Kwanini Umoja Party wanaweka picha ya Hayati Magufuli kwenye tisheti zao?

Kwanini Umoja Party wanaweka picha ya Hayati Magufuli kwenye tisheti zao?

Mbona toka ile 2015 kwenye kampeni Mzee Mwinyi alishasema kuwa chadema ni ccm b maana kulikuwa na wagombea wa ccm kote kote.

Mzee mwinyi huyu asiyemkumbuka mwanaye mpaka aulizie? Tofautisha Kati ya chama Cha siasa na mgombea. Trump alikuwa Democrat lakini alihamia Republican na kushinda urais, je Republican ilikuwa Democrat b?.
 
Ni kazi rahisi kusema chadema kimekufa lakini wakati kinazuiwa kufanya siasa kwa miaka sita mlikuwa mnachekelea. Chama kitajiendeshaje bila kufanya harakati?. Halafu ukifika uchaguzi wanaenguliwa kwenye nafasi za uchaguzi na kuwekewa vikwazo vingi Sana. Unapolaumu angalia source ya tatizo sio kukaa na kusubili kulaumu.
Funga domo lako, hiyo NGO ya mbowe haipo kabisa ilishajifia
 
Funga domo lako, hiyo NGO ya mbowe haipo kabisa ilishajifia

Wewe ndio ufunge Domo lako . Usiniletee Mambo ya huyo Magufuli wa kutaka wengine wasiongee. Yani Bora liliondoka lilikuwa linataka kuzaa mazezeta ambayo wengine wakizurumiwa hawaoni shida.
 
Funga domo lako, hiyo NGO ya mbowe haipo kabisa ilishajifia

Unaijua NGO au unaongea tu kujifurahisha. Mbona Magufuli alitaka kuifanya Tanzania choo chake cha kujisaidia ila karma ikamuondoa maana watu wamepigania Uhuru wa nchi hii halafu aje mjinga mmoja kujifanya anajua Sana.
 
Acha
Magufuli alikuwa rais wa Tanzania nzima wewe ndiyo unahamasisha ukabila

Acha utani Magufuli mbaguzi aliyesema watu wa mwaza wasibomolewe nyumba zao lakini wa kimara wabomolewe Tena wakiwa na Court injunction, ndio awe Rais wa Tanzania? Yule alikuwa Rais wa baadhi ya watanzania ndio maana Kuna watanzania mpaka Leo hawajulikani wapo wapi.
 
Kama picha inakukera, wewe endelea kilamba asali huko ambako hakuna picha mkuu.
 
Sasa zile kauli za chama kina wenyewe na nchi ni yetu zitapungua maana watu wana wigo mpana wa kujimwaya mwaya.

Lenye mwanzo hali kosi kuwa na mwisho.
 
Mdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Twita wa Account yenye NEMBO hii
fs6t4x.jpg
 
Unajua ulivyofanyika uchaguzi wa 2020?
Mtu yoyote makini...
Akichanga karata zake vizuri, Jina la Magu linampa uraisi 2025.
Japo kwa hao sidhani [emoji23][emoji23][emoji23], siwaoni wakiwa makini.
 
Mdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
HIKI SIO CHAMA CHENYE MALENGO MEMA KABISA KWA TAIFA LETU KIFUTWE HARAKA SANA,NI UMOJA WA WATU WENYE DUKUDUKU NA VINYONGO,YAELEKEA KIMEANZISHWA KWA CHUKI ILI KUJA KUWA KAMA RIVALS KWA CCM YETU ILIYOPO,NAKIKEMEA KWA NGUVU ZOTE "KIFUTWE MARA MOJA" HII NI S GANG, NA KITAKUWA NI KIFICHO CHA WASIOLITAKIA MEMA TAIFA LETU,KIFUTWE KIFUTWE KIFUTWE MRENGO WAKE NA INTELEGENSIA INAONYESHA SIO CHA WEMA KWA TAIFA LETU.
#FUTENI_TAKATAKA_HII.
 
haaaahaaa! Hata ACT mwaka 2015 waliona wanachukua nchi lakini wakaambulia Kura 90,000 nchi nzima za urais na mbunge mmoja.

Watu wakiona chadema wanavyohangaika huwa wanaona Mambo Ni marahisi tu. Hao wanajifurahisha tu, kabla ya 2025 tutakuwa tumewasahau.
Hujui kete ya 2025 ni JPM! Wenzako wameanza na kete Dume
 
Back
Top Bottom