💪💪💪💪
Pamoja sana mkuu.

Katiba Mpya! Katiba Mpya! Katiba Mpya!.

Na muda pekee na muafaka ni sasa.
 
Back
Top Bottom