MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #81
Kanenepa au Kakonda au Kapungua?Last week nilimkuta Silent Ocean Chang’ombe kazubaa zubaa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanenepa au Kakonda au Kapungua?Last week nilimkuta Silent Ocean Chang’ombe kazubaa zubaa tu.
Ninashawishika kwa 100% Kuamini hili.Watu wengi sana nchi hii wana stress za kufa mtu, so wakipata kitu cha kuwafurahisha/kujifariji kidogo inawasaidia kurelease stress zao. Kwa mfano issue ya waziri kushindwa kufafanua kwa ufasaha TRAT na TRAB, wajinga walivyoshabikia utadhani labda inawapunguzia ukali wa maisha
Yupo vile vile.Kuna ajira nyingine za hovyo kweli kweli.Kanenepa au Kakonda au Kapungua?
TRAB na TRAT ni jambo mtambukaKwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.
Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?
Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Tanzania pekee ndiyo inayowapa airtime watu design ya Mandonga?Kwahiyo Mpumbavu akitrendi Ulaya au Marekani ni justification kuwa lazima na huku Kwetu Afrika ( hasa Tanzania ) akitokea wa Kufanana nae basi nasi tumuunge mkono?
Huna Akili.
Acha wivu, mtuachie mandonga wetu mtu kazi, anatufurahisha sanaKwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.
Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?
Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Nani alikidanganya tanzania ni taifa la watu welevu?Ndiyo ujue kama Taifa tulikuwa na huenda bado ni Wapumbavu sana tu Ndugu.
Tanzania ni nchi ambayo inaongoza kuwa na wananchi wengi wapumbavu nadhani kuliko nchi nyingine yoyote Duniani. Inashangaza sana na kunikumbusha umaarufu mwingine wa kipumbavu wa pierre liquid. Sasa mandonga mtu mpuuzi naye wanamtumia kuuharibu mchezo wa masumbwi. Wanalea aibu.Kwa mfano Mtu (Bondia) wa hovyo na very Unprofessional Karim Mandonga (ambaye hata Kupigana hajui) na ana Upuuzi mwingi anashabikiwa na kusifiwa kila Kona huku akitrendi ila aliyempiga na anayejua Ngumi Bondia Kaoneka haimbwi, asifiwi, hashabikiwi na hata 'hatrendi' pia hadi Kuonekana ni Mshamba fulani hivi.
Naanza sasa kuamini kuwa kuna shida ndani ya Vichwa vya Watanzania wengi kama tunasapoti Mambo Hasi na Upuuzi mwingi wa Kimatukio katika Jamii yetu hii tukidharauliwa na kuitwa Majuha (Fools) tutakuwa tunakosewa Adabu na wanaotuita hivyo?
Inasikitisha mno tu na haingii Akilini!
Acha wivu wa kike, tokea Mandoga ameanza kupata umaharufu, mchezo wa ngumi hivi sasa tz umepata umaharufu na unaangaliwa na watu wengi. Wewe ambaye unajiona sio mpumbavu ni nani anakujua zaidi ya familia yako??Tanzania ni nchi ambayo inaongoza kuwa na wananchi wengi wapumbavu nadhani kuliko nchi nyingine yoyote Duniani. Inashangaza sana na kunikumbusha umaarufu mwingine wa kipumbavu wa pierre liquid. Sasa mandonga mtu mpuuzi naye wanamtumia kuuharibu mchezo wa masumbwi. Wanalea aibu.
Sentensi yako hiyo ( hii ) ya mwisho ungeimalizia kwa kuandika anawafurahisheni sana Wapumbavu Wenzake ( ukiwemo ) ingependeza mno.Acha wivu, mtuachie mandonga wetu mtu kazi, anatufurahisha sana
Ni Werevu na siyo Welevu hebu rekebisha hapo Kwanza upesi sana kwani wengine licha ya Kukipenda mno Kiswahili chetu ila pia tunajivunia nacho mno tu.Nani alikidanganya tanzania ni taifa la watu welevu?
Najulikana na Werevu wachache na wananitosha hivyo sihitaji Mpumbavu kama Wewe na Wenzako mlio wengi mnijue kwani mtaniambukiza tu Upumbavu wenu.Acha wivu wa kike, tokea Mandoga ameanza kupata umaharufu, mchezo wa ngumi hivi sasa tz umepata umaharufu na unaangaliwa na watu wengi. Wewe ambaye unajiona sio mpumbavu ni nani anakujua zaidi ya familia yako??
Nyie machoko mnafurahia ili mkamchune si ndiyo? Mtadhalilisha utu wenu kila siku kwa vitu vidogo na kuambukizwa magonjwa nyie machokolo. Na sasa tutaanza kampeni ya kuwakamata machokolo wote...wachafu sana nyie....hamfai kabisa kwenye jamii. Na sasa nasikia wengi mnataka mandonga....mwishowe msambaze ukimwi tu....Acha wivu wa kike, tokea Mandoga ameanza kupata umaharufu, mchezo wa ngumi hivi sasa tz umepata umaharufu na unaangaliwa na watu wengi. Wewe ambaye unajiona sio mpumbavu ni nani anakujua zaidi ya familia yako??
Mtu unajiita chizi alafu unataka watu wakuone una akili🤣🤣🤣Nyie machoko mnafurahia ili mkamchune si ndiyo? Mtadhalilisha utu wenu kila siku kwa vitu vidogo na kuambukizwa magonjwa nyie machokolo. Na sasa tutaanza kampeni ya kuwakamata machokolo wote...wachafu sana nyie....hamfai kabisa kwenye jamii. Na sasa nasikia wengi mnataka mandonga....mwishowe msambaze ukimwi tu....
Na wewe unajiita CHOKO unataka watu wakuone una busara? Tena ukaongezea kuwa ni kubwa la machoko. MCHOKOLO.Mtu unajiita chizi alafu unataka watu wakuone una akili🤣🤣🤣
Naona unataka kuchokolewaNa wewe unajiita CHOKO unataka watu wakuone una busara? Tena ukaongezea kuwa ni kubwa la machoko. MCHOKOLO.