Kwanini Tanzania ya sasa Watu wa hovyo kijamii na matukio ya hovyo ndiyo yanashabkiwa na 'Kutrendi' sana?

Kwanini Tanzania ya sasa Watu wa hovyo kijamii na matukio ya hovyo ndiyo yanashabkiwa na 'Kutrendi' sana?

Watu wengi sana nchi hii wana stress za kufa mtu, so wakipata kitu cha kuwafurahisha/kujifariji kidogo inawasaidia kurelease stress zao. Kwa mfano issue ya waziri kushindwa kufafanua kwa ufasaha TRAT na TRAB, wajinga walivyoshabikia utadhani labda inawapunguzia ukali wa maisha
Ninashawishika kwa 100% Kuamini hili.
 
Kwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.

Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?

Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
TRAB na TRAT ni jambo mtambuka
 
Kwahiyo Mpumbavu akitrendi Ulaya au Marekani ni justification kuwa lazima na huku Kwetu Afrika ( hasa Tanzania ) akitokea wa Kufanana nae basi nasi tumuunge mkono?

Huna Akili.
Tanzania pekee ndiyo inayowapa airtime watu design ya Mandonga?

Kenya hawafanyi hivyo? (Githeri man uchaguzi wa 2017)

Vipi Uganda?

Vipi nchi zote za dunia hii?

Isijekuwa ni asili ya binadamu katika nchi yoyote halafu sisi tushangae.

Conclusion ya kusema Tanzania ndio nchi pekee ambayo watu wa masihara hupewa Airtime zaidi inatakiwa ifikiwe baada ya kufanya tafiti katika nchi nyingine na kujua hali ilivyo huko tofauti na Tanzania.
 
world-map-iq.jpg
iQ
 
Kwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.

Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?

Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Acha wivu, mtuachie mandonga wetu mtu kazi, anatufurahisha sana
 
Kwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.

Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?

Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Tanzania ni nchi ambayo inaongoza kuwa na wananchi wengi wapumbavu nadhani kuliko nchi nyingine yoyote Duniani. Inashangaza sana na kunikumbusha umaarufu mwingine wa kipumbavu wa pierre liquid. Sasa mandonga mtu mpuuzi naye wanamtumia kuuharibu mchezo wa masumbwi. Wanalea aibu.
 
Sasa kama hata hao viongozi ndio wako katika kundi hilo na wanajiita wasomi kina Madelu the big stars unategemea nini? the quality of leaders you have the quality of citizens you have pia wanasema the quality of voters you have again the quality of elected leaders you have na hii ndivyo ilivyo , huwezi kuvuna mpunga kwenye shamba na Bangi never
 
Tanzania ni nchi ambayo inaongoza kuwa na wananchi wengi wapumbavu nadhani kuliko nchi nyingine yoyote Duniani. Inashangaza sana na kunikumbusha umaarufu mwingine wa kipumbavu wa pierre liquid. Sasa mandonga mtu mpuuzi naye wanamtumia kuuharibu mchezo wa masumbwi. Wanalea aibu.
Acha wivu wa kike, tokea Mandoga ameanza kupata umaharufu, mchezo wa ngumi hivi sasa tz umepata umaharufu na unaangaliwa na watu wengi. Wewe ambaye unajiona sio mpumbavu ni nani anakujua zaidi ya familia yako??
 
Acha wivu, mtuachie mandonga wetu mtu kazi, anatufurahisha sana
Sentensi yako hiyo ( hii ) ya mwisho ungeimalizia kwa kuandika anawafurahisheni sana Wapumbavu Wenzake ( ukiwemo ) ingependeza mno.
 
Nani alikidanganya tanzania ni taifa la watu welevu?
Ni Werevu na siyo Welevu hebu rekebisha hapo Kwanza upesi sana kwani wengine licha ya Kukipenda mno Kiswahili chetu ila pia tunajivunia nacho mno tu.
 
Acha wivu wa kike, tokea Mandoga ameanza kupata umaharufu, mchezo wa ngumi hivi sasa tz umepata umaharufu na unaangaliwa na watu wengi. Wewe ambaye unajiona sio mpumbavu ni nani anakujua zaidi ya familia yako??
Najulikana na Werevu wachache na wananitosha hivyo sihitaji Mpumbavu kama Wewe na Wenzako mlio wengi mnijue kwani mtaniambukiza tu Upumbavu wenu.
 
Mzungu na Mtanzania pale walipokutana na mtu aliyetoka meno yote ya mbele:

Mzungu: 'Oh, what happened dear?!!!! Sorry!'

Mtanzania: 'Sema Pepsi nikupe 5000 sasa hivi!'


Hili swala linaanzia mbali sana. Kuna siku katika sherehe za kutimiza miaka 25 ya urafiki kati ya India na tanzania, vijana wa kike wa kitz na India walikuwa wanatumbuiza.......mambo yalikuwa ya kawaida tu, vikofi vya hapa na pale n.k. Mshangao ulikuja pale watoto walipofika sehemu ya kukata viuno,.....aisee nilishangaa kuwaona waheshimiwa wangu, wamama na wababa, wameinuka kwenye viti vyao wanashangilia si mchezo....ule mshangilio haukuwa wa nchi hii. Ajabu wakati wa hotuba waheshim8wa wangu hawakupiga hata makofi.....ni kama vile walikuwa wanaona inachelewa kuisha tu!
Daah!
 
Acha wivu wa kike, tokea Mandoga ameanza kupata umaharufu, mchezo wa ngumi hivi sasa tz umepata umaharufu na unaangaliwa na watu wengi. Wewe ambaye unajiona sio mpumbavu ni nani anakujua zaidi ya familia yako??
Nyie machoko mnafurahia ili mkamchune si ndiyo? Mtadhalilisha utu wenu kila siku kwa vitu vidogo na kuambukizwa magonjwa nyie machokolo. Na sasa tutaanza kampeni ya kuwakamata machokolo wote...wachafu sana nyie....hamfai kabisa kwenye jamii. Na sasa nasikia wengi mnataka mandonga....mwishowe msambaze ukimwi tu....
 
Wajinga wengi wanatokea vyuoni! it's unbearable to catch a glimpse of a graduate who does not know how to systematize his or her sentiments.

Tuendelee kunywa bia kwa maendeleo ya Taifa.
 
Nyie machoko mnafurahia ili mkamchune si ndiyo? Mtadhalilisha utu wenu kila siku kwa vitu vidogo na kuambukizwa magonjwa nyie machokolo. Na sasa tutaanza kampeni ya kuwakamata machokolo wote...wachafu sana nyie....hamfai kabisa kwenye jamii. Na sasa nasikia wengi mnataka mandonga....mwishowe msambaze ukimwi tu....
Mtu unajiita chizi alafu unataka watu wakuone una akili🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom