Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #81
Hahaha.. Jina lipi hilo mkuu?Wangemshauri nini na katika Nick names zake, moja ni "haambiliki"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.. Jina lipi hilo mkuu?Wangemshauri nini na katika Nick names zake, moja ni "haambiliki"
Hahahaha 😂😂😂Sera zilikua mbovu na utawala ulikua mbaya...
Kunenga Msingi wa Taifa lenye Falsafa na itikadi mpya kutoka ile ya kikoloni haikuwa jambo rahisi.Habari zenu wana JF wenzangu. Ama baada ya salamu, ningependa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu zangu watanzania, baba yetu wa Taifa mwl Julius K Nyerere aliiongoza nchi yetu kwa muda wa miaka 25. Kwa muda wote huo wa uongozi wake, nchi yetu ilikumbwa na misuko suko mingi ambayo haikuja kutokea katika tawala zingine. Mfano wakati wa utawala wa Nyerere tuliona majaribio mawili ya mapinduzi yalioshindwa, hali iliyopelekea mzee wetu aamue kung'atuka mwenyewe kabla haja ng'atuliwa, maana kwa hali ya nchi ilivyokuwa kipindi kile bila shaka mwenyewe aliona kwamba asingeweza kumaliza miaka mingine mitano akiwa madarakani.
Lakini pia ukiachana na hayo ya mapinduzi pia kulikuwa na misuko suko mingine, mfano yale mauaji yaliosababisha waziri wa mambo ya ndani wa wakati ule mzee wetu mh Ally H Mwinyi kujiuzulu uwaziri. Pia kulikuwa na misuko suko mingine iliyopelekea kina mzee Kawawa, bibi Tito Mohammed na wengineo kufungwa jela. Lakini kama hiyo haitoshi, wapo waliamua kukimbia hata nchi na kwenda kuishi ughaibuni, mfano mzee wetu hayati Oscar Kambona na wengineo.
Hapo sijagusia ukosefu wa vitu muhimu nchini kama vile chakula, mafuta ya kupikia na ya taa, ukosefu wa madawa hospitalini, usafiri kuwa washida mpaka yakaletwa yale magari yalioitwa chai maharage, mzunguko wa pesa mtaani ukawa wa mdondo. Nguo, viatu, soksi, mafuta ya kupaka, sabuni navyo vikawa havipatikani.
Cha kushangaza alipoondoka mwl Nyerere na kuingia Mwinyi, hali ilibadilika kwa kiasi kikubwa. Hakuna aliethubutu kuwaza tena mapinduzi, bidhaa zote muhimu zilipatikana kwa urahisi mitaani. Mzunguko wa pesa ukawa mkubwa, mitumba ya nguo, viatu, soksi kila kona, madawa yakawa mengi hospitalini mpaka watu wakaamua kufungua na zahanati zao. Pia hakuna aliewaza tena kukimbia nchi, isipokuwa tuliishuhudia wale waliokimbia utawala wa kwanza wanaaza kurejea katika utawala huu wa pili nk.
Hali hii aliyoanza nayo Mwinyi, naona imeendelea hadi leo. Je, ni kwanini misuko suko ilikuwa zaidi wakati wa awamu ya kwanza na sio awamu zingine? Je mwl Nyerere alihujumiwa au sera zake mwenyewe ndio zili muhujumu? Inamaana mzee Mwinyi kwa kutumia uwezo wake na cheo chake aliweza kulisuka vizuri jeshi letu na kurejesha utiifu wao kwa serikali yao na raisi wao? Je inamanaa Mwinyi hakuwa na maadui wa kuitingisha serikali yake, hadi kupelekea wengine kukimbia kama walivyokimbia awamu ya kwanza? Mwenye kujua zaidi sababu zilizopelekea mwl Nyerere kushindwa kuituliza hali, hadi kuamua kung'atuka anakaribishwa kutujuza. Asanteni sana kwa kunisoma?
Inawezekana hao wachache ndio waliokuwa wanaididimiza nchi, na kuifanya serikali ya mwl Nyerere ionekane na hovyo.Kunenga Msingi wa Taifa lenye Falsafa na itikadi mpya kutoka ile ya kikoloni haikuwa jambo rahisi.
