Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kama kuna legal officer wa kike anaenda kufanya interview kesho na hana makazi anipm, atakaewahi ndo huyo huyo. Hamna malipo jamani it's just an help
Note: mimi ni wa kike kabla hamjanipopoa
😂😂😂😂Wakiume hatufai kupata msaada?
 
Mkuu unaweza kutuwekea mfano wa watu walioenda oral chini ya 50 mm kama ulivyoweka hii sijawai ona aisee,kisheria iliyowekwa na utumishi ni kuanzia 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…