uzio usio onekana
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 836
- 2,658
Wewe sasa ndio nimekuelewaKila mtu anaogopa kumuudhi Mfalme watu hawajui wafanye nini
Nakulilia Tanzaniahapo ndio inatubidi tuelewe umuhimu na maana ya uongozi bora.
Sent from my SM-G975F using Tapatalk
Corona haina ubaguzi mkuuSubiri ikikupata utajua takwimu zote wapya na wazamani
Utaerewaaa tuUmeshaambiwa " wengi".............uwe unaelewa bwashee!
Nakulilia Tanzania
Ila mkuu jiwe anatufanya vilaza sana... yani kapiga mkwara na sikuhiyohiyo watu wamepona.Madam Ummy yupo kwenye mfungo, msije mkamharibia funga yake kwakutaka awape data za uongo. Ni bora kukaa kimya kuliko kuongopa saizi akitoa mjue anatoa taarifa halisi na sio za wagonjwa 108 kupona ndani ya Siku moja baada ya hotuba.
Ndio maana tunachukua tahadhari na kufuata miongozo ya kujikinga hili ndio muhimu kutangaziwa wagonjwa wapya sio Kinga kamandaCorona haina ubaguzi mkuu
Leo kamamanda imemuondoaCorona haina ubaguzi mkuu
ngoja tuingie kazini