Ni watu wachache walipambana kwaajili ya maslahi ya wengi. Walafi wachache walikwamisha na kuwaumiza wengi
Dogo una akili sana weye....unakunywa kinywaji gani labda!!!!.......Naongezea hapo mchonga alikuwa mw/kiti makao makuu ya nchi zilizo mstari wa mbele ktk ukombozi wa nchi za kusini mwa Bara la Africa.na sasa SADDAC..maadui jirani na wengi wa kusini makaburu/wareno/ hawakulipenda hilo.....walitamani kumkomesha km adui yao. ili waendelee kunyonya kwa amani.walishindwa vibaya.ivo alikuwa na adui wenye nguvu tena walio karibu yake mnoo.....pili kitendo cha siasa za kutofungamana na upande wowote kiliwaumiza Mabeberu....tatu walijua TZ itafanikiwa mbaya kwa kuanzisha viwanda vyake yenyewe....aliacha viwanda vizimaa 1500 vilivyokuwa vina fanya kazi usiku na mchana mfano Tanga nyika packers..mwatex mutex nk. Hapo tu tuliuza sana tu....alikuwa mbunifu mfano aligundua sabuni ya magwanji, kiwi ya mishumaa nk......ubunifu huu kwa beberu aliumia sana.....walipoona hatuwapigii magoti....kitendo cha nyerere kukataa wazi waxi misaada ya Uk/ujermani...tena akawarudishia hela yao cash...kiliwaumiza sanaaaa.mabeberu....kitendo cha kusadia sana kwa hali na Mali wapigania uhuru wa Africa nzima....lazima beberu hakupata usingizi.......kifupi mchonga alitawala kipindi ambacho alizungukwa na maadui wengi wenye nguvu....hapo bado vibaraka wa ndani na nje walio sumbua sana utulivu wa ndani na nje ya nchi...mfano ni wale vibaraka km Kamuzu Banda.....Mobutu seseseko,Idd Amin....Alfonso Dhlakama...nk. Ilibidi apigane nao kwa level ya nchi..kidunia na maisha yake binafsi....pia apigane kiuchumi nchi iweze kisimama imara....wengi ulaya walimtamani sana hadi kufika mbali wakisema na kukiri wazi yule siyo damu ya kiafrica.....wakaomba kumuazima.....akakataa!!!walio fuata wooote walisalimu amri kwa Beberu.....Pia jua kwamba mapinduzi yalikuwa hot miaka ya nyuma wkt Dunia iko hot yaani .....imegawanyika sehemu mbili western na eastern...kote kote Rais una chagua ukae upande upi.....sasa wasaliti wakoloni wako uone cha moto mfano mzee j/kenyatta alionywa na beberu asithubutu kufuata siasa ya ujamaa km anautaka urais.wala asithubutu kuunga mkono harakati za ukombozi africa lkn mchonga aliwakatalia waziwazi so waka ahidi kumkomesha kiuchumi,kisiasa hata kugharimu maisha yake binafsi km walivo wafanya nkwame Nkrumah..Tafawa balewa...Lumumba, nk!! Kwa kumtishia julius....Lkn mwanaume alikomaa na msimamo wake wakashindwa mbayaaaa!........leo hayo yapo lkn siyo hot km miaka hiyo....hii ilimjengea heshima Duniani hakika hkn km Nyerere!Hakuna wa kumlinganisha na Nyerere katika awamu zote. Amekuta pori akaanza kufyeka, kung'oa visiki halafu unauliza kwa nini wakati wake alikutana na nyoka wengi? Labda tukuulize kwa nini Nigeria hakuna mapinduzi Kama ilivyokuwa 60/70/80 na 80s? Nao walikuwa wajamaa?
Acha uongo wakimbizi wote Duniani wanalishwa na shirika la kuhudumia wakimbizi Duniani....kuanzia nguo kula na tibank...mpaka sasa. Na hata km unawasaidia ndg zako kuna ubaya gani??....aliamini binadamu wote ni sawa na Africa ni mojaSera za ujamaa hazikuwa mbaya ila Kambarage alipoteza mapato ya nchi kusaidia wengine wapate uhuru wewe fikiria kule Kongwa walikuwa wanalishwa tu bure bure na hizo nchi kwa Sasa hazina hata shukrani kwa Watanzania ,unakijua kisa Cha Kambarage kuuza Meli ya serikali kimyakimya na Sokoine akataka kumtumbua bosi wake.
Habari zenu wana JF wenzangu. Ama baada ya salamu, ningependa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu zangu watanzania, baba yetu wa Taifa mwl Julius K Nyerere aliiongoza nchi yetu kwa muda wa miaka 25. Kwa muda wote huo wa uongozi wake, nchi yetu ilikumbwa na misuko suko mingi ambayo haikuja kutokea katika tawala zingine. Mfano wakati wa utawala wa Nyerere tuliona majaribio mawili ya mapinduzi yalioshindwa, hali iliyopelekea mzee wetu aamue kung'atuka mwenyewe kabla haja ng'atuliwa, maana kwa hali ya nchi ilivyokuwa kipindi kile bila shaka mwenyewe aliona kwamba asingeweza kumaliza miaka mingine mitano akiwa madarakani.
