Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu huwa hawana mahusiano ya kingono na watoto wao. Wazungu wanajiheshimu kuliko waafrica wenye tabia chafu na kukosa utu
Yaan bora hata wee umesema.Wazungu huwa hawana mahusiano ya kingono na watoto wao. Wazungu wanajiheshimu kuliko waafrica wenye tabia chafu na kukosa utu
Ni wachache Sana kule wanaheshimu haki za watoto Sana, na vitu viko wazi tofauti na huku twajifanya twapinga ushoga wakati ukute mashoga ni wengi ni vile wamefanya Siri tu.Hata kwao wapo wenye tabia hizo.
Ila wabongo tunafanya mengi gizani ni vile hatuko wazi ka wao the only difference ni uwazi tu, huku twaweza washindaIncest imeshamiri sana kwa wazungu kuliko kwa waafrika. Google ujionee
Ulozi wenye lengo la kutafuta utajirSiku hizi limekuwa jambo la kawaida sana kwa baba kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti yake wa kumzaa mwenyewe.
Tatizo Ni Nini wakuu? Ni tamaa za kingono au Kuna sababu za kishirikina nyuma yake?
Wa Africa tuna tabia mbovu nyingi na roho za ajabu plus unafiki na ndo tunaongoza kwenda kwenye majumba ya ibada.Yaan bora hata wee umesema.
Ila wabongo tunafanya mengi gizani ni vile hatuko wazi ka wao the only difference ni uwazi tu, huku twaweza washinda
Naona huku hvo vitu Africa viko ila kwa vile huwa ni Siri kubwa wazungu wao wako wazi hawataki unafiki tu. Mfano ushoga Tanzania wako wengi ila kwa unafiki husema hawapo na kulaumu tu wao mashoga na kusahau wanaowafanya lohUdhaifu wa wazungu uko hapo kutembea kufanya conjugal relation na ndg zao labda kama hujawahi kukaa nao.
Pia katika upande wa Africa baba kutembea na mwanae dada mtu shangazi mtu ni jambo la mwisho katika mambo ya ajabu hilo kwa kweli tunajitahidi sana, likitokea ni nadra linahusiana na ushawi ulevi au uendawazimu.
😅Based on my intellectual capacity and my vast knowledge and skills about this, Tactically and tentatively right from the start of times especially in the light of eclesiastical evolution and come to a concrete ,Definite and profound conclution actually I have nothing to say.
Thank you.
Sawa tabia hizo zipo kwa kificho kikubwa ila sio kwa kiasi kama wazungu pia wa Africa hususani sisi watanzania tuna umbeya hatuwezi kificha siri kwa mda murefu lazima litajulikana.......kwa hayo mambo yapo but not to that extent kama mleta uuzi anavo sema kushamiriNaona huku hvo vitu Africa viko ila kwa vile huwa ni Siri kubwa wazungu wao wako wazi hawataki unafiki tu. Mfano ushoga Tanzania wako wengi ila kwa unafiki husema hawapo na kulaumu tu wao mashoga na kusahau wanaowafanya loh
Ogopa watu wanao fanya madhambi kwa udhahiri,hao wanakuwa wamefikia ukomo wa utendaji wa madhambi huwezi kumlinganisha na mtu anayefanya kwa kujificha. Hawa mara nyingi kuacha ni virahisi.Naona huku hvo vitu Africa viko ila kwa vile huwa ni Siri kubwa wazungu wao wako wazi hawataki unafiki tu. Mfano ushoga Tanzania wako wengi ila kwa unafiki husema hawapo na kulaumu tu wao mashoga na kusahau wanaowafanya loh
Mwaka 2017 Baba moja Australia wa miaka 54 alichimba hadake ndani ya nyumba yake kategeneza chumba kizuri ndani kachukua bint yake wa kwanza akawa mke wake anakuja kukamatwa tayari amemzalisha watoto wa nne, na hao wengine wadogoalikua anatembea nao kutumia nyumba esio handaki kwa jumla alikua anatembea na bint zake watatu.Naona huku hvo vitu Africa viko ila kwa vile huwa ni Siri kubwa wazungu wao wako wazi hawataki unafiki tu. Mfano ushoga Tanzania wako wengi ila kwa unafiki husema hawapo na kulaumu tu wao mashoga na kusahau wanaowafanya loh
Acheni ubishi usio na maana! Ni mara ngapi imewahi kuripotiwa suala la watoto kupewa ujuazito na baba zao wa kuwazaa?! Geni, na ambalo sijawahi kulisikia ni la akina mama kulalwa na watoto wao wa kuwazaa lakini akina baba kuwalala watoto wao wa kuwazaa wala sio jambo gani, kwahiyo achenio kujitia upofu ili muonekane eti maadili sana. Ni upuuzi kumtaka mchangia mada eti aseme ikiwa anaweza ku-sex na mamake kama lengo la kuthibitisha watu wanalala na binti zao.Ukifikiria kama binti anaweza kusex na babaake basi fikiria kama wewe unaweza kusex na mamaako then jiulize inawezekana?. Msilete story za kufikirika mradi kufurahisha njozi zenu kwa wengine. Jirikirie wewe unaweza kusex na mamaako kwanza?
