Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Kiingeleza ni kitu gani? Swali rahisi kwako wewe, kama kuandika kiswahili unashindwa, Je? kuongea kiswahili.
Unapo toa kasoro kwenye uandishi wa mwenzako hakikisha na wewe upo sahihi.

Wakati natoa maelezo kuwa Tanzania nzima ina 39.99% wewe unashupalia kwa dar es salaam pekee yake.
Mkuu kuwa makini.
Akili yako mbovu sana, unajua asilimia 30 ya wanaume wote Tanzania ni milioni ngapi? Au unaropokwa tu.

Kwamba unakisia kuwa zaidi ya wanaume milioni kumi wanalala na watoto wao wa kike?
Mjinga kama wewe huwezi kosoa Lugha yangu sababu iko wazi wewe ni kichwa box.
 
Tumia akili wewe! Hivi kwa akili yako ni nani anatakiwa kuwa na busara kati ya mtoto na baba?! Sasa kwa akili yako ikiwa baba anabaka binti yake wa miaka 14 ndo atashindwa kulala na mtoto wake wa 21? Au unashindwa kujiongeza kwamba hayo yamefahamika kwa sababu wahusika ni watoto lakini ingekuwa ni mabinti wazima, kwanza hata hizo mimba zisingetokea, na hata kama zingetokea, zingechoropolewa?
Sawa basi wewe endelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mabinti zako
 
Unaweza ukakuta wewe pia ni miongoni mwa wababa wanao tembea na binti zao. I trust my intuition.
Mimi siwezi kutembea na binti yangu, ila naweza kutembea na binti yako au binti wa mama yako.
 
Sabab

1.ushirikina ,kama mama mzazi watajiri anaweza chakula chamwanae ili biashara isonge ,nashindwaje kwamtoto wakumzaa

2..watoto nje yandoa zetu wakike hasa wamekua wengi ,unakula matuzo unayotoa
 
Kwa matajiri tu 70% mkuu hii tabia ipo na ni kwa vitoto vinavyokua sasa hivi kwa baba yao vina uzungu mwingi, dharau kwa wanaume, hawataki kuolewa wanataka wapate Mr. Right.

Mtoto ni wako umekaa sitting room kavaa bikini inaonekana au yuko nusu uchi afu anakunywa wine eti cheers dady huku anakuhug hey dady, ukikagua toto linafanana na mama yake copyright wewe huna hata chembe naye lakini ni wako, shetani anapiga honi [emoji6][emoji6]

Sasa kuna mibaba inawaendekeza watoto uzungu binti yuko 30 hana mume.

Hapo kulana kwa mtoto na baba ipo sana tena sana kwa taarifa yako sasa wababa ndio wanawaendekeza hawa watoto ubaby dady.
Wew jamaa Mungu anakuona, dah nimecheka sana japo pia nimeumia.
 
Akili yako mbovu sana, unajua asilimia 30 ya wanaume wote Tanzania ni milioni ngapi? Au unaropokwa tu.

Kwamba unakisia kuwa zaidi ya wanaume milioni kumi wanalala na watoto wao wa kike?
Mjinga kama wewe huwezi kosoa Lugha yangu sababu iko wazi wewe ni kichwa box.
kama hujui statistical mathematics in relation to topic discussed here, better to shutup your nonesense.

Mi naongea kuhusu takwimu ya "wanaume matajiri walio na watoto wakike more than 30% wana practice ubaby dady" we unaona akili mbovu kwamba sina data. no research no right to speak mzee nimeresearch hii hali ya ubaby dady and i got null hypothesis. fahamu namna ya kuclassfy hiyo statement niliyo tag into segment, ndio maana hesabu ni ugonjwa wa taifa.

Swali? Sasa unafahamu matokeo ya mtoto wakike kujibebisha kwa baba yake? 😃😆

stop being an idiot na kuita wenzako kichwa boksi wakati huna data, you must be such a brainwashed person. kutukana ni ushamba bisha kwa hoja.
 
Hapana vipi unataka unitoe lunch? [emoji12][emoji12][emoji12]
nakuona kitumbo kimeingia kwa ndani 😆😆 KFC leo vipi au twenzetu kilimanjaro regency maana ni po kwenye draft kuna ishu nasikilizia hapa ikitiki tuende 😅😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom