WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,615
- 3,784
Kabisaa. Na ktk hii vita ya Samia na Job. Job anafahamu mengiii. Na huenda mikopo inaenda Zanzibar kimya kimya. Ila kuna siku ktk hili Sakata tutamkumbuka Job.Mpaka watu waelewe kuwa Zanzibar inatunyonya watakuwa mamekaa sawa
Samia kageuza Bara kama Shamba la Bibi. Anachuma ana peleka kwao.