Kwanini tunachukiana makazini? Yani shida inakuwa nini?

nadhani kwa sisi waafrila chuki makazini ni kitu kimezoelekana

kuna jamaa alikuwa ananichukia kazini bila sababu ...nikaja kugundua sababu kuna dda tunaitana homeboy na homegirl wote tunatoka mbeya

jamaa huwa anamtaka demu halafu demu hamtaki jamaa so jamaa chuki zake akazileta kwangu

niikuwa nampuuza mpaka yeye mwenyewe akaja kujua mimi ni tofauti na alivyonidhania
 
Piga kazi,ukiingiza battle za kijinga utashtuka slip unasoma one year to retire,ukifeli simama Tena,huko mbele hakuna mtu wa kujibu hoja ngumu isipokuwa wewe,ukimaliza kazi go home,ukiona vipi chili na wanao fanya yako ya dunia hayana mwisho
 
Watu wa mbeya tunachukiwa in Advance sababu ni kupambana,kila mtu anapambana na shida ni kufunguka codes watesi wanajiona hawana jipya.
 
Mkuu umeongea kweli tupu

With experience
 
Posho n vyeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…