Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni miaka mingapi mpaka kufikia mwaka ulionandika?Mtu yoyote makini...
Akichanga karata zake vizuri, Jina la Magu linampa uraisi 20225.
Japo kwa hao sidhani [emoji23][emoji23][emoji23], siwaoni wakiwa makini.
Walimuita Mwamposa Mungu Kama wajinga nyie?Na hao walikufa Moshi wakiamuabudu Mwamposya ulikuwa hujazaliwa ?
Mtatufikisha kanani aliytoitamani Magufuli.Mdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Miaka ya kutosha tu mkuuNi miaka mingapi mpaka kufikia mwaka ulionandika?
😂😂😂 itakuwa bado......sera zinaishi.Huo mwaka kweli Magufuli atakuwa bado hajasahaulika mkuu?
Ni kweli kijijini kwetu tu.....Hilo jina nakuapia haliwezi kumpa mtu uraisi kabisa labda kijijini kwako tu!
Unanikaripia bure sihusiki mkuu...Nonsense
Yule mharibifu angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa 2020 waziwazi vile
Hivi nyinyi mna nini vichwani mwenu
Mtu alikuwa anaiharibu nchi waziwazi mnamuona wa maana?
Kama urais 20225 watapata kama ulivyoandika!
Tusameheane bureUnanikaripia bure sihusiki mkuu...
😂😂😂 ushambuliaji mwema.Tusameheane bure
Mwendazake alitukosea sana kama nchi..
Bandiko lolote linalomtetea tutashambulia kwa nguvu zote..
KwikwikwiHata kama hawatachukuwa nchi lakini watasumbua.
Mlikufa kwa kumuabudu mwanadamu. Uliwahi sikia wajanja wa kanda ya ziwa wanakufa kwa ajili ya mtu. We nyau tu.Walimuita Mwamposa Mungu Kama wajinga nyie?
Hivi huyu mwanaume siyo yule mchonga mihuri pale Mavuno house Posta mpya?Mdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Watamsumbuwa nani? Bwege wewe.Hata kama hawatachukuwa nchi lakini watasumbua.
Baba mwenye legacy yake alitaka kuisafiria 2020, alipoona meli inataka kuzama akatoa amri Kwa kila kikapu Cha kura kichukuliwe na kubadilishwa!! Kama yeye hakujiamini ni nani atathubutu kujiaminisha na legacy inayokaribia kuzama!?Mtu yoyote makini...
Akichanga karata zake vizuri, Jina la Magu linampa uraisi 2025.
Japo kwa hao sidhani 😂😂😂, siwaoni wakiwa makini.
Wana jambo nia kuongeza kujulikana kwao kwa kutumia taswira ya MwambaMdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Magufuli alikuwa rais wa Tanzania nzima wewe ndiyo unahamasisha ukabilaHiyo picha itawaletea matatizo hatutaki vyama vya kikabila sisi