Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 753
Usichanganye mambo mkuu hio ni Weather forecast, Hapa tunaongelea update za kilichojili kila baada ya muda fulani ni takwimu halisi na sio utabiri ndio mana ya daily briefingdaily briefing. IMEKUWA HALI YA HEWA
Nauliza hili swali sababu kama wananchi tunataka kufahamu ukweli juu ya hili janga. Tunataka waziri wa afya, au msemaji mkuu wa serikali kila siku awe anatoa taarifa zilizo rasmi.
Mbona nchi za wenzetu ambazo zimekumbwa na hili janga kila siku lazima watoe taarifa rasmi kuhusu maambukizi,waliopona na waliofariki.
Au hapa Tanzania ndio kusema mambo yanaenda kimya kimya? Maana watu kila kukicha ni kutishwa tu na habari ambazo sio rasmi.
Mara tunasikia watu wanazikwa usiku, mara tunasikia rubani wa Tanapa alikufa kwa Covid-19,mara kuna maiti imekaa siku mbili mtaa wa Lumumba. Lakini hatusikii serikali ikikanusha wala kuwaambia ukweli wananchi.
Kwa jinsi hili janga lilivyo serious ilipaswa waziri wa afya au msemaji wa serikali angekuwa kila siku anakaa na wanahabari na kutoa takwimu na taarifa rasmi.
Lakini mtu mmoja ambae anamiliki jarida la mtandaoni (Pambazuka) anapoachiwa awe anaandika habari za uongo kuwa watu wanazikwa usiku kimya kimya ni jambo baya maana watu hofu inazidi kwa wananchi.
Inatoka habari kuwa madereva wanne watanzania wamepimwa huko Uganda na kukutwa na ugonjwa wa Covid-19. Hofu inazidi kuwa kubwa kwa wananchi.
Hivyo ili kuondoa hofu lazima mtupatie taarifa rasmi,kama nchi tupo wapi?
Maambukizi ni mengi? Yamepungua? Na wanaopona ni kiasi gani? Hii iwe kila siku na mruhusu kupigwa maswali na waandishi wa habari kama Andrew Cuomo gavana wa New York anavyofanya kila siku. Maana hatulali ni hofu tu.
Nimecheka sababu unashindwa kutofautisha praise team na msema kweli.Wewe ni praise team sasa unataka nani akijibu hili swali wakati wahusika wote huwa unakutana nao huko Lumumba?
Ndio maana nilimjibu kidhungu vs ug'eg'e. Watu kama hawa hakuna haja ya kuwafafanulia mkuu.Usichanganye mambo mkuu hio ni Weather forecast, Hapa tunaongelea update za kilichojili kila baada ya muda fulani ni takwimu halisi na sio utabiri ndio mana ya daily briefing
Tutakwisha, na tunakwisha kweli! Bilgates alisemaje kumbe vile?
Ndio huu upotoshaji unatakiwa kutolewa ufafanuzi kila siku.Tutakwisha, na tunakwisha kweli! Bilgates alisemaje kumbe vile?
Faustine Ndugulile si alisema kujifukiza sio salama? Unaunguza njia ya hewa bure wadudu wanashambulia mapafu moja kwa moja.Kuna kitu bado sijakifahamu vizuri kwenye hii pandemic, mostly wanaokufa au kuambukizwa ni watu Wa juu kwa maana ya vyeo na Wa kati, sijapata ninaemfahamu kapuku ameambukizwa au kufa( hapa sijaelewa vema hili gonjwa)
Right now kuna banker mmoja amerest tetesi zinasemwa ni covid19 so people wanasubiri modality ya maziko wajipe conclusion.
Hopeful bank nzima na wateja watapigwa karantini.
Tuendelee kukikinga kadri tuwezavyo.
Mnaoenda bank jitahidini muende na kalamu zenu from home, zile za kwenye kamba usalama hafifu sana, tetesi za kitaa bank manager's, bank Teller's kadhaa wamepata maambukizi.
Kujifukiza pia njia mbadala tusiache.
Kwa sababu wanakutana na watu wengi zaidi, kwasababu ni Wagonjwa, kwa sababu kinga zao ziko chini, kwa sababu cases nyingi hazijaripotiwa, kwasaba...Kuna kitu bado sijakifahamu vizuri kwenye hii pandemic, mostly wanaokufa au kuambukizwa ni watu Wa juu kwa maana ya vyeo na Wa kati, sijapata ninaemfahamu kapuku ameambukizwa au kufa( hapa sijaelewa vema hili gonjwa)
Right now kuna banker mmoja amerest tetesi zinasemwa ni covid19 so people wanasubiri modality ya maziko wajipe conclusion.
Hopeful bank nzima na wateja watapigwa karantini.
Tuendelee kukikinga kadri tuwezavyo.
Mnaoenda bank jitahidini muende na kalamu zenu from home, zile za kwenye kamba usalama hafifu sana, tetesi za kitaa bank manager's, bank Teller's kadhaa wamepata maambukizi.
Kujifukiza pia njia mbadala tusiache.
Kwa sababu wanakutana na watu wengi zaidi, kwasababu ni Wagonjwa, kwa sababu kinga zao ziko chini, kwa sababu cases nyingi hazijaripotiwa, kwasaba...Kuna kitu bado sijakifahamu vizuri kwenye hii pandemic, mostly wanaokufa au kuambukizwa ni watu Wa juu kwa maana ya vyeo na Wa kati, sijapata ninaemfahamu kapuku ameambukizwa au kufa( hapa sijaelewa vema hili gonjwa)
Right now kuna banker mmoja amerest tetesi zinasemwa ni covid19 so people wanasubiri modality ya maziko wajipe conclusion.
Hopeful bank nzima na wateja watapigwa karantini.
Tuendelee kukikinga kadri tuwezavyo.
Mnaoenda bank jitahidini muende na kalamu zenu from home, zile za kwenye kamba usalama hafifu sana, tetesi za kitaa bank manager's, bank Teller's kadhaa wamepata maambukizi.
Kujifukiza pia njia mbadala tusiache.
Upotoshaji gani? Ufafanuzi gani? Wa nini? Ugonjwa upo tuache siasa na kujimwambafai ujinga.Ndio huu upotoshaji unatakiwa kutolewa ufafanuzi kila siku.
Kwa sababu wanakutana na watu wengi zaidi, kwasababu ni Wagonjwa, kwa sababu kinga zao ziko chini, kwa sababu cases nyingi hazijaripotiwa, kwasaba...
Faustine Ndugulile si alisema kujifukiza sio salama? Unaunguza njia ya hewa bure wadudu wanashambulia mapafu moja kwa moja.
Sio kujimwambafy waje hao wasemaji rasmi watupe hali halisi ilivyo. Kwani wanashindwa nini kuleta taarifa rasmi.Upotoshaji gani? Ufafanuzi gani? Wa nini? Ugonjwa upo tuache siasa na kujimwambafai ujinga.
Ndio maana kuna dash, sababu zinaendelea ila naogopa kuitwa sio mzalendosisi walalahoi hizo sifa hatuna eeehhh?
Mpwa, you are asking a very good question to a wrong person!Sio kujimwambafy waje hao wasemaji rasmi watupe hali halisi ilivyo. Kwani wanashindwa nini kuleta taarifa rasmi.
Hamia Nchi ambayo unafikiri wanazo hizo daily briefing.