Kwanini tukarabati kivuko kwa Tsh. bil 7.5 wakati kipya ni bil 8.5?

Kwanini tukarabati kivuko kwa Tsh. bil 7.5 wakati kipya ni bil 8.5?

IKO NAMNA, BASI S BORA KINUNULIWE KIPYA?
Mkuu hupo sahihi,kwanza huyo waziri nadhani hajui uhalisia, Mungu anisamehe.
1.Kazi za ukarabati kwenye karakana ya African Marine ni kichekesho,Sio Ile African Marine ya enzi zile.
2.Muda wa kukarabati kama kuikarabati kisawasawa utakuwa muda mwingi kuliko hizo commitments zao.Waziri asiigizwe kwa wapigaji,itamtokea puani,amini usiamini.
3.Hata kama zitaletwa Machine mpya LAKINI hakuna uhakika wa kufanya perfect installation hilo nina uhakika nalo.
4.Lets go to plan B.either kununua bland new,au ikarabatiwe hapa hapa nyumbani kwenye karakana zetu yaani TPA Drydock,au Navy hata karakana za muda as long as tunampata capable contractor mwenye weledi and appropriate, manpower na vifaa vyakutoshereza, thabiti vya kufanyoa kazi.
 
IKO NAMNA, BASI S BORA KINUNULIWE KIPYA?
Nakubaliana na wewe. Hicho chakavu kizamishwe kwenye bahari ya kina kirefu yawe mazalia ya samaki.
Hakuna mtu mwenye chembe ya akili anayeweza kukarabati gari bovu ambalo sio Classic kwa gharama ya kununua jipya. Hapa kuna nia mbaya. Mbona MaV8 ya zamani hayakarabatiwi, tunanunua mapya kila mwaka!!
 
Mambo mengi watu wanafanya kiujanja ujanja!

Kipindi cha Sea tax za azam zilipoanza kutoa huduma kwa zaidi ya miezi 4 kienyeji; tulihoji humu hao azam wako pale kwa mkataba gani wa kiserikali? (Hata kama walikuja kutoa msaada ni jambo zuri lakini kwa mkataba gani?) (Watu wa procurement watanielewa zaidi)

Hawakuwa na majibu yoyote zaidi ya kusema ni msaada.
Lakini kwa mujibu wa sheria za usafilishaji! Walikuwa wanamakosa makubwa!

Siku tatu baada ya kuhoji hilo wakaenda kutangaza tenda ya sea tax huko TANEPS!
Na wakaweka vigezo vyote vya azam hadi rangi ya TAX, yaani kiufupi ni kwamba hata angekuja mwingine asingepewa! Yote kheri!

Matengenezo ya MV magogoni

Hiki kivuko kiliundwa kipya kwa 7.5bil
Hata kama kuna ongezeko la shilingi haliwezi kuzidi 70% ya bei ya awali! HAIWEZEKANI

Ufafanuzi wanadai kwamba kwa sasa vifaa vimepanda kwamba ingekuwa kukisuka upya Leo kingegharimu 25bil yaani ni uongo wa standard gauge!

Labda watu tueleweshane vizuri!

Marekebisho ya MV magogoni iliyoundwa mpya kwa 7.5bil yanagusa sehemu zifuatazo
1. Kuondo vipande vya Bati (ungalvanise sheet) ambayo bei ya square meter moja ni around 1mil; kipande cha mbele na nyuma ambacho ni kibovu hakizidi square mita 100 >Fanya iwe Mara tatu yake potelea mbali ni 300 mil
2. Engine mbili mbovu! ( lina engine 4) hapo kuzikarabati kila moja ni 100mil sasa tufanye kuziondoa zote kabisa tufunge mpya 400mil jumla 1.2bil
Na hapo ikumbukwe injini za MV Magogoni zilikufa kwa tabia ya kubana mafuta, yaani badala ya kuendesha kwa kuwasha injini zote, walikuwa wanazima mbili hivyo lilisukumwa na injini mbili tu kiasi ya kuzifanya zife mapema!
3. Kupuliza rangi 100mil inatosha
4. Marekebisho ya umeme Fanya unanunua vifaa vipya 300mil
5. Yale mabenchi ya mbao juu chini wape 100mil
6. Yale maboya na makorokoro hayazidi 50mil

Jumla ya mambo hapo 2bil sasa ongezea mafuta, escort na miundombinu wezeshi kama crane haiwezi maliza 300mil

Only 2.3bil ambapo kwa mkandarasi wampe 3.5bili tena anabakiwa na faida kibao ambayo angeweza tengeneza MV kigamboni kama asante!

