Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
😹😹😹🙌🏾Wewe uliona wapi mwanaume mwenye pesa akawa mfupi!! Kwanza muwatake radhi🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹🙌🏾Wewe uliona wapi mwanaume mwenye pesa akawa mfupi!! Kwanza muwatake radhi🤣
Nalo nenoHiyo facta ilikuwa miaka ya 90's huko...siku hz kikubwa kinachoangaliwa ni uwezo wa kiuchumi...hakuna binadam anapenda maisha magumu mkuu!!
Yaani demu amkubali mwanaume kwasabb ya urefu pekeyake?? Dunia ya leo?!.
kibongo bongo wewe sio anduje, muangalie jotiKuna manzi ilinishobokea kinoma ikanitongoza yenyewe kwa sms.kimo changu ni futi 5.8,wakati huohuo mshikaji wangu ni tall man halafu mbavu yani mzee wa tizi,pia mwana alikua na pay kunizidi.Kwanini demu alinikubali mimi na hakumshobokea mwana mwenye vigezo hivyo.Demu mwenyewe ni knife hatari
nimesema hapo kuna exeption kwa watu maarufu, viongozi na matajiriHiyo facta ilikuwa miaka ya 90's huko...siku hz kikubwa kinachoangaliwa ni uwezo wa kiuchumi...hakuna binadam anapenda maisha magumu mkuu!!
Yaani demu amkubali mwanaume kwasabb ya urefu pekeyake?? Dunia ya leo?!.
Ila M23 wahuni kweli. Wanapigana na MUNUSCO, FRDSEE, SADC na bado wanateka miji kibaoKwakweli kuna msiba mkubwa sana kwa watu wafupi na wale wanene, watu hawa hasa wenye kipato cha kawaida ama kipato kidogo wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kupata rafiki wa kike, yaani wanawake wengi wamekuwa wakitongozwa na hata ikitokea nafasi ya kuolewa na watu wafupi ama wanene wengi wameambulia kibuti, na tatizo linakuwa kubwa unapokuwa mfupi halaf mnene , utachakaa.
Tatizo hili limesababisha wanaume wafupi na wale wanene wawe wanachelewa kuoa, kwakuwa huwa wanakutana na vikwazo vingi sana kwenye kutafuta wanawake.
Pia kama kawaida kwa Binadamu kuna ka upekee kwa watu hawa, hasa wale wachache ambao ni matajiri na wana pesa nyingi, wenye status kubwa, MaStaa, watoto wa wakubwa, Viongozi wa serikali watu wa jamii hii ambao ni wafupi ama wanene sana huwa wanapata wanawake kwa uraisi tu bila kupata shida kutokana na hadhi yao.
Wanawake wamekuwa na sababu zisizo eleweka kwa nini hawawataki watu hawa , baadhi ya sababu ni
1. Hawatapendezana wakiwa wanatoka out, ama kuongozana barabarani
2. Akiangalia rafiki zake wote wana wanaume warufu na wembamba hivyo wanaogopwa kusemwa
3. Wanadai hawataki kuzaa watoto wafupi kama baba yao
4. Wengine wanaamini watu hawa ni wakorofi na wabishi
Hivyo nawaasa Watanzania na binadamu wote duniani hasa wanawake waache huu uduwanzi wa kureject wanaume wafupi na wanene
duh we kiboko, Sasa magazeti unasomaga, au we unasoma udaku tu wa maimartha na mangeKwa hiyo title Yako hivi kweli hujui sababu....!?
Ama ulitaka tu namna ya kueleza Story mingi ambazo sijapata nafasi ya kuisoma...!
Bila kutusahau sisi weusi wenye ugly face 😈Kwakweli kuna msiba mkubwa sana kwa watu wafupi na wale wanene, watu hawa hasa wenye kipato cha kawaida ama kipato kidogo wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kupata rafiki wa kike, yaani wanawake wengi wamekuwa wakitongozwa na hata ikitokea nafasi ya kuolewa na watu wafupi ama wanene wengi wameambulia kibuti, na tatizo linakuwa kubwa unapokuwa mfupi halaf mnene , utachakaa.
Tatizo hili limesababisha wanaume wafupi na wale wanene wawe wanachelewa kuoa, kwakuwa huwa wanakutana na vikwazo vingi sana kwenye kutafuta wanawake.
Pia kama kawaida kwa Binadamu kuna ka upekee kwa watu hawa, hasa wale wachache ambao ni matajiri na wana pesa nyingi, wenye status kubwa, MaStaa, watoto wa wakubwa, Viongozi wa serikali watu wa jamii hii ambao ni wafupi ama wanene sana huwa wanapata wanawake kwa uraisi tu bila kupata shida kutokana na hadhi yao.
Wanawake wamekuwa na sababu zisizo eleweka kwa nini hawawataki watu hawa , baadhi ya sababu ni
1. Hawatapendezana wakiwa wanatoka out, ama kuongozana barabarani
2. Akiangalia rafiki zake wote wana wanaume warufu na wembamba hivyo wanaogopwa kusemwa
3. Wanadai hawataki kuzaa watoto wafupi kama baba yao
4. Wengine wanaamini watu hawa ni wakorofi na wabishi
Hivyo nawaasa Watanzania na binadamu wote duniani hasa wanawake waache huu uduwanzi wa kureject wanaume wafupi na wanene
Shida tukioa tu wengi tunakuwa vibonge 😂Jamani mbona mitaani wanaume hao ndo wameoa na wanaishi vzr tu na wake zao,tena wake zao wanavyoringa kwakua tu wameolewa sisemi sana 🙄
Jinsi gani ndoa ilivyo tamu au sio mkuuShida tukioa tu wengi tunakuwa vibonge 😂
Hapa sasa umenenaMwanaume yeyote nwenye Pesa ni mrefu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣Sasa wewe unakuaje na mtu unamchungulia
Ndo maana ake.Hapa sasa umenena