Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
AiseeAmini tu mpendwa. Hakuna maambukizi mapya.
Anastahili kula ban huyu mleta mada maana analeta taarifa ya kumlisha dada Ummy maneno
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeAmini tu mpendwa. Hakuna maambukizi mapya.
Anastahili kula ban huyu mleta mada maana analeta taarifa ya kumlisha dada Ummy maneno
Wewe ukishapata idadi, wewe na mama yako ndio mnakuwa mmepata dawa?Ni swali chokonozi and it is a matter of curiosity. Takribani wiki sasa tangu tutangaziwe maambukizi na vifo vya COVID19. Hata hivyo tangazo hilo lilikuja baada ya kelele kuzidi huku.
Baada ya idadi mpya kutangazwa Mh.Rais alikuja na tuhuma mpya ya kuhisi ama vifaa vya kupima vina matatizo au kuna hujuma inayosababisha idadi kuwa kubwa.
Sambamba na hilo mbunge aliyekuwa akipigania idadi ya wagonjwa isitangazwe alipandishwa cheo.
Baada ya hapo idadi ya maambukizi mapya haijatangazwa tena.
Naomba kujua kwa hiyo baada ya kuonekana vipimo vinachakachua ndio idadi ya maambukizi haitangazwi tena mpaka itakapoamuliwa?
Idadi ya vifo je nayo imesimamishwa
Ni swali chokonozi and it is a matter of curiosity. Takribani wiki sasa tangu tutangaziwe maambukizi na vifo vya COVID19. Hata hivyo tangazo hilo lilikuja baada ya kelele kuzidi huku.
Baada ya idadi mpya kutangazwa Mh.Rais alikuja na tuhuma mpya ya kuhisi ama vifaa vya kupima vina matatizo au kuna hujuma inayosababisha idadi kuwa kubwa.
Sambamba na hilo mbunge aliyekuwa akipigania idadi ya wagonjwa isitangazwe alipandishwa cheo.
Baada ya hapo idadi ya maambukizi mapya haijatangazwa tena.
Naomba kujua kwa hiyo baada ya kuonekana vipimo vinachakachua ndio idadi ya maambukizi haitangazwi tena mpaka itakapoamuliwa?
Idadi ya vifo je nayo imesimamishwa
Kuuliza si ujinga, siku ile Mkiti alitoa hotuba moja nzuri na moja ya agizo ilikuwa ni kukusanya idadi binafsi ya waathirika wa Covid 19. Je, maendeleo yakoje?
Au ngurumo ya Simba wa Burigi imewakumba kama ilivyoikumba wizara ya Afya Zanzibar na Tanganyika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kati ya nchi zilizokumbwa na covid-19 kuna nchi zingine zaidi ya sisi zenye tatizo kama la kwetu la kutoa majibu ya vipimo yasiyoaminika au ni sisi tu ndiyo tumeonewa na hao mabeberu?Siyo na ndiyo kwa wakati mmoja. Utatoaje takwimu kwa vipimo visivyoaminika??
Kwanza ni lazima aina ya hicho kipimo itajwe ili mjadala uanzie hapo.Hivi kati ya nchi zilizokumbwa na covid-19 kuna nchi zingine zaidi ya sisi zenye tatizo kama la kwetu la kutoa majibu ya vipimo yasiyoaminika au ni sisi tu ndiyo tumeonewa na hao mabeberu?
We aunt mbona una hasira sana? Na sijui kwanini mashangazi kama wewe huwa mna hasira dhidi ya wifi zenu na watoto wao.wewe ukishapata idadi, wewe na mama yako ndio mnakuwa mmepata dawa?
Sent using Jamii Forums mobile app