Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Tupo kwenye peak
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Embu acha kudanganya watu. Hakuna kitu kinaitwa kuzoea ugonjwa. China wamepambana nao sana. Umeondola na wananchi wa kutosha.China shule zimeanza kufunguliwa kwa wanafunzi wa final years.. Ugonjwa umeshazoeleka!
Naomba nikuhakikishie na niwahakikishie wengine wanaohisi Huna AKILI kua hawajakoseHamia Nchi ambayo unafikiri wanazo hizo daily briefing.
Tukifika hapo ujue ni wakati wa mtu mmoja mmoja kuchukua tahadhari, the thing is real.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atoe update wakati corona nchini imeasha? Watu wote tumeshajifukizia na kufanikiwa kudevelop imunity,hata wale wachache walioreportiwa kupata corona,sasa wamepona and no new cases,Hongera rais hongera CCM sasa ni mwendo wa kuchapa kazi tuNauliza hili swali sababu kama wananchi tunataka kufahamu ukweli juu ya hili janga. Tunataka waziri wa afya, au msemaji mkuu wa serikali kila siku awe anatoa taarifa zilizo rasmi.
Mbona nchi za wenzetu ambazo zimekumbwa na hili janga kila siku lazima watoe taarifa rasmi kuhusu maambukizi,waliopona na waliofariki.
Au hapa Tanzania ndio kusema mambo yanaenda kimya kimya? Maana watu kila kukicha ni kutishwa tu na habari ambazo sio rasmi.
Mara tunasikia watu wanazikwa usiku, mara tunasikia rubani wa Tanapa alikufa kwa Covid-19,mara kuna maiti imekaa siku mbili mtaa wa Lumumba. Lakini hatusikii serikali ikikanusha wala kuwaambia ukweli wananchi.
Kwa jinsi hili janga lilivyo serious ilipaswa waziri wa afya au msemaji wa serikali angekuwa kila siku anakaa na wanahabari na kutoa takwimu na taarifa rasmi.
Lakini mtu mmoja ambae anamiliki jarida la mtandaoni (Pambazuka) anapoachiwa awe anaandika habari za uongo kuwa watu wanazikwa usiku kimya kimya ni jambo baya maana watu hofu inazidi kwa wananchi.
Inatoka habari kuwa madereva wanne watanzania wamepimwa huko Uganda na kukutwa na ugonjwa wa Covid-19. Hofu inazidi kuwa kubwa kwa wananchi.
Hivyo ili kuondoa hofu lazima mtupatie taarifa rasmi,kama nchi tupo wapi?
Maambukizi ni mengi? Yamepungua? Na wanaopona ni kiasi gani? Hii iwe kila siku na mruhusu kupigwa maswali na waandishi wa habari kama Andrew Cuomo gavana wa New York anavyofanya kila siku. Maana hatulali ni hofu tu.
Mkuu aliteua katibu mkuu mpya kwani hukusikia? Watendeji wote wa wizara wanalipoti kwa katibu mkuu na siyo kwa waziri,hivyo info zote zinaishia kwa katibu mkuu.Toka Mkuu wa Kaya atoe ile hotuba yake kule kijijini, naona upepo wa kutoa taarifa umebadilika kabisa! Watoa taarifa sijui wameingiwa na hofu ya kutumbuliwa!!
Mola atuepushe na hili janga kwa kweli na sisi tukiendelea kuchukua tahadhari kila wakati.
Wasalaam wananzengo
Jamani sina mengi sana ya kuandika ila ninauliza tu Ugonjwa wa Corona umeisha hapa nchini kwetu Tanzania??
Maana nina muda sasa sijapata update ya wagonjwa wapya,waliokufa na waliopona nahisi kama umetoweka hivi
Tangu Magufuli ahutubie wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama pale Chato ghafla sijapata taarifa mpya ya Ugonjwa
Au Yale maombi ya siku 3 yakiongozwa na Magufuli yameondosha Ugonjwa?
Manake kimya kabisa ,je Ugonjwa umeisha?
Mi naishi bush bush ndani huku Bukombe.View attachment 1433046
Wote wanamuogopa jiwe hadi kwenye mambo ya msingi. Watu wazima wanaogopa mtu ambaye anaamini conspiracy theories? hahaha jiwe ni kilaza asiyejijua kua ni kilaza na watu hawalioni hilo, ushamba unamsumbua, bichwa kubwa tu limejaa ye ndo daktari bingwa wa tanzania, mchumi mkuu, profesa wa kila kitu, yaani kwa lugha rahisi mungu wa tanzania. Mtakufa ka kuku keep watching
Mi siwezi kufa kwa korona, nyie ndo mtakufa, na jiwe anajua vizuri tunavyomsema, hujui tu ambavyo anapita jf kila siku anapata hasiraKwa hiyo wewe ni mbuzi huwezi kumwambia? Wewe usie ogopa kamwambie kama una jeuri, pia watakapofikia watu kufa kama kuku na wewe utakuwamo, sasa unamtisha nani, jisemee mwenyewe ndugu.