Mkuu kuna watu hobby yao kubwa ni kufuatilia space au universe kama vile kulivyo na wengine hobby yao ni kufuatilia simba na yangu mchana na usiku, wengine kukata mauno wakicheza komasavaaa..Elewa kwanza lengo kuu la dini; specifically Ukristo nyingine sijui.
Sio lengo la Ukristo kukutaarifu kuna sayari ngapi na hata ungefanya hivyo bado ungezusha lingine!
Mission #1 ya Ukristo ni WOKOVU. Tengeneza maisha yako na Mungu. Maisha yako yasiyozidi 100yrs utaijua wapi universe yote? For what?
How Could you Have Faith when There is No hope??Elewa kwanza lengo kuu la dini; specifically Ukristo nyingine sijui.
Sio lengo la Ukristo kukutaarifu kuna sayari ngapi na hata ungefanya hivyo bado ungezusha lingine!
Mission #1 ya Ukristo ni WOKOVU. Tengeneza maisha yako na Mungu. Maisha yako yasiyozidi 100yrs utaijua wapi universe yote? For what?
There is hope through faith in Christ. Wamwaminio Kristo tumaini lao ni Mbinguni; iko very clear. Na uzuri wa Mbinguni ni namna ambavyo akili ya mwanadamu haikupata hata kuwaza.How Could you Have Faith when There is No hope??
Kwanini Unamuambia Aamini Kwenye Wokovu Blindly bila Kujua Anaenda wapi na kufanya nini Na hajui Kuhusu Viti vinavyomzunguka Je unahisi Atapataje Imani bila Kuwa na Tumaini??
Wokovu gani ndugu?Elewa kwanza lengo kuu la dini; specifically Ukristo nyingine sijui.
Sio lengo la Ukristo kukutaarifu kuna sayari ngapi na hata ungefanya hivyo bado ungezusha lingine!
Mission #1 ya Ukristo ni WOKOVU. Tengeneza maisha yako na Mungu. Maisha yako yasiyozidi 100yrs utaijua wapi universe yote? For what?
😂😂 There iz hopuuu.There is hope through faith in Christ. Wamwaminio Kristo tumaini lao ni Mbinguni; iko very clear. Na uzuri wa Mbinguni ni namna ambavyo akili ya mwanadamu haikupata hata kuwaza.
Wapi umeambiwa unaenda Mbinguni???There is hope through faith in Christ. Wamwaminio Kristo tumaini lao ni Mbinguni; iko very clear. Na uzuri wa Mbinguni ni namna ambavyo akili ya mwanadamu haikupata hata kuwaza.
Naongea na atheist ama? If so, goodbye.Wapi umeambiwa unaenda Mbinguni???
Na unaenda mbinguni kufanya nini??
Hebu nisaidie hayo majibu ukitumia maandiko ya biblia
Tunapigwa sana😂Hapo ndipo tunapopigwa😂
Soga za mbinguni na motoni, visakale kuhusu uumbaji, hekaya za Immanuel, mtume Mo, na manabii kadha wa kadha. Tarihi mbalimbali zinazoelezea uchawi wa yesu na baba yake plus watu wao wa karibu. Vyote havina uhalisia na ukihoji sana unaambiwa acha utakufuru.Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.
Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.
Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.
Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Yes there's hope 😃😂😂 There iz hopuuu.
Kwa sababu hivi vitabu vimetungwa na watu kama wewe na mimi na kingine kimeletwa na shetani / majini wasio na upeo wowote juu ya dunia zaidi ya kutesana tu na kutishiana amani.Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.
Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.
Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.
Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Hizi dini za kuletewa ni uzushi tu na siku zote wanaoumia ni Waafrika wasio na upeo wa kuona mbali au kusoma.Tunapigwa sana😂
Wewe Biblia huijui na nina mashaka kama elimu ya sayansi unayo ya kutosha kiasi cha kujaribu kuandika ulichoandikaDini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.
Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.
Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.
Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Huwa unasoma mwenyewe au unaokoteza stori za mtaani? Kaini alipofukuzwa aliondoka na mke wake tayari sio kwamba alienda kuoa kule alikoenda na mke alikuwa ni dada yake kwa sababu Adamu alikuwa na watoto wa kike na Mungu wakati huo aliruhusu wazaane kwa sababu wao ni watu wa kwanza, amri ya kuzuia ndugu kuoana ilikuja baadae sanavile vitabu ni fix sana we kaini alifukuzwa kukaa na wazazi wake,huko alipoenda akaenda kupata mke akaoa! how? When? and why? hivyo vitabu picha linaanza ulimwengu ulikuwa mkiwa!,halafu kulikuwa na giza halafu picha linapokolea ni pale wameandika roho ya muumba ilikuwa juu ya vilindi vya maji..🥰🥰
Mpaka hapo alikuwa hajaanza kuumba chochote sasa hivyo sijui vilitokea wapi halafu kumbe komando wetu alikuwa juu ya maji... ipo hivi kuna vitu bado havifahamiki na ndio maana sio dini,sio sayansi vyote havina majibu tena bora hata sayansi inatafiti ulimwengu hizo dini zinakomalia hapohapo!.