Na hayo ni mahesabu ya juu sana!
Yameleta only 2.3bil
Sasa hiyo wanayosema 8.9 bil Kurekebisha wana rekebisha nini jaman!

Songoro marine na wenzake waliopo tanzania waliwezaje kuunda inakuwajre Leo washindwe kukarbati?
Wekeni tenda wazi gharama za ukarabati haizidi 3.5 billion

Kama VIVUKO Siyo sehemu ya upigaji si bora mjenge daraja la chini ya maji kwa 350bilion kuondoa kero ya kudumu ?
Namna ya kulijenga daraja niliwahi kuainisha hapa

Hamuoni hata huruma roho za watu zinavyoeelea hapo kila Siku miaka nenda miaka rudi jaman
Well analyzed,
Naibu waziri wa Afya juzi ametoka kusema kuwa washauri wengi wa mama ni wajinga, nadhani alimaanisha ujinga wa kutojia mambo lkn pia ujinga wa kudhani watanzania ni wale wale wa kuwadanganya siku zote.

By the way bado nakiona kivuko pale usikute wamekuja shituka kuwa wanapigwa ndo wameamua kukisubirisha!!
 
Mambo mengi watu wanafanya kiujanja ujanja!

Kipindi cha Sea tax za azam zilipoanza kutoa huduma kwa zaidi ya miezi 4 kienyeji; tulihoji humu hao azam wako pale kwa mkataba gani wa kiserikali? (Hata kama walikuja kutoa msaada ni jambo zuri lakini kwa mkataba gani?) (Watu wa procurement watanielewa zaidi)

Hawakuwa na majibu yoyote zaidi ya kusema ni msaada.
Lakini kwa mujibu wa sheria za usafilishaji! Walikuwa wanamakosa makubwa!

Siku tatu baada ya kuhoji hilo wakaenda kutangaza tenda ya sea tax huko TANEPS!
Na wakaweka vigezo vyote vya azam hadi rangi ya TAX, yaani kiufupi ni kwamba hata angekuja mwingine asingepewa! Yote kheri!

Matengenezo ya MV magogoni

Hiki kivuko kiliundwa kipya kwa 7.5bil
Hata kama kuna ongezeko la shilingi haliwezi kuzidi 70% ya bei ya awali! HAIWEZEKANI

Ufafanuzi wanadai kwamba kwa sasa vifaa vimepanda kwamba ingekuwa kukisuka upya Leo kingegharimu 25bil yaani ni uongo wa standard gauge!

Labda watu tueleweshane vizuri!

Marekebisho ya MV magogoni iliyoundwa mpya kwa 7.5bil yanagusa sehemu zifuatazo
1. Kuondo vipande vya Bati (ungalvanise sheet) ambayo bei ya square meter moja ni around 1mil; kipande cha mbele na nyuma ambacho ni kibovu hakizidi square mita 100 >Fanya iwe Mara tatu yake potelea mbali ni 300 mil
2. Engine mbili mbovu! ( lina engine 4) hapo kuzikarabati kila moja ni 100mil sasa tufanye kuziondoa zote kabisa tufunge mpya 400mil jumla 1.2bil
Na hapo ikumbukwe injini za MV Magogoni zilikufa kwa tabia ya kubana mafuta, yaani badala ya kuendesha kwa kuwasha injini zote, walikuwa wanazima mbili hivyo lilisukumwa na injini mbili tu kiasi ya kuzifanya zife mapema!
3. Kupuliza rangi 100mil inatosha
4. Marekebisho ya umeme Fanya unanunua vifaa vipya 300mil
5. Yale mabenchi ya mbao juu chini wape 100mil
6. Yale maboya na makorokoro hayazidi 50mil

Jumla ya mambo hapo 2bil sasa ongezea mafuta, escort na miundombinu wezeshi kama crane haiwezi maliza 300mil

Only 2.3bil ambapo kwa mkandarasi wampe 3.5bili tena anabakiwa na faida kibao ambayo angeweza tengeneza MV kigamboni kama asante!