Hesabu zako za Kichina, kama idadi ya wakazi wa Dar ni 6million hivyo hiyo 1.8million ni asilimia 30 ya wakazi wote na si 30% ya wababa wenye mabinti.Kuna mtu amekuambia kuandika Kiingeleza ndiyo kujibu swali.
Dar kuna watu zaidi ya milioni sita, asilimia 30 ya milioni sita ni 1.8, Unataka kusema wababa milioni moja na laki nane Dar wanafanya mapenzi na mabinti zao?
Au unaongea ongea tu.
Wewe unaleta kesi za ubakaji wakati mtoa mada katoa hoja za watoto wa kike kulala na babazao kwa hiari yao na akili zao sasa jiulize wewe unaweza kulala na mamaako kwa hiari yako?Acheni ubishi usio na maana! Ni mara ngapi imewahi kuripotiwa suala la watoto kupewa ujuazito na baba zao wa kuwazaa?! Geni, na ambalo sijawahi kulisikia ni la akina mama kulalwa na watoto wao wa kuwazaa lakini akina baba kuwalala watoto wao wa kuwazaa wala sio jambo gani, kwahiyo achenio kujitia upofu ili muonekane eti maadili sana. Ni upuuzi kumtaka mchangia mada eti aseme ikiwa anaweza ku-sex na mamake kama lengo la kuthibitisha watu wanalala na binti zao.
MARA: Baba ampa mimba mtoto wake, abaka wengine wawili
Baba ampa mimba mama na binti yake, Watokomea kusikojulikana, Mama aeleza ilivyokuwa - Video - Bongo5.com
NJOMBE: Baba mbaroni kwa kumbaka binti yake wa kumzaa wa miaka 11 - Bongo5.com
Na hapo sijaweka habari kutoka blogs za udaku kama Global Publishes wala blogs zisizo na majina pamoja na YouTube channels zisizo na majina. Aidha, hizo ni zile ambazo nimeripotiwa! Kuna issues ngapi hazipo reported!
Wewe utakuwa unatokea sayari ya Mars,Hamna kitu Kama hicho mkuu Ni story za kwenye kahawa tu,..baba mzazi na binti hakunaga kibongo bongo
Tumia akili wewe! Hivi kwa akili yako ni nani anatakiwa kuwa na busara kati ya mtoto na baba?! Sasa kwa akili yako ikiwa baba anabaka binti yake wa miaka 14 ndo atashindwa kulala na mtoto wake wa 21? Au unashindwa kujiongeza kwamba hayo yamefahamika kwa sababu wahusika ni watoto lakini ingekuwa ni mabinti wazima, kwanza hata hizo mimba zisingetokea, na hata kama zingetokea, zingechoropolewa?Wewe unaleta kesi za ubakaji wakati mtoa mada katoa hoja za watoto wa kike kulala na babazao kwa hiari yao na akili zao sasa jiulize wewe unaweza kulala na mamaako kwa hiari yako?
Hii ngumu sana. Mimi naishi na wanangu mpaka kucheza nao,yupo mmoja ni mkubwa,yuko six now, lakini hata mshtuko wa kuwaza hilo haupo. Labda ungeniambia ma-HG,hao wanaliwa sanaKwa matajiri tu 70% mkuu hii tabia ipo na ni kwa vitoto vinavyokua sasa hivi kwa baba yao vina uzungu mwingi, dharau kwa wanaume, hawataki kuolewa wanataka wapate Mr. Right.
Mtoto ni wako umekaa sitting room kavaa bikini inaonekana au yuko nusu uchi afu anakunywa wine eti cheers dady huku anakuhug hey dady, ukikagua toto linafanana na mama yake copyright wewe huna hata chembe naye lakini ni wako, shetani anapiga honi [emoji6][emoji6]
Sasa kuna mibaba inawaendekeza watoto uzungu binti yuko 30 hana mume.
Hapo kulana kwa mtoto na baba ipo sana tena sana kwa taarifa yako sasa wababa ndio wanawaendekeza hawa watoto ubaby dady.
Yaan hadi Jah mwenyewe anabaki kushangaa.Wa Africa tuna tabia mbovu nyingi na roho za ajabu plus unafiki na ndo tunaongoza kwenda kwenye majumba ya ibada.