meck pro
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 1,353
- 2,924
🤣🤣🤣Mkuu master ni degree ya research tu mkuu hata isikutishe Psrs wanajua mkuu Ukiona kitu kipo hivyo washafanya upembuzi wa maana sana na kuacha iwe hivyo ni degree ya miezi 18 tu isikuchanganye kijanaNimekuja kugundua kumbe hawa watu wenye masters wana wapiga ndoige vibaya sana watu wa degree.