Na hayo ni mahesabu ya juu sana!
Yameleta only 2.3bil
Sasa hiyo wanayosema 8.9 bil Kurekebisha wana rekebisha nini jaman!

Songoro marine na wenzake waliopo tanzania waliwezaje kuunda inakuwajre Leo washindwe kukarbati?
Wekeni tenda wazi gharama za ukarabati haizidi 3.5 billion

Kama VIVUKO Siyo sehemu ya upigaji si bora mjenge daraja la chini ya maji kwa 350bilion kuondoa kero ya kudumu ?
Namna ya kulijenga daraja niliwahi kuainisha hapa

Hamuoni hata huruma roho za watu zinavyoeelea hapo kila Siku miaka nenda miaka rudi jaman
Serikali ya awamu ya sita imeshikiliwa na mafisadi wa awamu ya nne upigaji katika manunuzi haiepukiki. CCM ni chama kilichojaa wezi, mtu safi hawezi kupatikana humo.
 
Well analyzed,
Naibu waziri wa Afya juzi ametoka kusema kuwa washauri wengi wa mama ni wajinga, nadhani alimaanisha ujinga wa kutojia mambo lkn pia ujinga wa kudhani watanzania ni wale wale wa kuwadanganya siku zote.

By the way bado nakiona kivuko pale usikute wamekuja shituka kuwa wanapigwa ndo wameamua kukisubirisha!!
Wanaangalia upepo ukitulia tu kinang'oa nanga kwenda ...hawa watu hawana huruma kabisa
 
Kula watu wale lakini mengine ni mambo ya msingi sana! Kuacha roho za watu rehan ni kujitaftia laana ndo maana viongozi wanaandamwa na mapooza
Hii ndiyo bongo land. Watu wanapiga pesa.
Afrika kuna matatizo mengi sana.
 
Tungeweka sheria za kunyonga wote wanaoidhinisha hujuma!
Inakuwaje pesa nyingi namna hiyo zinaidhinishwa kizembe!
Kosa kubwa tulilolifanya Tanzania.
Kila kitu kinaongozwa na viongozi ( viongozi wapo juu ya sheria. Ilitakiwa iwe hivi
1. Viongozi wajitegemee. Hapa hautaona Mkuu wa mkoa anaenda shule fulani kuchapa wanafunzi viboko.
2. Mahakama ijitegemee
3. Sheria na katiba ijitegemee
4. NEC ijitegemee
5. Jeshi la polisi lijitegemee
6. Vyama vya siasa vijitegemee
7. Elimu ijitegemee
Tukifanya hivi, 1-7 vitakuwa na nguvu kwasababu gharama za matengenezo ya meli yatafanywa kwa usahihi kwa gharama stahiki. Kwasababu 1-7 havijitegemei ndipo unapoona kiongozi ambaye hana ABC anatenga bajeti kwa mtizamo wake anaruhusu bajeti hiyo akijua hakuna sheria itakayomshitaki kwasababu 1-7 anavisimamia yeye.
Hii ndiyo Afrika ndugu. Kama kibanda cha mlizi kinajengwa kwa milion 10 huwezi kushangaa bajeti hii
 
Hawa Jamaa ni wapuuzi sana ,watanzania wasasa sio wajinga ,watu wameelimika,yaani Temesa na waziri wanajitokeza hadharani kutetea wizi inafikirisha sana.

Mh Rais embu zuia kwanza huu wizi ,huu ni upigaji wa waziwazi ,wananchi tunachukia kwasababu mnatutoza mikodi ya kila aina ambayo haina kichwa wala miguu halafu kumbe fedha mnawapa wezi wanazibanjua tu,mnamuongezea mwananchi ugumu tu wa miasha.

