Kwanini tukarabati kivuko kwa Tsh. bil 7.5 wakati kipya ni bil 8.5?

Kwanini tukarabati kivuko kwa Tsh. bil 7.5 wakati kipya ni bil 8.5?

Kwanini watanzania wengi wameshtuka kuhusu ukarabati wa kivuko cha MV Magogoni cha kwa gharama za Bilioni 7.5 kwenda kukarabatiwa nchini Kenya.

Lakini ukipitia Tovuti ya TEMESA kwenye eneo la Zabuni hakuna mahali ilipotangazwa zabuni ya kukarabati wa Kivuko cha MV Magogoni.

Lakini nimepitia pia kwenye Account ya Instagram ya Mbunge wa Kigamboni, Dk Ndugulile naye hakuna post aliyoweka kuhusiana na ukarabati wa kivuko hicho.

Yote haya yanakuza mjadala kwanini asipewe Songoro Marine kukarabati kivuko hicho hapo nchini hadi kipelekwe Kenya?

Wajuzi tuendelee kujifunza
WIZI WAO UNAFURAHISHA WALIANZA NA MV HAPA KAZI SASA WAPO NA MV.MAGOGONI
Ukweli Naipenda CCM kwa VIONGOZI WAKE KUWA WAPIGAJI hata JIWE alifungua Akaunti China ya Upigaji
 
Na kwani Nini tutumie gharama kubwa hivi na wakati Kuna options ya lile daraja
 
Kwani songiro yeye nani .
Mbna makampuni saiv kibao tu kila deal yeye na sisi tutatusua vipi.
Kwa dau Hilo inasikitisha kweli ila mmamshabikia sana huyu songiro utazani yeye ndo anazitengezaga fresh.
Elewa kwamba Songoro hafanyi yeye bali watamzania wengine aliowaajiri wenye familia zinazowategemea.

Pia Songoro kwa pesa hiyo hiyo analipa kodi ya serikali.
Huko Mombasa!!??
 
Serikali iachane na hii biashara, ikabidhi vivuko kwa Taasisi binafsi kisha wao wakusanye kodi simple.
 
Ccm ukishakaribia uchaguzi hawanaga huruma na pesa ya umma.....mbinu ya kukitafia Chama pesa
 
Kwanini watanzania wengi wameshtuka kuhusu ukarabati wa kivuko cha MV Magogoni cha kwa gharama za Bilioni 7.5 kwenda kukarabatiwa nchini Kenya.

Lakini ukipitia Tovuti ya TEMESA kwenye eneo la Zabuni hakuna mahali ilipotangazwa zabuni ya kukarabati wa Kivuko cha MV Magogoni.

Lakini nimepitia pia kwenye Account ya Instagram ya Mbunge wa Kigamboni, Dk Ndugulile naye hakuna post aliyoweka kuhusiana na ukarabati wa kivuko hicho.

Yote haya yanakuza mjadala kwanini asipewe Songoro Marine kukarabati kivuko hicho hapo nchini hadi kipelekwe Kenya?

Wajuzi tuendelee kujifunza
Majizi yako madarakani tena
 
Ba
Tupate jibu hili kwanza,ni kwanini kipindi cha awamu ya tano tenda zote za kutengeneza/kukarabati vivuko na meli zilikuwa hasitangazwi na zote alikuwa akizifanya SONGORO MARINE tu?!!tukipata jibu hili kwanza ,itakuwa rahisi kujua huwa ni nini kinatokea.
Basi kama songoro hatakiwi basi wapewe wengine lakini hapa Tanzania na kama hawapo basi hao wakenya wangetengeneza kwa bei hata ya bilioni mbili tusingeona shida
 
Huu upumbavu uliasisiwa na Jiwe shujaa wako
Upumbavu upi huo,wa kutoa tenda kwa kampuni ya Kenya bila kuwa gazeted?

Miradi ya JPM yote ilikuwa ya wazi,na aliifungua yeye binafsi bila chembe ya Unafiki.

Huku Chadema na Lissu wakifanya mbinu za kukamata ndege zetu Ughaibuni!

Huku Lissu akishirikiana na ACACIA kutuhujumu kupitia MIGA.
 
Upumbavu upi huo,wa kutoa tenda kwa kampuni ya Kenya bila kuwa gazeted?

Miradi ya JPM yote ilikuwa ya wazi,na aliifungua yeye binafsi bila chembe ya Unafiki.

Huku Chadema na Lissu wakifanya mbinu za kukamata ndege zetu Ughaibuni!

Huku Lissu akishirikiana na ACACIA kutuhujumu kupitia MIGA.
Ujenzi wa Uwanja wa huko alikofukiwa huo mradi ulikuwa gazeted qapi?
 
Huku ni kukosa uzalendo kabisa kwa nn mamlaka zisizie hii tenda ichunguzwe kwanza nashangaa kimya kabisa huu upigaji unaonekana umenziaa juu kabisa ndio mana
Mkuu hili ndilo eneo la kupiga mapesa mengi na mgao huanzia juu kabisa. Usikute kivuko kitapakwa rangi na kubadilisha baadhi ya vipuri kwa gharama isiyozidi 1.5B. Hizo nyingine ndio yale mambo yetu ya urefu wa kamba.[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Tupate jibu hili kwanza,ni kwanini kipindi cha awamu ya tano tenda zote za kutengeneza/kukarabati vivuko na meli zilikuwa hasitangazwi na zote alikuwa akizifanya SONGORO MARINE tu?!!tukipata jibu hili kwanza ,itakuwa rahisi kujua huwa ni nini kinatokea.
Songoro amekuwepo tangu Enzo za Mwinyi. Kwa hapa Africa mashariki ndiye mtenezaji Bora wa vyombo vya majini. Ameunda meli kibao Kenya na Uganda
 
Kwanini watanzania wengi wameshtuka kuhusu ukarabati wa kivuko cha MV Magogoni cha kwa gharama za Bilioni 7.5 kwenda kukarabatiwa nchini Kenya.

Lakini ukipitia Tovuti ya TEMESA kwenye eneo la Zabuni hakuna mahali ilipotangazwa zabuni ya kukarabati wa Kivuko cha MV Magogoni.

Lakini nimepitia pia kwenye Account ya Instagram ya Mbunge wa Kigamboni, Dk Ndugulile naye hakuna post aliyoweka kuhusiana na ukarabati wa kivuko hicho.

Yote haya yanakuza mjadala kwanini asipewe Songoro Marine kukarabati kivuko hicho hapo nchini hadi kipelekwe Kenya?

Wajuzi tuendelee kujifunza
Mwisho wa mwezi huu waziri Mbarawa bye bye
 
Songoro amekuwepo tangu Enzo za Mwinyi. Kwa hapa Africa mashariki ndiye mtenezaji Bora wa vyombo vya majini. Ameunda meli kibao Kenya na Uganda
Ndio kazi zote za serikali za ujenzi wa vivuko/meli apewe yeye tu(kipindi cha awamu ya tano)??tena bila ushindani?
 
Msoga na kundi lake hawana uchungu na pesa za nchi wao ni kuneemeka tu..hku mama akisikiliza taarabu asili huku akila urojo
 
Back
Top Bottom