Kwanini wadada Wanawapiga vibuti Wanaume wafupi na Wanene, Labda wawe na pesa nyingi sana

Hiyo facta ilikuwa miaka ya 90's huko...siku hz kikubwa kinachoangaliwa ni uwezo wa kiuchumi...hakuna binadam anapenda maisha magumu mkuu!!
Yaani demu amkubali mwanaume kwasabb ya urefu pekeyake?? Dunia ya leo?!.
Nalo neno
 
kibongo bongo wewe sio anduje, muangalie joti
 
Hiyo facta ilikuwa miaka ya 90's huko...siku hz kikubwa kinachoangaliwa ni uwezo wa kiuchumi...hakuna binadam anapenda maisha magumu mkuu!!
Yaani demu amkubali mwanaume kwasabb ya urefu pekeyake?? Dunia ya leo?!.
nimesema hapo kuna exeption kwa watu maarufu, viongozi na matajiri
 
Kwa hiyo title Yako hivi kweli hujui sababu....!?

Ama ulitaka tu namna ya kueleza Story mingi ambazo sijapata nafasi ya kuisoma...!
 
Ila M23 wahuni kweli. Wanapigana na MUNUSCO, FRDSEE, SADC na bado wanateka miji kibao
 
Kwa hiyo title Yako hivi kweli hujui sababu....!?

Ama ulitaka tu namna ya kueleza Story mingi ambazo sijapata nafasi ya kuisoma...!
duh we kiboko, Sasa magazeti unasomaga, au we unasoma udaku tu wa maimartha na mange
 
Bila kutusahau sisi weusi wenye ugly face 😈
 
Huo ni mtazamo wako kama wew mfup kibinge tafuta ela mengine yatajileta tuuh
Sio kulialia na mapenz Kuna pesa maelezo
 
Kwasababu sisi wanaume warefu huwa tunaweza kumpiga busu demu wa mtu mfupi mbele yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…