Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Huyo ni headless chicken mwingine.Akili zingine bana,Like father like son. Kijana wa Lumumba katika ubora wake wa kiwango cha juu kabsa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni headless chicken mwingine.Akili zingine bana,Like father like son. Kijana wa Lumumba katika ubora wake wa kiwango cha juu kabsa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mi niliposkiliza nikajua ile hotuba ilikua ni onyo kutangaza cases hasa za kupata ama kufa ispokua kupona!!Ile speech ya Chato ni cheche ndogo sana inayoteketeza himaya nzima.
Ni balaa zito, bora ukose pesa uwe na elimu kuliko.....Ni kweli watu wengi bado awajapata elimu kuhusu huu ugojwa, hapa mtaani kwetu kuna mwarabu anafuturisha watu tena mbaya zaidi wengi ni watoto wadogo.
Nimesikitika sana baada ya kuona hali ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri anaogopa kutimuliwa, inabidi amridhishe Mfalme kwa taarifa anazopenda kusikia na sio za idadi ya vifo.Hadi kufikia leo zimepita siku kadhaa wizara ya afya ipo kimya, tangu ilipo tangaza idadi ya wagonjwa wa covid 19 kuongezeka hadi 299 na vifo 10 nchini Tanzania.
mbaya zaidi ndani ya kipindi hicho cha ukimya tanzia zinaongezeka zikiwemo za viongozi.
Hii inaleta mstuko mkubwa sababu huku kwetu elimu ya covid 19 ni ndogo sana,wengi wanaamini kunawa mikono na sabuni pamoja na kuvaa barakoa ndo suruhisho lakuthibidi korona.
Hii ina maanisha usafiri,biashara,mikusanyiko kwenye ibada (ramadhani) vipo kama kawaida,hivyo ni vema taarifa zikatolewa kila siku hata kama hakuna ongezeko zitoke hata za maendeleo ya wagonjwa tu.
Hata kama hali ni mbaya ni vema taarifa zikatoka hivyo hivyo,hii itasaidia wanachi hasa wanao ishi maeneo ya vijiji kuchukua tahadhali zaidi.
Mungu ibariki Tanzania,mungu ibariki Afrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Muozo wa CCMHamia Nchi ambayo unafikiri wanazo hizo daily briefing.
Watanzania chapeni kazi haka ni kahoma tu msitishwe....Wasalaam wananzengo
Jamani sina mengi sana ya kuandika ila ninauliza tu Ugonjwa wa Corona umeisha hapa nchini kwetu Tanzania??
Maana nina muda sasa sijapata update ya wagonjwa wapya,waliokufa na waliopona nahisi kama umetoweka hivi
Tangu Magufuli ahutubie wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pale Chato ghafla sijapata taarifa mpya ya Ugonjwa
Au Yale maombi ya siku 3 yakiongozwa na Magufuli yameondosha Ugonjwa?
Manake kimya kabisa ,je Ugonjwa umeisha?
Mi naishi bush bush ndani huku Bukombe.View attachment 1433046