Ualimu tangu miaka ya tisini ulishaanza kupoteza ladha so ilikuwa ili mtu asome ualimu ni apate division two. Chuo kikuu kilichokuwa kikitoa shahada ya ualimu kilikuwa kimoja tu nacho ni UD hivyo hata kuchaguliwa ualimu kwa grade hizo bado kulikuwa na ushindani na ungeweza kupata mtu ana division one point tisa au nane six akakosa law akachaguliwa BAED. So usishangae wanafunzi reasonably bright wakawa walimu na wengi wamekuwa walimu pia.Labda sikuhizi bana,enzi hizo tunapiga matriculation hakuna mtu mwenye ufaulu mnono alikimbilia ualimu,Zama zimebadilika for sure
Sasa kama Phd kasomea elimu ngazi ya sekondari ama msingi unataka akafundishe chuo?Suala la mwenye PhD kufundisha sekondari au primary ni wazimu wa hali ya juu sana.
Kuna elimu ya sekondari ngazi ya PhD?Sasa kama Phd kasomea elimu ngazi ya sekondari ama msingi unataka akafundishe chuo?
Wazingatie uchawaJuzi nilikua na washkaj zangu wawili waliunga masters baada ya bachelor nikawa nawaambia tu watafute kadi za ccm mapema, wakipiga PhD teuzi ni za kufikia tu ukiwa na kadi ya hiki chama na uchawa flani hivi
Nimeona mkuu, shukran
Siyo dharau. Huo ndiyo ukweli. Sioni tofauti kati ya mwalimu na yayaKwahiyo mwalimu wako aliekufundisha pale chekechea unamfananisha na yule yaya alikuwa anakunyoosha uji pale makanyagio ya mbwa!!?
Acha dharau wewe
Sasa wewe unafanya kazi ili ulipwe pepo??Salary oriented, mna kazi kwelikweli.
Uko sahihi sana, yaani masters ikakae primary? Au ni Masters ya St Maluweluwe university?Hao wanapaswa kua asstant lecturer vyuo vikuu sio sekondari tena, hiyo ndio misallocation of human resource
Nakuona mzee wa TGTS B1 Ukisubiria TGTS C1 hapo JulyNimeona mkuu, shukran
Chukua takwimu vyuoni.Uko sahihi sana, yaani masters ikakae primary? Au ni Masters ya St Maluweluwe university?
Hapana wasome masters bila kujali Ni science/art, haya mambo yanabadilika sana, first degree ya miaka hii ni diploma iliyochangamkaKama BSC akisoma master atakuwa mpumbavu sana. BA education wasome tu master hawana option nyingine.
BSC ed nawashauri msisome master jiendelezeni ujuzi mwingine muanzushe tukampuni uchwara.
Kuna watu wanajya ohms law tu wanatukmpuni uchwara wanapiga hela.
Waacheni ngwine wapige master wakajikombe kombe halmashauri wawe waratibu.
Sidhani Kama hizo takwim ni sahihi..wanafunzi wa Masters 3000 ed. tu, naona Kama idadi ni kubwa Sana.Chukua takwimu vyuoni.
Master za Ed pekee zinazidi 3000 kwa mwaka.
Mara miaka 5. Na wanaosoma ni vijana.
Wapo wengi value yao ishashuka.
Vijana watafute njia nyingine ya kutokea maisha
Mmh sio kweliSidhani Kama hizo takwim ni sahihi..wanafunzi wa Masters 3000 ed. tu, naona Kama idadi ni kubwa Sana.
Umeajiriwa?Hapana wasome masters bila kujali Ni science/art, haya mambo yanabadilika sana, first degree ya miaka hii ni diploma iliyochangamka
Fuatilia vyuo vyote na wanaosoma nje ya nchi.Sidhani Kama hizo takwim ni sahihi..wanafunzi wa Masters 3000 ed. tu, naona Kama idadi ni kubwa Sana.
Ili waendelee kuleta malalamiko humu?Hapana wasome masters bila kujali Ni science/art, haya mambo yanabadilika sana, first degree ya miaka hii ni diploma iliyochangamka
Si kweli msiongee msivyovijua... masters elf 3 kwa mwaka? Serious?Chukua takwimu vyuoni.
Master za Ed pekee zinazidi 3000 kwa mwaka.
Mara miaka 5. Na wanaosoma ni vijana.
Wapo wengi value yao ishashuka.
Vijana watafute njia nyingine ya kutokea maisha
Nadhani hapa ndio palikuwa pa kuanziaMfano2, nchi Kama Uganda, Namibia, Rwanda, Cameroon, DRC, Zambia etc hizo nchi zote rank za mishahara kwa Walimu zinatambua Shahada ya Pili ya Elimu, Sasa kwanini Tanzania ishindikane..kuna haja kwa viongozi wa Elimu kuliangalia upya.
Nasikia mpaka Kuna wakaguzi Elimu Wana diploma jaman duh!
Hata hii first degree inayotambulika miaka hii ujue juz tu hapa miaka ya 90 ilikuwa haitambuliki Ila watu walitoa mapendekezo ikaanza kutambulika, wale wenye kusoma waache wasome hayo malalamiko hawakulalamikii wew na familia yako wanawalalamikia wenye mamlaka ya hayo Mambo ya mishahara.Ili waendelee kuleta malalamiko humu?