Akili yako mbovu sana, unajua asilimia 30 ya wanaume wote Tanzania ni milioni ngapi? Au unaropokwa tu.Kiingeleza ni kitu gani? Swali rahisi kwako wewe, kama kuandika kiswahili unashindwa, Je? kuongea kiswahili.
Unapo toa kasoro kwenye uandishi wa mwenzako hakikisha na wewe upo sahihi.
Wakati natoa maelezo kuwa Tanzania nzima ina 39.99% wewe unashupalia kwa dar es salaam pekee yake.
Mkuu kuwa makini.
Sawa basi wewe endelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mabinti zakoTumia akili wewe! Hivi kwa akili yako ni nani anatakiwa kuwa na busara kati ya mtoto na baba?! Sasa kwa akili yako ikiwa baba anabaka binti yake wa miaka 14 ndo atashindwa kulala na mtoto wake wa 21? Au unashindwa kujiongeza kwamba hayo yamefahamika kwa sababu wahusika ni watoto lakini ingekuwa ni mabinti wazima, kwanza hata hizo mimba zisingetokea, na hata kama zingetokea, zingechoropolewa?
Mimi siwezi kutembea na binti yangu, ila naweza kutembea na binti yako au binti wa mama yako.Unaweza ukakuta wewe pia ni miongoni mwa wababa wanao tembea na binti zao. I trust my intuition.
Boss naomba unioneshe huyo boda aliekukera nikarushe mawe juu ya bati lakeWapi huko?
Huku kwetu ni mwendo wa wamama na bodaboda tu
Wew jamaa Mungu anakuona, dah nimecheka sana japo pia nimeumia.Kwa matajiri tu 70% mkuu hii tabia ipo na ni kwa vitoto vinavyokua sasa hivi kwa baba yao vina uzungu mwingi, dharau kwa wanaume, hawataki kuolewa wanataka wapate Mr. Right.
Mtoto ni wako umekaa sitting room kavaa bikini inaonekana au yuko nusu uchi afu anakunywa wine eti cheers dady huku anakuhug hey dady, ukikagua toto linafanana na mama yake copyright wewe huna hata chembe naye lakini ni wako, shetani anapiga honi [emoji6][emoji6]
Sasa kuna mibaba inawaendekeza watoto uzungu binti yuko 30 hana mume.
Hapo kulana kwa mtoto na baba ipo sana tena sana kwa taarifa yako sasa wababa ndio wanawaendekeza hawa watoto ubaby dady.
Boss naomba unioneshe huyo boda aliekukera nikarushe mawe juu ya bati lake
Wanakaba kila kona, wanafunzi, wadada wa kazi sasa wameingia hadi kwa wake za watu....Boda boda washenzi sana
Wanakaba kila kona, wanafunzi, wadada wa kazi sasa wameingia hadi kwa wake za watu....
Inabidi serikali iingilie kati π
ndio maisha yao wamejichagulia wacha wapambane hali zao tu.Wew jamaa Mungu anakuona, dah nimecheka sana japo pia nimeumia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa wanafunzi ndo kabisa
Kama wake zao vile
kama hujui statistical mathematics in relation to topic discussed here, better to shutup your nonesense.Akili yako mbovu sana, unajua asilimia 30 ya wanaume wote Tanzania ni milioni ngapi? Au unaropokwa tu.
Kwamba unakisia kuwa zaidi ya wanaume milioni kumi wanalala na watoto wao wa kike?
Mjinga kama wewe huwezi kosoa Lugha yangu sababu iko wazi wewe ni kichwa box.
ushakula mremboβΊππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana vipi unataka unitoe lunch? [emoji12][emoji12][emoji12]ushakula mrembo[emoji5][emoji16][emoji16]
nakuona kitumbo kimeingia kwa ndani ππ KFC leo vipi au twenzetu kilimanjaro regency maana ni po kwenye draft kuna ishu nasikilizia hapa ikitiki tuende π π π π π πHapana vipi unataka unitoe lunch? [emoji12][emoji12][emoji12]
Mbona umehamaki? Toeni mfano sio mnakuza mambo tu.Acha uongo mkuu nyie mnao jifanya kusema hamjawahi ndio mnakuwaga wahusika wakuu