pasi padinde
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 281
- 299
Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Hilo ni swali gani unauliza? Wewe kama unaumwa uchungu nenda labour kajifungue ndio akili itakukaa vizuri.CHADEMA ina mbunge hata mmoja kanda ya ziwa?
Point noted chiefAsante kwa correction mimi sio mwalimu kwa taaluma ila naamini dhima yangu ilieleweka
Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Acha umbeyaJamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Ukiwa na kale kaugonjwa ka homa ya matumbo huwezi kuwa mbali na maliwato,😆😆😆😆Kuna yule mgombea anafanya kampeni DSM wiki sasa, anazunguka tu na akaona haitoshi akaamua kabisa kutumia shughuli ya kiserikali kufanya kampeni.
Mwambie avuke Daraja la Mkapa aende kule alikolala 'Che Benja'
Joto gani hilo,huko katoro alishapita tena alivunja rekodi ya mapokezi wewe unabwabwaja tu huna loloteleo kahama kaonja joto ya jiwe, tunamsubiri katoro akikatiza atakuwa mwanaume
Mpuuzi sana wewe, hizo barabara mmejenga kwa hela zenu au hela za wananchi ?manyoko tujenge barabara yeye aje kutupa shombo, aende ikungi aka share umasikini na wanyiramba wenzake
ni kodi ya dhahabu yetu, huko ikungi ubuyu na matunda pori mta export wapi? watu msioweza kununua kitambulisho cha elfu 20 kwa umasikini,Mpuuzi sana wewe, hizo barabara mmejenga kwa hela zenu au hela za wananchi ?
We nguruwe wa lumumba naona upo zamu ,nguruwe wenzako mbona wapo kimya sahizimanyoko tujenge barabara yeye aje kutupa shombo, aende ikungi aka share umasikini na wanyiramba wenzake
tunamsubiri busisi kivuko lazima engene izime katika ya maji akae siku nne wakati mafundi wakijitahidi kurekebisha hitilafuMpuuzi sana wewe, hizo barabara mmejenga kwa hela zenu au hela za wananchi ?
Uko pote mbna kaishapita adi nzera, sengelema Mzee wenu ndio hali tete dar tu pamemshinda kumalizaJamaa anapiga kampeni kwenye barabara za lami tu, hawezi kwenda Kyala wala Lupaso, hata huko kanda ya ziwa haendi Kibara wala Karumwa. Kaenda Ikungi hakulala kwao kwani hana nyumba, hata mamake hajamjengea, sasa hivi anaenda kula bata Rubondo, kumbe wanyiramba tabia zao zilezile
Ndiko wanataka waanzishie fujo zao huko.Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Tundu Lisu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya kusini?
Maendeleo hayana vyama!
Hakuna mtu aliyemhujumu Tundu Lissu. Tundu Lissu alifungiwa kama adhabu aliyopewa na Kamati ya Maadili inayoundwa na vyama vyote. Adhabu hiyo imetokana na kitendo cha Tundu Lissu kutoa kauli za uongo zinazolenga kuchafua amani ya nchi yetu. Tundu Lissu alipoitwa kutoa maelezo kwenye kikao cha kamati akakaidi kuhudhuria.
Ni upotoshaji kusema kuwa alifungiwa kwa hujuma.
tunamsubiri busisi kivuko lazima engene izime katika ya maji akae siku nne wakati mafundi wakijitahidi kurekebisha hitilafuMpuuzi sana wewe, hizo barabara mmejenga kwa hela zenu au hela za wananchi ?
Hapa nazungumzia kurudia kanda bwashee!
Kaanini jpm hatoki Dar wakati sio mgome yakeTundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
anaenda kupiga bomu kwenye ngome ya ngosha na hadi sasa amefanikiwa kuisambaratisha kwa 75%!Tundu Lissu yuko Tabora akielekea Shinyanga kwa ajili ya mikutano ya kampeni.
Nauliza tu kwanini haendi kanda ya Kusini?
Maendeleo hayana vyama!
kura anatangaza mtu mmoja tuKusini Hamna lenu,Kanda ya ziwa anarudi kumwaga Sera vizuri na kupiga spana sawa sawa.Awanu hii mtaimba nyimbo zote.