Eti waziri anajitokeza na kusema eti kivuko gharama yake ya sasa ni 25B ,hes serious? Hivi meli ya mwaka 2008 iliyokuwa na thamani ya 8.5B kwasasa inauzwa 25B? Its utter non-sense ,Fukuza huyo waziri maana anatufanya waTZ wote ni Mapoyoyo.......Kipindi Range Rover zinaingia hapa TZ tena enzi hizo alikuwa nazo Nimrod Mkono zilikuwa zinauzwa 200m+ ,je kwasasa hizo range gharama yake ni 600m+?? Kipindi Murano zinashika kasi nakumbuka Mwanadada Lady JayDee alinunua kwa mil 50+ ,Je kwa soko la sasa zinauzwa 150m+? Kwa kifupi nataka kusema kwamba devices huwa inashuka thamani kutokana na muda kwasababu ladri muda unavyoenda devices za kisasa zinaundwa na kuifanya ile ya nyuma isiwe na soko hivyo inapunguza price,hii ni kwa vitu vyote hata S9 wakati zinaingia price yake ilikuwa hatari lakini sasa hadi mchunga ngombe akizichanga anamiliki s9.
 
Hawa Jamaa ni wapuuzi sana ,watanzania wasasa sio wajinga ,watu wameelimika,yaani Temesa na waziri wanajitokeza hadharani kutetea wizi inafikirisha sana.

Mh Rais embu zuia kwanza huu wizi ,huu ni upigaji wa waziwazi ,wananchi tunachukia kwasababu mnatutoza mikodi ya kila aina ambayo haina kichwa wala miguu halafu kumbe fedha mnawapa wezi wanazibanjua tu,mnamuongezea mwananchi ugumu tu wa miasha.

Eti waziri anajitokeza na kusema eti kivuko gharama yake ya sasa ni 25B ,hes serious? Hivi meli ya mwaka 2008 iliyokuwa na thamani ya 8.5B kwasasa inauzwa 25B? Its utter non-sense ,Fukuza huyo waziri maana anatufanya waTZ wote ni Mapoyoyo.......Kipindi Range Rover zinaingia hapa TZ tena enzi hizo alikuwa nazo Nimrod Mkono zilikuwa zinauzwa 200m+ ,je kwasasa hizo range gharama yake ni 600m+?? Kipindi Murano zinashika kasi nakumbuka Mwanadada Lady JayDee alinunua kwa mil 50+ ,Je kwa soko la sasa zinauzwa 150m+? Kwa kifupi nataka kusema kwamba devices huwa inashuka thamani kutokana na muda kwasababu ladri muda unavyoenda devices za kisasa zinaundwa na kuifanya ile ya nyuma isiwe na soko hivyo inapunguza price,hii ni kwa vitu vyote hata S9 wakati zinaingia price yake ilikuwa hatari lakini sasa hadi mchunga ngombe akizichanga anamiliki s9.
 
Lakini hebu ifike mahali tujeshimiane kwakweli, hii nchi hamuongozi ng’ombe jamani, hebu acheni huu ushetani mara moja, upigaji gani huu?! Kuweni na huruma!!
 
Hiyo ndiyo Serikali ya CCM,

Hao Ndiyo Wachawi Wetu.
 
Sisi watanzania ni wajinga sana aisee

Mwaka 2008 kivuko kilikua ni 8b leo mwaka 2023 kukarabati kivuko icho ni 7.5b je tumejiuliza bei ya kivuko icho kwa mwaka huu 2023?

Maana ni takribani miaka 15 imepita toka kinunuliwe...
 
Endapo kivuko kimenunuliwa mwaka 2008 je watu walikuwa wanavuka bure?

Kama hapana je hizo pesa mnazopata Kama nauli ya Mtu kuvuka katika kivuko Cha MV Magogoni Tangu 2008 hadi 2023 je hazitoshi kununua kivuko kipya na kukarabati kilichopo.

Mbona Mimi bodaboda naweza kuendesha bodaboda iloyotumika Hadi nikanunua bodaboda mpya yaani boda moja ikazaa nyingine.

Naomba ufafanuzi juu ya hili swala?
 
Back
Top Bottom