Kwanini Tanzania hakuna daily briefing juu ya Corona virus pandemic?

Kama kutotoa habari ni kinyume cha sheria, je kupitia mahakama wadau wana uwezo wa kuilazimisha serikali kutekeleza wajibu wake?
 
Wanajifanya wanamuheshimu jiwe, natengeneza website ikusanye report toka kwa wananchi directly anonymously hakuna kuweka namba yako ya simu wala email, ngoja watu watutumie report na picha tuweke wenyewe.

Tako moja linafanya nchi nzima tuonekane machizi
 

Mkuu. Wewe tupe tu data Zote hapa Hakuna Shida. Kwanini ungoje Serikali ambayo hata huna trust nayo. Mwaga mkuu Acha majungu. Na corona Hii tuna bundle la kutosha.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuko pamoja...........
 

Naisubiri kiongozi lini itakuwa tayari mkuu...?
 
Kama kutotoa habari ni kinyume cha sheria, je kupitia mahakama wadau wana uwezo wa kuilazimisha serikali kutekeleza wajibu wake?
Proved
Kama Katiba inasema kuwa ni lazima mwananchi apewe habari, basi hata likipelekwa mahakamani suala hilo, mahakama itaiamuru serikali itekekeze takwa hilo la kisheria.

Lakini kwa mazingira ya nchi yetu ambapo Jiwe aliwahi kutamba kuwa mhimili wake ndiyo uliojichimbia zaidi chini, basi tutarajie mahakama nayo ifanye uamuzi huo kisiasa......

Usije shangaa mahakama ikaamua "kukwepa" mamlaka yake na kudai kuwa inaogopa kugonganisha mihimili!
 
Hakuna kitu kilichokuwa kina kera kama waziri Ummy kujitokeza kututisha. Angalau sasa kaacha mioyo imetulia. Sasa bora aje na mkakati wa kupunguza maambukizi.
 
Hakuna kitu kilichokuwa kina kera kama waziri Ummy kujitokeza kututisha. Angalau sasa kaacha mioyo imetulia. Sasa bora aje na mkakati wa kupunguza maambukizi.
Hivi mtasemaje kuwa waziri Ummy Mwalimu alikuwa anatutisha, wakati alikuwa anatimiza wajibu wake wa kutupa habari za ukweli?
 
Ipo tayari hadi sasa nafanyia marekebisho kidogo tu. Sa hivi natafuta hosting ambaye atapokea malipo kwa kutumia bitcoin kila kitu nafanya kwa bitcoin so hata wakisema watafute aliyetengeneza nani watatafuta mno hawashiki mtu

Much respect kiongozi usisahau kuiweka hapa jamvini ili watu waweze kupata access kiurahisi na kuweza kupata watu wengi zaidi watakaoweza kutoa taarifa sahihi mkuu.

Ubarikiwe sana katika bwana mkuu.
 
Hivi mtasemaje kuwa waziri Ummy Mwalimu alikuwa anatutisha, wakati alikuwa anatimiza wajibu wake wa kutupa habari za ukweli?
Alishindwa kutumia akili. Mbona wagonjwa wa malaria hawatangazwi??? Huwezi kukopy kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…