welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Wanawaita "vibopa"
Tena atupe na maana ya vibopa"Ngoja waje Evelyn Salt shindikanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena atupe na maana ya vibopa"Ngoja waje Evelyn Salt shindikanaa
Hapo umepigaje bro?😀
SikubaliHizo ni dipresheni zako tu🤣🤣
Unaposema mtu ni mfupi ni mwenye ft ngapi??Kwakweli kuna msiba mkubwa sana kwa watu wafupi na wale wanene, watu hawa hasa wenye kipato cha kawaida ama kipato kidogo wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kupata rafiki wa kike, yaani wanawake wengi wamekuwa wakitongozwa na hata ikitokea nafasi ya kuolewa na watu wafupi ama wanene wengi wameambulia kibuti, na tatizo linakuwa kubwa unapokuwa mfupi halaf mnene , utachakaa.
Tatizo hili limesababisha wanaume wafupi na wale wanene wawe wanachelewa kuoa, kwakuwa huwa wanakutana na vikwazo vingi sana kwenye kutafuta wanawake.
Pia kama kawaida kwa Binadamu kuna ka upekee kwa watu hawa, hasa wale wachache ambao ni matajiri na wana pesa nyingi, wenye status kubwa, MaStaa, watoto wa wakubwa, Viongozi wa serikali watu wa jamii hii ambao ni wafupi ama wanene sana huwa wanapata wanawake kwa uraisi tu bila kupata shida kutokana na hadhi yao.
Wanawake wamekuwa na sababu zisizo eleweka kwa nini hawawataki watu hawa , baadhi ya sababu ni
1. Hawatapendezana wakiwa wanatoka out, ama kuongozana barabarani
2. Akiangalia rafiki zake wote wana wanaume warufu na wembamba hivyo wanaogopwa kusemwa
3. Wanadai hawataki kuzaa watoto wafupi kama baba yao
4. Wengine wanaamini watu hawa ni wakorofi na wabishi
Hivyo nawaasa Watanzania na binadamu wote duniani hasa wanawake waache huu uduwanzi wa kureject wanaume wafupi na wanene
Dah umeenda mbali sana, ila unajua ninachokiongeleaUnaposema mtu ni mfupi ni mwenye ft ngapi??
Unaposema mtu ni mrefu ni mwenye ft ngapi??
Ukijibu hivyo nadhani nitachangia mada. Huwezi kufanya tafiti bila data ni ngumu sana kwenye suala hili. Ukiweka data hizo watu watachangia kwa mifano na tutafika mwisho
😂😂😂😂Utakuta hata eden nyoka alionekana mrefu kumzidi adem
Mkuu nimekupata vyema sana. Nimeuliza mtu ili aitwe mfupi awe na ft ngapi ili tunapochangia hii maada iwe na mifano hai sio mifano dhaniaDah umeenda mbali sana, ila unajua ninachokiongelea
Mbona wenzako wamechangia, ulipata division ngapi form fourMkuu nimekupata vyema sana. Nimeuliza mtu ili aitwe mfupi awe na ft ngapi ili tunapochangia hii maada iwe na mifano hai sio mifano dhania
Jidanganye!Kwakweli kuna msiba mkubwa sana kwa watu wafupi na wale wanene, watu hawa hasa wenye kipato cha kawaida ama kipato kidogo wamekuwa wakipata wakati mgumu sana kupata rafiki wa kike, yaani wanawake wengi wamekuwa wakitongozwa na hata ikitokea nafasi ya kuolewa na watu wafupi ama wanene wengi wameambulia kibuti, na tatizo linakuwa kubwa unapokuwa mfupi halaf mnene , utachakaa.
Tatizo hili limesababisha wanaume wafupi na wale wanene wawe wanachelewa kuoa, kwakuwa huwa wanakutana na vikwazo vingi sana kwenye kutafuta wanawake.
Pia kama kawaida kwa Binadamu kuna ka upekee kwa watu hawa, hasa wale wachache ambao ni matajiri na wana pesa nyingi, wenye status kubwa, MaStaa, watoto wa wakubwa, Viongozi wa serikali watu wa jamii hii ambao ni wafupi ama wanene sana huwa wanapata wanawake kwa uraisi tu bila kupata shida kutokana na hadhi yao.
Wanawake wamekuwa na sababu zisizo eleweka kwa nini hawawataki watu hawa , baadhi ya sababu ni
1. Hawatapendezana wakiwa wanatoka out, ama kuongozana barabarani
2. Akiangalia rafiki zake wote wana wanaume warufu na wembamba hivyo wanaogopwa kusemwa
3. Wanadai hawataki kuzaa watoto wafupi kama baba yao
4. Wengine wanaamini watu hawa ni wakorofi na wabishi
Hivyo nawaasa Watanzania na binadamu wote duniani hasa wanawake waache huu uduwanzi wa kureject wanaume wafupi na wanene
ndo hoja na point yako, ulipata division ngapi form fourJidanganye!
Form four tena!ndo hoja na point yako, ulipata division ngapi form four
Yes kwa maana nahisi wewe ni KilazaForm four tena!
Sikumbuki hata lini nilitakiwa kuwasilisha cheti changu cha Form Four. Inaelekea wewe ni junior sana humu duniani.Yes kwa maana nahisi wewe ni Kilaza
45, judge urselfSikumbuki hata lini nilitakiwa kuwasilisha cheti changu cha Form Four. Inaelekea wewe ni junior sana humu duniani.
Wewe ni junior! Kama bado cheti chako cha form kinatakiwa kukutetea! Jitafakari chukua hatua!45, judge urself