Kwanini siku hizi mahusiano ya kimapenzi kati ya baba mzazi na binti yameshamiri sana?

Akili yako mbovu sana, unajua asilimia 30 ya wanaume wote Tanzania ni milioni ngapi? Au unaropokwa tu.

Kwamba unakisia kuwa zaidi ya wanaume milioni kumi wanalala na watoto wao wa kike?
Mjinga kama wewe huwezi kosoa Lugha yangu sababu iko wazi wewe ni kichwa box.
 
Sawa basi wewe endelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mabinti zako
 
Unaweza ukakuta wewe pia ni miongoni mwa wababa wanao tembea na binti zao. I trust my intuition.
Mimi siwezi kutembea na binti yangu, ila naweza kutembea na binti yako au binti wa mama yako.
 
Sabab

1.ushirikina ,kama mama mzazi watajiri anaweza chakula chamwanae ili biashara isonge ,nashindwaje kwamtoto wakumzaa

2..watoto nje yandoa zetu wakike hasa wamekua wengi ,unakula matuzo unayotoa
 
Aise!!! Ngoja niendele kusoma comments tu
 
Wew jamaa Mungu anakuona, dah nimecheka sana japo pia nimeumia.
 
kama hujui statistical mathematics in relation to topic discussed here, better to shutup your nonesense.

Mi naongea kuhusu takwimu ya "wanaume matajiri walio na watoto wakike more than 30% wana practice ubaby dady" we unaona akili mbovu kwamba sina data. no research no right to speak mzee nimeresearch hii hali ya ubaby dady and i got null hypothesis. fahamu namna ya kuclassfy hiyo statement niliyo tag into segment, ndio maana hesabu ni ugonjwa wa taifa.

Swali? Sasa unafahamu matokeo ya mtoto wakike kujibebisha kwa baba yake? πŸ˜ƒπŸ˜†

stop being an idiot na kuita wenzako kichwa boksi wakati huna data, you must be such a brainwashed person. kutukana ni ushamba bisha kwa hoja.
 
Hapana vipi unataka unitoe lunch? [emoji12][emoji12][emoji12]
nakuona kitumbo kimeingia kwa ndani πŸ˜†πŸ˜† KFC leo vipi au twenzetu kilimanjaro regency maana ni po kwenye draft kuna ishu nasikilizia hapa ikitiki tuende πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…