Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Saudia mali nyingi ni za Wamarekani 😂😂Unajicheka kwa aibu, mjinga uliyedhani umekuja na fumbo, kumbe umejivua nguo.
Kavurugwa na Kitu moto ya DubeiFaiza unapoteza heshima yako kwa mambo ya ajabu kama haya.
Jitathimini utauona ukweli.
Kama hawaitumii wapewe raia. Kama ambavyo tunashauri hapa kuhusu za kidini.Kuna nchi jirani inahodhi pale bagamoyo hekari 6000 hizo zimebainika tuu ila inahodhi ardhi nyingi zaidi. Nchi hii jirani laia wake wanahidhi sana ardhi huku kwetu wakati kwao hatauwezi kumiliki. Nashauri tunyang'anye
Kama ni mapori wapewe wamatumbi wafuge
Kama ni mashamba wapewe wamatumbi walime
Kama ni apartment wapewe wamatumbi waishi na wake zao
Hii itaendana vizuri na mpango wa FaizaFoxy wa BBT
Naomba kuwasilisha
Naunga mkono hoja hasa RC,Siyo siri, Tanzania taasisi za kidini takriban zote, kwenye mikoa na wilaya zote zinahodhi maeneo makubwa ya ardhi ambayo hayatumiki kabisa au utakuta kwenye maeneo yao makubwa wanayohodhi kinejengwa kijumba kimoja au viwili vya kuzuga tu.
Wakati huohuo tunasikia mara kwa mara migogoro ya majeshi yetu na raia kuhusu ardhi.
Kwanini serikali isizirudishe hizo ardhi na kuwapa raia?
. Maeneo ya mashambani wapewe wenye kuhitaji kulima japo eka mbili mbili. Wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwagiliaji.
Maeneo ya maporini wapewe wafugaji waanze kufundishwa kupanda majani bora ya mifugo kama alfalfa na mengineyo, nao wawekewe miundombinu ya kilimo cha umwaguliaji. (irrigation). Wakafuge huko badala ya kuwa wahamahamaji, kurandaranda Tanzania nzima wskitafuta majani ya mifugo yao.
Maeneo ys kuishi watu wapewe raia wajenge.
Hii utaendana vizuri na mpango wa mama Samia wa BBT.
Nawakilisha.
Ajuza, naona unawashwa
Ni ujinga wao wanataka vya bure vilivyoandaliwa. Nchi hii ardhi kwa asilimia 60 haijatumika so ni wewe ujitoe sehemu moja uende nyingine sio lazima tukae sehemu moja. Mi nimenunua ardhi kubwa bure kabisa. Ni wavivu tu ndio wanapenda vya bure kama waliouza bandari wakitegemea waarabu wataifanya Dubai in TanzaniaKwani raia wanapovamia maeneo ya jeshi au ardhi za wawekezaji au watu wengine, ardhi sehemu zingine inakuwa imekwisha?
NashukuruKama hawaitumii wapewe raia. Kama ambavyo tunashauri hapa kuhusu za kidini.
Sheria ni maandishi tu hayo.Sheria za Tanzania za kuhodhi ardhi ni iwe imeendelezwa ndani ya miaka mitatu, kama sikosei.