Lakini pia ukiachana na hayo ya mapinduzi pia kulikuwa na misuko suko mingine, mfano yale mauaji yaliosababisha waziri wa mambo ya ndani wa wakati ule mzee wetu mh Ally H Mwinyi kujiuzulu uwaziri. Pia kulikuwa na misuko suko mingine iliyopelekea kina mzee Kawawa, bibi Tito Mohammed na wengineo kufungwa jela. Lakini kama hiyo haitoshi, wapo waliamua kukimbia hata nchi na kwenda kuishi ughaibuni, mfano mzee wetu hayati Oscar Kambona na wengineo.
Hapo sijagusia ukosefu wa vitu muhimu nchini kama vile chakula, mafuta ya kupikia na ya taa, ukosefu wa madawa hospitalini, usafiri kuwa washida mpaka yakaletwa yale magari yalioitwa chai maharage, mzunguko wa pesa mtaani ukawa wa mdondo. Nguo, viatu, soksi, mafuta ya kupaka, sabuni navyo vikawa havipatikani.
Cha kushangaza alipoondoka mwl Nyerere na kuingia Mwinyi, hali ilibadilika kwa kiasi kikubwa. Hakuna aliethubutu kuwaza tena mapinduzi, bidhaa zote muhimu zilipatikana kwa urahisi mitaani. Mzunguko wa pesa ukawa mkubwa, mitumba ya nguo, viatu, soksi kila kona, madawa yakawa mengi hospitalini mpaka watu wakaamua kufungua na zahanati zao. Pia hakuna aliewaza tena kukimbia nchi, isipokuwa tuliishuhudia wale waliokimbia utawala wa kwanza wanaaza kurejea katika utawala huu wa pili nk.
Hali hii aliyoanza nayo Mwinyi, naona imeendelea hadi leo. Je, ni kwanini misuko suko ilikuwa zaidi wakati wa awamu ya kwanza na sio awamu zingine? Je mwl Nyerere alihujumiwa au sera zake mwenyewe ndio zili muhujumu? Inamaana mzee Mwinyi kwa kutumia uwezo wake na cheo chake aliweza kulisuka vizuri jeshi letu na kurejesha utiifu wao kwa serikali yao na raisi wao? Je inamanaa Mwinyi hakuwa na maadui wa kuitingisha serikali yake, hadi kupelekea wengine kukimbia kama walivyokimbia awamu ya kwanza? Mwenye kujua zaidi sababu zilizopelekea mwl Nyerere kushindwa kuituliza hali, hadi kuamua kung'atuka anakaribishwa kutujuza. Asanteni sana kwa kunisoma?
Wewe ndio nonsense, aliyekuambia walikuwa wakimbizi nani ingekuwa wakati huu kwa taarifa yako wale wote terroristAcha uongo wakimbizi wote Duniani wanalishwa na shirika la kuhudumia wakimbizi Duniani....kuanzia nguo kula na tibank...mpaka sasa. Na hata km unawasaidia ndg zako kuna ubaya gani??....aliamini binadamu wote ni sawa na Africa ni moja
.....stop dat primitive nosense behaviour!...but sorry!
Kwa aina hii ya maneno ya mzee ruhusa, ni kama vile Kikwete alitaka kuuza uhuru wetu kwa weupe 😂😂😂.
🤣😆Kwa aina hii ya maneno ya mzee ruhusa, ni kama vile Kikwete alitaka kuuza uhuru wetu kwa weupe 😂😂😂.
Cha ajabu nyerere aling'atuka baada ya kukosa mkopo imf na wb mpaka abadili sera,mwinyi alikopa mpaka tukawa hatukopesheki,mkapa alilipa madeni ili tusamehewe madeni na tukopesheke...na bajeti ya serikali zote hizo ni tegemezi kwa wafadhili na wakopeshajiKwa aina hii ya maneno ya mzee ruhusa, ni kama vile Kikwete alitaka kuuza uhuru wetu kwa weupe 😂😂😂.
Ukitazama trend utajifunza jambo tunaamka cherekochereko tunalala hatujui kesho yetuCha ajabu nyerere aling'atuka baada ya kukosa mkopo imf na wb mpaka abadili sera,mwinyi alikopa mpaka tukawa hatukopesheki,mkapa alilipa madeni ili tusamehewe madeni na tukopesheke...na bajeti ya serikali zote hizo ni tegemezi kwa wafadhili na wakopeshaji
Ni hatari sana mkuu.
