Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
ACT kitoeBinafdi nafikiri vyama vingebakia CCM, CHADEMA NA ACT. HIVYO VIDOGOVIDOGO VYOTE VIJIUNGE NA HIVI VIJIONAVYO VIKUBWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACT kitoeBinafdi nafikiri vyama vingebakia CCM, CHADEMA NA ACT. HIVYO VIDOGOVIDOGO VYOTE VIJIUNGE NA HIVI VIJIONAVYO VIKUBWA
Kwa 20225 ni sawa kabisa.Mtu yoyote makini...
Akichanga karata zake vizuri, Jina la Magu linampa uraisi 20225.
Japo kwa hao sidhani 😂😂😂, siwaoni wakiwa makini.
Binafdi nafikiri vyama vingebakia CCM, CHADEMA NA ACT. HIVYO VIDOGOVIDOGO VYOTE VIJIUNGE NA HIVI VIJIONAVYO VIKUBWA
Kiuhalisia vyama vyote havina tatizo.Binafdi nafikiri vyama vingebakia CCM, CHADEMA NA ACT. HIVYO VIDOGOVIDOGO VYOTE VIJIUNGE NA HIVI VIJIONAVYO VIKUBWA
Chadema kilishakufa, ACT ni chama cha waislamu na kina agenda ya ukabila na udini, CUF udini, TLP cha moshi etc. Kwa ufupi hakuna chama mbadala ya CCMBinafdi nafikiri vyama vingebakia CCM, CHADEMA NA ACT. HIVYO VIDOGOVIDOGO VYOTE VIJIUNGE NA HIVI VIJIONAVYO VIKUBWA
Hawa muda si mrefu tunaanzisha uchunguzi wa uraia wao!Ni misukule ya yule dhalim wa kihutu ndiyo maana nembo yao inashabihiana na bendera ya Rwqnda. Ni kusanyiko la wahamiaji haramu
NonsenseMtu yoyote makini...
Akichanga karata zake vizuri, Jina la Magu linampa uraisi 20225.
Japo kwa hao sidhani 😂😂😂, siwaoni wakiwa makini.
Hicho chama kitachukua dola 2025Mdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Leo hulii pembeni ya kaburi la jiwe kama kawaida yako!Chadema kilishakufa, ACT ni chama cha waislamu na kina agenda ya ukabila na udini, CUF udini, TLP cha moshi etc. Kwa ufupi hakuna chama mbadala ya CCM
Labda dola 20 ya ZimbabweHicho chama kitachukua dola 2025
Mbona toka ile 2015 kwenye kampeni Mzee Mwinyi alishasema kuwa chadema ni ccm b maana kulikuwa na wagombea wa ccm kote kote.CCM tawi C hilo...
A -ACT
B- TLP
C- UMOJA
Nahitaji kuwa mwanachama/ kada wa hicho chama! Ila watoe hiyo picha ya JPM kwenye tshirt. Inaonesha upendeleo fulani. Waweke picha ya taifa Tz.
Nchi kwanza!
Kwa mujibu wa Wana umoja party 🤔Magufuli ni mtaj mkubwai kwenye siasa za Tanzania hilo liko wazi.
Magufuli ni mtaji mkubwa sana kwa siasa na wanasiasa wa Tanzania hii na itaenda mpaka kwenye uchaguzi mkuu wa 2025 au zaidi.
Magufuli ni jina na sera tayari zinazouzika zenyewe.
wapo watakaoitumia vibaya au vizuri brand yake.
Kwa siasa za kipindi hiki ni ngumu kumuacha magufuli.
Ndio mdudu Gani huyo,au ulimaanisha Dudumizi🤔Acha uduwanzi
Kwani wakimuenzi wewe na wenzako mnawashwa nini?Mdada wa Umoja party;
View attachment 2192814
Kada wa umoja party
View attachment 2192816
Hiki chama ni cha wafuasi wa hayati JPM?
Hiko chama eeh!Maana yake Ccm ikifata itikadi za Magufuli hiko Chama kinajifia.
Ameenda kuzindua umoja party 🤔Vipi leo chato kuna mvua? Au umesharudi Burundi?