Ccm mbere kwa mbereWezi sana hawa. Halafu wanajidai kufanya sherehe kutiliana sahihi mkataba hadharani. Wanafikiri wananchi ni wajinga. Hizo bei hawapendi kutujulisha ili tusijue ufisadi wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm mbere kwa mbereWezi sana hawa. Halafu wanajidai kufanya sherehe kutiliana sahihi mkataba hadharani. Wanafikiri wananchi ni wajinga. Hizo bei hawapendi kutujulisha ili tusijue ufisadi wao.
Na,wizi ule ni mfano tuNikumbushe tu kwamba 2020 tulipokwa haki yetu ya kuchagua viongozi tunaowapenda. Sio upinzani tu hata ndani ya CCM majina ya watu wenye akili yalikatwa. Mfano mzuri Ni Korogwe vijijini. Mahindi wa kwanza na wa pili walikatwa majini. Kachukuliwa mbumbumbu hata huko bungeni haendi.
Alipinga rushwa gani nikumbushe ndugu mjumbeMwisho wa siku mpinga rushwa si mmemuita muuaji?
Mpinga rushwa ndie leo amekuwa mwizi!
Mtamkumbuka sana,wacha vijana wa Mama wale urefu wa kamba zao!
SahihiKuna kiongozi mmoja mwasisi wa taifa hili aliwahi nukuliwa akisema kama hamtaki kujihusisha kwenye siasa za nchi hii, kama hamtaki kujihusisha na maendeleo ya nchi hii basi huko mbele mambo yakiharibika msijekulaumu kwa sababu hakuna mtu atakayewafanyia hayo bali ni nyie wenyewe. Sasa mwenzako ameleta masikitiko yake kwa jambo la msingi kabisa wewe kwa ujinga au kutofahamu unaona jambo hilo halina maana, ila cha ajabu ikitokea kukawa hakuna kivuko hapo Kigamboni ndiyo utakuwa wa kwanza kulialia.
Either Two;Achana na mambo hayo fanya yako,hakuna jipya TZ
Hao wote wana matonge mdomoni sio wa kuwategemea.Na mimi niliposikia 7.5B nikajua tumepigwa tena. Sitaki wazo la viongozi wakuu katika sakata hili kuwa hawana uchungu na mali za Wabara liingie kichwani mwangu. Hivi Songoro Marine hana uwezo ku kukarabati hiyo feri kweli. Kama kweli ilijengwa kwa 8 B leo tena unatoa kiasi kama hicho kukarabati TEMESA na wote mliotia sahihi mna la kujibu kwa Mungu. Upinzani msikae kimya na kwa hili, maana ni kama hampo hapa Tanzania. Zito, Lisu, nk mko wapi?
Pamoja!😂😂😂😂😂shukrani mkuu
La ccm
Sasa nani mjinga anayetengeneza kitu kilichochoka kwa 75% ya bei ya kununulia kipya? Ila sisi rangi ya tako tuna safari ndefu sana kufika hata robo ya wale weupe...Mawazo ya wajinga tu, mbona simu za Sumsung ukiua tachi au kioo kuweka kipya ni zaidi ya nusu ya bei ya manunuzi
Hiki si kinabeba abiria 200 tu na tani 10 wakati MV Magogoni inabeba abiria 2000 na tani 500, ni zaidi ya mara 10 ya hiki.Hiki hapa ni kivuko kipya kilijengwa na Songoro Marine kikapelekwa Mafia- Nyamisati!, Kilijengwa kwa Billion 5.8 kipya sio ukarabati! Sasa sijui wanapeleka tender Kenya kufanya nini wakati miaka mingi Songoro Mirine amekuwa mjenzi na mkarabati wa hivi vivuko vyetu kwakushirikia lna na TEMESAView attachment 2519632
Historia ya Watanzania inatuhukumu wote mimi na wewe,Kwa kifupi hii ni nchi ya mchongo mchongo,haki yako kama mlipa Kodi iko wapi,hiyo ni ishu moja je umejiuliza maeneo mengine kuanzia ubora waEither Two;
1. Hujui wajibu wako kama mlipa kodi or
2. Ni mmoja wa mchwa wa kodi za wananchi
The guy was right, anauliza si kwa sababu hana mambo yake ya kufanya, ila kwa kuna kila dalili ya sehemu ya kodi kuliwa na mwacha nyie!
Umesahau kuwa Bunge Lina genge lisilo na haki ya kuwa hapo mjengoni sababu ya ugaidu katika kura.Kuna kiongozi mmoja mwasisi wa taifa hili aliwahi nukuliwa akisema kama hamtaki kujihusisha kwenye siasa za nchi hii, kama hamtaki kujihusisha na maendeleo ya nchi hii basi huko mbele mambo yakiharibika msijekulaumu kwa sababu hakuna mtu atakayewafanyia hayo bali ni nyie wenyewe. Sasa mwenzako ameleta masikitiko yake kwa jambo la msingi kabisa wewe kwa ujinga au kutofahamu unaona jambo hilo halina maana, ila cha ajabu ikitokea kukawa hakuna kivuko hapo Kigamboni ndiyo utakuwa wa kwanza kulialia.
Wakati mwingine tutumie akili zetu sawasawa! hivi kivuko chakubeba watu 2000 kwa pamoja kiko wapi pale? watu 2000 unawajua au unasikia? wao walkadilia kwa siku sio kwa trip moja ibebe watu elfu 2 bwashekheHiki si kinabeba abiria 200 tu na tani 10 wakati MV Magogoni inabeba abiria 2000 na tani 500, ni zaidi ya mara 10 ya hiki.
We jamaa uko timamu kweli? Kivuko kile hakiwezi kuchukua watu 2000 at per??Wakati mwingine tutumie akili zetu sawasawa! hivi kivuko chakubeba watu 2000 kwa pamoja kiko wapi pale? watu 2000 unawajua au unasikia? wao walkadilia kwa siku sio kwa trip moja ibebe watu elfu 2 bwashekhe