KIMARA BRIDGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 262
- 270
kuna haja ya wazungu kuja kututawala tena na wakae mpaka hiki kizazi cha sasa kipotee kabisa ila kwa makataba maalum ambao usimamiwe na AU. Yanayofanyika sasa nadhani kuna upungufu mkubwa sana wa uwezo wa kifikiri sisi watanzania (ugonjwa hatari sana huu).