Bado unaonyesha umburula tu.....hata km siyo wakimbizi..ndg yako akila unaumia nini?..Wewe ndio nonsense, aliyekuambia walikuwa wakimbizi nani ingekuwa wakati huu kwa taarifa yako wale wote terrorist
Kwa namna Mwinyi alivyoikuta nchi yetu, kwa kweli hapakuwa na namna yoyote ya kuendesha nchi bila kukopa ili apate hela za kuleta maendeleo kama vile kujenga hospital (kabla yake hospital zilikuwa chache, tena zimechoka kutokana na hali mbaya ya uchumi.Cha ajabu nyerere aling'atuka baada ya kukosa mkopo imf na wb mpaka abadili sera,mwinyi alikopa mpaka tukawa hatukopesheki,mkapa alilipa madeni ili tusamehewe madeni na tukopesheke...na bajeti ya serikali zote hizo ni tegemezi kwa wafadhili na wakopeshaji
Alikuwa dictator sana yule mzee...mpaka tufike stage tuwe tayari kuukabili ukweli wote ndiyo tutatoka hapo tulipo...Habari zenu wana JF wenzangu. Ama baada ya salamu, ningependa nijielekeze kwenye mada husika. Ndugu zangu watanzania, baba yetu wa Taifa mwl Julius K Nyerere aliiongoza nchi yetu kwa muda wa miaka 25. Kwa muda wote huo wa uongozi wake, nchi yetu ilikumbwa na misuko suko mingi ambayo haikuja kutokea katika tawala zingine. Mfano wakati wa utawala wa Nyerere tuliona majaribio mawili ya mapinduzi yalioshindwa, hali iliyopelekea mzee wetu aamue kung'atuka mwenyewe kabla haja ng'atuliwa, maana kwa hali ya nchi ilivyokuwa kipindi kile bila shaka mwenyewe aliona kwamba asingeweza kumaliza miaka mingine mitano akiwa madarakani.
Lakini pia ukiachana na hayo ya mapinduzi pia kulikuwa na misuko suko mingine, mfano yale mauaji yaliosababisha waziri wa mambo ya ndani wa wakati ule mzee wetu mh Ally H Mwinyi kujiuzulu uwaziri. Pia kulikuwa na misuko suko mingine iliyopelekea kina mzee Kawawa, bibi Tito Mohammed na wengineo kufungwa jela. Lakini kama hiyo haitoshi, wapo waliamua kukimbia hata nchi na kwenda kuishi ughaibuni, mfano mzee wetu hayati Oscar Kambona na wengineo.
Hapo sijagusia ukosefu wa vitu muhimu nchini kama vile chakula, mafuta ya kupikia na ya taa, ukosefu wa madawa hospitalini, usafiri kuwa washida mpaka yakaletwa yale magari yalioitwa chai maharage, mzunguko wa pesa mtaani ukawa wa mdondo. Nguo, viatu, soksi, mafuta ya kupaka, sabuni navyo vikawa havipatikani.
Cha kushangaza alipoondoka mwl Nyerere na kuingia Mwinyi, hali ilibadilika kwa kiasi kikubwa. Hakuna aliethubutu kuwaza tena mapinduzi, bidhaa zote muhimu zilipatikana kwa urahisi mitaani. Mzunguko wa pesa ukawa mkubwa, mitumba ya nguo, viatu, soksi kila kona, madawa yakawa mengi hospitalini mpaka watu wakaamua kufungua na zahanati zao. Pia hakuna aliewaza tena kukimbia nchi, isipokuwa tuliishuhudia wale waliokimbia utawala wa kwanza wanaaza kurejea katika utawala huu wa pili nk.
Hali hii aliyoanza nayo Mwinyi, naona imeendelea hadi leo. Je, ni kwanini misuko suko ilikuwa zaidi wakati wa awamu ya kwanza na sio awamu zingine? Je mwl Nyerere alihujumiwa au sera zake mwenyewe ndio zili muhujumu? Inamaana mzee Mwinyi kwa kutumia uwezo wake na cheo chake aliweza kulisuka vizuri jeshi letu na kurejesha utiifu wao kwa serikali yao na raisi wao? Je inamanaa Mwinyi hakuwa na maadui wa kuitingisha serikali yake, hadi kupelekea wengine kukimbia kama walivyokimbia awamu ya kwanza? Mwenye kujua zaidi sababu zilizopelekea mwl Nyerere kushindwa kuituliza hali, hadi kuamua kung'atuka anakaribishwa kutujuza. Asanteni sana kwa kunisoma?
Ulichokiona wewe ni misemo tu, ushabiki ni ugonjwa.Yule si alikuwa anaongea maneno mengi sana huku utekelezaji hakuna,misemo na nahau zisizoisha..
Alikuwa hapendi ukosoaji na hataki changamoto za wasomi ndio maana hakutaka kusambaza elimu kwa watu wengi,aliwafanga watu wengi kuwa wajinga Ili awatawale kirahisi.
Miaka 25 ya utawala alichofanikiwa kikubwa ni kujenga utaifa na yeye binafsi kuwa muadilifu ila hakuna succession aliyofanya na aliondoka madarakani kutokana na Hali mbaya ya uchumi na sera zake mbovu za Uchumi..