Je akilishwa tango pori kwa hiyo aende nalo hivyohivyoYeye anapewa taarifa saa 24/7 anajulishwa kila kitu, kaa ukijua anachokiongea hakitungi ni uhalisia.
Hawezi na kwanini uwaze akilishwa tango pori, Mama hataki siasa nyeusi nyeusi mambo ya mtima nyongo,mafitna fitna hivi hayataki.Je akilishwa tango pori kwa hiyo aende nalo hivyohivyo
Ila si Mara ya kwanza kuwa na hofu kuhusu 2025Yeye anapewa taarifa saa 24/7 anajulishwa kila kitu, kaa ukijua anachokiongea hakitungi ni uhalisia.
Mbona unaruka ruka kama maharage?Haya ndiyo matokeo ya kupata madaraka halafu unaangalia zaidi eneo unalotoka! Trust me hautakuwa na afya ya uongozi kama utaendelea hivi. Aghhhhrr yani huo urais bado anaona haumtoshi yani kuna kitu kapunjwa!
Maana yake kama si mara ya kwanza kwake basi na hao wanaoleta mambo ya ajabu wanajadili mara kwa mara ni lazima aongee.Ila si Mara ya kwanza kuwa na hofu kuhusu 2025
Tafsiri yake ni kuwa ataulinda uraisi wake kwa gharama zote.
Siku chache sana baada ya kuapa (kabla hata hajakalia kiti vizuri, hajapewa kiti cha chama) alisema 2025 yupo, na mtu yeyote asifikirie.Ila si Mara ya kwanza kuwa na hofu kuhusu 2025
Tafsiri yake ni kuwa ataulinda uraisi wake kwa gharama zote.
Anaona kama ameipata kwa bahati mbayaHana uhakika na nafasi aliyonayo......