Kwanini Samia anatumia nguvu kubwa kutetea uongozi ambao hakuugharamia?

Kwanini Samia anatumia nguvu kubwa kutetea uongozi ambao hakuugharamia?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Kwa hali ilivyotokea Leo sikutegemea mama ametoka povu vile heee🙄 kulalamika suala la Ndugai ni kutokujiamini yeye ndiye Rais ingetosha tu kuwaeleza Watanzania kwamba amesamehe yote na kwa kuwa uongozi hakuutafuta hategemei malumbano ya kugombea kiti Cha Urais na Watanzania wangemuomba aendelee Kwanza yeye mwenye ajiulize huo Urais kaupataje halafu ung'ang'anie wa Nini ni sawa na manager akuachie office wewe Supervisor halafu useme hhutoki
 
Wadau naomba kufahamu kama Tozo ni jambo la Muungano.
Kwani nimemskia Waziri wa Fedha Bw. Mwigulu Nchemba akidai kuwa kwa Mwezi wa Dec 2021. Zanzibar imepelekewa Bil. 161Tshs ili hali Bara Tshs Bil 91. Ina kuweje Pesa za Walipa kodi wa Bara ziende Zanzabar? Zanzibar ina watu wake wa kulipa Tozo. Inakuweje hii? Je ina maana kila mwezi Pesa za Bara zina pelekwa Zanzibar? Au ndio kujipendekeza bila kujali Sheria, taratibu na misingi ya Muungano pamoja na Sera za Fedha?
 
Yani huyu mama anaonekana dhahiri kuwa ni kama anaupenda sana huo Urais aliobahatika kuupata hadi anatia mashaka makubwa. Kila siku ni vita tuu.

Kiongozi ukiwa hivyo unatia sana shaka. 2025 ni mbali sana, sasa kila siku ajenda ni 2025 yani tumewazidi wakenya ambao kwao urais ni jambo la kufa na kupona.

Yani inafikia hatua mtu akikosoa tu basi bango linahamia 2025. Mimi ni muumini wa mihimili ambayo inakosoana na hiyo ndiyo maana ya mgawanyo wa madaraka. Mihimili inayokosoana ndiyo afya imara ya Watanzania. Samia naye alipaswa kutoa dongo kwa wale wabunge 19 ambao kule bungeni hawana kofia ili Jobu ajirekebishe. Hiyo ndiyo afya.

Haya ndiyo matokeo ya kupata madaraka halafu unaangalia zaidi eneo unalotoka! Trust me hautakuwa na afya ya uongozi kama utaendelea hivi. Aghhhhrr yani huo urais bado anaona haumtoshi yani kuna kitu kapunjwa!
 
Kumbe kumwondoa spika rahisi hivi, ndugai kwisha

IMG-20220104-WA0019.jpg
 
Je akilishwa tango pori kwa hiyo aende nalo hivyohivyo
Hawezi na kwanini uwaze akilishwa tango pori, Mama hataki siasa nyeusi nyeusi mambo ya mtima nyongo,mafitna fitna hivi hayataki.
 
Haya ndiyo matokeo ya kupata madaraka halafu unaangalia zaidi eneo unalotoka! Trust me hautakuwa na afya ya uongozi kama utaendelea hivi. Aghhhhrr yani huo urais bado anaona haumtoshi yani kuna kitu kapunjwa!
Mbona unaruka ruka kama maharage?
Mara anaupenda urais,mara anaangalia eneo analotoka,hebu fafanua hoja yako ni ipi
 
Ila si Mara ya kwanza kuwa na hofu kuhusu 2025
Tafsiri yake ni kuwa ataulinda uraisi wake kwa gharama zote.
Maana yake kama si mara ya kwanza kwake basi na hao wanaoleta mambo ya ajabu wanajadili mara kwa mara ni lazima aongee.
 
Ila si Mara ya kwanza kuwa na hofu kuhusu 2025
Tafsiri yake ni kuwa ataulinda uraisi wake kwa gharama zote.
Siku chache sana baada ya kuapa (kabla hata hajakalia kiti vizuri, hajapewa kiti cha chama) alisema 2025 yupo, na mtu yeyote asifikirie.
Baada ya hapo nilimsikia akiwaambia wanawake wajipange wamweke raisi mwanamke madarakani.
All in All: Kuanzia Amerika mpaka Asia wanasiasa huogopa sana uchaguzi.
Wenzetu wana namna yao ya kuongea - wanatetea Sera zao - ambayo si rahisi kujua.
 
Back
Top Bottom