Miaka ikienda hapo mbelembele kidogo itabidi wa update hivyo vitabu watu naona mmsheanza kugutuka! karibuni japo mmechelewa!...😅
Umewahi kusikia domeshape ? Kagoogle uone km nayo theory zake uone zilivyo na pointAnaeleta debate kwenye umbo la dunia hajielewi proof zipo ikiwemo picha za satelite sasa debate ya nini
Quran imejaa Aya za Anga, na Wana sayansi wengi wa Mwanzo walikua inspired na Quran na kuanza kufanya Exploration Ya Anga.Assuming kwamba Mungu ndiye alikuwa anaandika kupitia wao, je Mungu alikuwa hajui kuhusu hizo sayari zingine?
Dini imetaja ulimwengu yaani universe na ndani ya ulimwengu ndimo mlimo sayari zingine.Dini zimekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu kwa maelfu ya miaka, zikitoa mwongozo wa kimaadili na kiroho. Hata hivyo, kuna hoja mbalimbali zinazotumiwa kuonyesha kwamba dini ni utapeli. Moja ya hoja hizi ni kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia.
Vitabu vya dini, kama vile Biblia, Quran, na vingine, vimeandikwa na watu wa zamani ambao walikuwa na uelewa mdogo sana wa sayansi na anga za mbali. Wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivi, sayari nyingine hazikujulikana na hazikuwa sehemu ya maisha ya kila siku ya watu. Hii inaonyesha kwamba vitabu hivi vilikuwa ni tafakuri ya maarifa na imani za watu wa wakati huo, badala ya kuwa na ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Zaidi ya hayo, ukweli kwamba vitabu vya dini havijataja sayari nyingine unazua maswali kuhusu uhalali wa madai yao ya kiroho na kiufunuo. Kama kweli vitabu hivi vilikuwa vimeandikwa kwa mwongozo wa nguvu za juu, ni kwa nini hazikuweka maarifa ya msingi kuhusu ulimwengu unaotuzunguka? Hii inaongeza wasiwasi kwamba dini zinaweza kuwa zimeundwa ili kudhibiti na kuongoza jamii, badala ya kutoa maarifa ya kweli na sahihi.
Kwa mtazamo wa kisayansi, maendeleo mengi yamefanywa tangu wakati wa kuandikwa kwa vitabu vya dini. Sayari kama Mars, Jupiter, na Saturn zimegunduliwa, na tumeweza hata kutuma vyombo vya anga kwenye baadhi ya sayari hizi. Hii inaonyesha kwamba maarifa ya kisayansi yanabadilika na kupanuka, wakati maarifa ya kidini yamebaki kuwa yale yale kwa maelfu ya miaka.
Hitimisho ni kwamba, hoja ya kwanini vitabu vya dini havijataja sayari nyingine zaidi ya Dunia inaweza kuonekana kama ushahidi kwamba dini ni utapeli. Inaonyesha kwamba vitabu hivi ni bidhaa za maarifa ya wakati wao, na si ufunuo wa kweli kutoka kwa nguvu za juu zinazodaiwa kuwa na maarifa yote.
Alijitoa nafsi na uhai kuupigania,kuulinda na kuutetea uislamu. Kupitia yeye leo tumepewa Tawfiq za kutosha. Tuna uhakika wa jannah na firdaus.
Allah azidi kumfanyia wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein Ibn Ali A.S.
Kwenye picha hapo chini kipenzi chetu cha dhati Imaam akimuaga kwa mara ya mwisho kabla ya umauti mke wake wa mwisho Shaharbanu bint Yezdegerd ni mama ya Imam Ali Al-Sajjad, peace be upon him.
View attachment 3063963
adriz Malaria 2 Code 255 Titicomb ephen_ dronedrake Yazidi Salim
Wewe makendeWewe nilisha kuignore muda sana kwani huwa unanichosha. Sayari, solar system, water circle n.k zimetajwa kwenye Biblia.
Umelooaaaa 😀Naongea na atheist ama? If so, goodbye.
Waooow Jamani uzi ni mzuri umenivutia❤️