Kwanini wadada Wanawapiga vibuti Wanaume wafupi na Wanene, Labda wawe na pesa nyingi sana

Kwanini wadada Wanawapiga vibuti Wanaume wafupi na Wanene, Labda wawe na pesa nyingi sana

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kwakweli kuna msiba mkubwa sana kwa watu wafupi na wale wanene, watu hawa hasa wenye kipato cha kawaida ama kipato kidogo wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kupata rafiki wa kike, yaani wanawake wengi wamekuwa wakitongozwa na hata ikitokea nafasi ya kuolewa na watu wafupi ama wanene wengi wameambulia kibuti, na tatizo linakuwa kubwa unapokuwa mfupi halaf mnene , utachakaa.

Tatizo hili limesababisha wanaume wafupi na wale wanene wawe wanachelewa kuoa, kwakuwa huwa wanakutana na vikwazo vingi sana kwenye kutafuta wanawake.

Pia kama kawaida kwa Binadamu kuna ka upekee kwa watu hawa, hasa wale wachache ambao ni matajiri na wana pesa nyingi, wenye status kubwa, MaStaa, watoto wa wakubwa, Viongozi wa serikali watu wa jamii hii ambao ni wafupi ama wanene sana huwa wanapata wanawake kwa uraisi tu bila kupata shida kutokana na hadhi yao.

Wanawake wamekuwa na sababu zisizo eleweka kwa nini hawawataki watu hawa , baadhi ya sababu ni
1. Hawatapendezana wakiwa wanatoka out, ama kuongozana barabarani
2. Akiangalia rafiki zake wote wana wanaume warufu na wembamba hivyo wanaogopwa kusemwa
3. Wanadai hawataki kuzaa watoto wafupi kama baba yao
4. Wengine wanaamini watu hawa ni wakorofi na wabishi

Hivyo nawaasa Watanzania na binadamu wote duniani hasa wanawake waache huu uduwanzi wa kureject wanaume wafupi na wanene
 
wewe ni mwanaume unatamani wanaume wenzako wawe wembamba na warefu

ili iweje yani unakua attracted na wanaume wenzako wenye appearances fulani halafu unakuja jf kusema kwa niaba ya wanawake

this is pure gay character unataman mbupu za wanaume wenzako. ??
 
wewe ni mwanaume unatamani wanaume wenzako wawe wembamba na warefu

ili iweje yani unakua attracted na wanaume wenzako wenye appearances fulani halafu unakuja jf kusema kwa niaba ya wanawake

this is pure gay character unataman mbupu za wanaume wenzako. ??
Hoja hujibiwa kwa hoja, usiwe kama ali kiba , jibu hoja
 
Utafiti huu uliufanyia wapi, Ni hivi Mungu ametengeneza kila hitaji la mtu.
baada ya kukubaliana na mwenza, licha ya urefu wsko au ufupi wako kwanza ni kutimiziana mahtataji, kama hilo alipo hata uwe mrefu kama twiga utaachwa tu.
 
Pole kwa yaliyo kukuta mkuu, Kama vipi karefushe hata shingo
1000018341.gif
 
Amka haraka sana utajikojolea!!!!wew bado unasafari ndefu yakuwajua wanawake na mbunye kiujumla. wanawake nimabulldoza , fagia fagia , hao viumbe ni kumbakumba kama Joseph kaniki golota..warefu kwa wafupi wanalizwa, wanene kwa wembamba ni kilio .wanawake nikama kitunguu maji , ukikimenya TU ,lazima umwage chozi la mtu mzima!
 
Amka haraka utajikojolea, wew bado unasafari ndefu yakuwajua wanawake na mbunye kiujumla, wanawake nimabulldoza , fagia fagia , hao viumbe ni kumbakumba kama Joseph kaniki golota..warefu kwa wafupi wanalizwa, wanene kwa wembamba ni kilio ..wanawake nikama kitunguu maji , ukikimenya TU ,lazima umwage chozi la mtu mzima!
dooh
 
Kwakweli kuna msiba mkubwa sana kwa watu wafupi na wale wanene, watu hawa hasa wenye kipato cha kawaida ama kipato kidogo wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kupata rafiki wa kike, yaani wanawake wengi wamekuwa wakitongozwa na hata ikitokea nafasi ya kuolewa na watu wafupi ama wanene wengi wameambulia kibuti, na tatizo linakuwa kubwa unapokuwa mfupi halaf mnene , utachakaa.

Tatizo hili limesababisha wanaume wafupi na wale wanene wawe wanachelewa kuoa, kwakuwa huwa wanakutana na vikwazo vingi sana kwenye kutafuta wanawake.

Pia kama kawaida kwa Binadamu kuna ka upekee kwa watu hawa, hasa wale wachache ambao ni matajiri na wana pesa nyingi, wenye status kubwa, MaStaa, watoto wa wakubwa, Viongozi wa serikali watu wa jamii hii ambao ni wafupi ama wanene sana huwa wanapata wanawake kwa uraisi tu bila kupata shida kutokana na hadhi yao.

Wanawake wamekuwa na sababu zisizo eleweka kwa nini hawawataki watu hawa , baadhi ya sababu ni
1. Hawatapendezana wakiwa wanatoka out, ama kuongozana barabarani
2. Akiangalia rafiki zake wote wana wanaume warufu na wembamba hivyo wanaogopwa kusemwa
3. Wanadai hawataki kuzaa watoto wafupi kama baba yao
4. Wengine wanaamini watu hawa ni wakorofi na wabishi

Hivyo nawaasa Watanzania na binadamu wote duniani hasa wanawake waache huu uduwanzi wa kureject wanaume wafupi na wanene
Kuna manzi ilinishobokea kinoma ikanitongoza yenyewe kwa sms.kimo changu ni futi 5.8,wakati huohuo mshikaji wangu ni tall man halafu mbavu yani mzee wa tizi,pia mwana alikua na pay kunizidi.Kwanini demu alinikubali mimi na hakumshobokea mwana mwenye vigezo hivyo.Demu mwenyewe ni knife hatari
 
Kuna manzi ilinishobokea kinoma ikanitongoza yenyewe kwa sms.kimo changu ni futi 5.8,wakati huohuo mshikaji wangu ni tall man halafu mbavu yani mzee wa tizi,pia mwana alikua na pay kunizidi.Kwanini demu alinikubali mimi na hakumshobokea mwana mwenye vigezo hivyo.Demu mwenyewe ni knife hatari
Wengine hatupendi watu wa tizi
 
Back
Top Bottom