hata kama yalianza zamani wewe unaona bora yaendeleee? ndio mana Mungu kawachapa pigo.Akili kisoda sana,mambo hayo ya watu kupotezwa umeanza kuyaona leo?
Mbona hata ujambazi na wizi wa sasa mnajitetea kua haukuwahi kuisha nchini Tangu enzi?
Ujinga tu umetamalaki kichwani mwenu
Kwa samia ndio hamtaki kwa yule Jini Jiwe ndio mlitaka atawale milele?? hayo ndio manufaa ya kitaifa?? Malofa nyieManeno ya aina hii huwa yananipa picha kwamba kuna watu munatafuta raha ya maisha ambayo haipo dunia hii. Na munachukia viongozi kwa manufaa binafsi tu! Tunapojadili suala la kitaifa huwezi fikia hatua ya kuruhusu rais awe mwizi wakati jamii ya dunia hii, wizi unakubalika kwa watu wapuuzi tu. Hata kama alimnyonga mzazi wako, ifikie kiwango ujiulize kama mzazi alikuwa mtu wa maana kiasi gani.
Mbona kipindi kile akina Rostam wameenda kuonana na ile maiti ya chato hamkuyasema haya
Mwacheni mama aipeleke nchi mahala salama kutoka kwenye ile diversion aliyokuwa anatupeleka bwana Mayanga/majanga
Maitimagufuli kafa, ila bado ana thamani kubwa kuliko wewe uliye hai , hapo sasa Sijui nani ni maiti
Jibu limeendana na huyo kilaza niliyemquote.Kama unamaanisha, basi wewe ni zero+
Sawahata kama yalianza zamani wewe unaona bora yaendeleee? ndio mana Mungu kawachapa pigo.
DU, watu kwa kubadiri topic, nani kasema Dangote ni mkumbozi wa Tanzania? Kuna andiko hata moja limesema hivyo? Tusiwekeane maneno mdomoni tafadhari.
Watu wengi bado tunaishi maisha ya KIJIMA sana aise; hivi bado kuna mtu hajui faida za wawekezaji katika nchi? Magufuli mwenyewe ali straggle sana kuwapata wawekezaji, sema matendo yake yalikua yanawafukuza; tunajua Dangote alitaka kufunga kiwanda chake, aliitwa na Magufuli Ikulu wakayamaliza but bado ni kama uzalishaji wake ulikua unasua sua, kaongea na watu wa Barrick baada ya yeye mwenyewe kuwachanganya, kina Rostam Aziz hadi waliondoka nao nchini but he called them back, kafanya sana vikao na wafanyabiasha wa ndani na wa nje but huenda wawekezaji/wafanya biashara walikua wanaona maneno yake na matendo yake vilikua vinapingana na waka decide otherwise.
Moja kati ya faida za wawekezaji ni AJIRA kwa Watanzania, tumelalamika ugumu wa ajira kipindi cha mwendazake, unajua sababu kubwa ni nini? Serikali haina uwezo wa kuajiri wataalamu wote, wengine wataajiriwa sekta binafsi, ndio hao wawekezaji au wafanyabiashara.
Faida ya pili ndio hiyo mambo ya kodi na dividends kwenda serikalini, ukiwaondoa wafanyabiashara hayo mengine yatatokea and hence hata hizo kodi tunazo sema zimefikia Tilion zita drop na ujambazi/wizi unaweza kuongeza. Tuache mawazo ya KIJIMA, tufikirie kisasa, duniani kote serikali zinatengeneza mazingira mazuri kwa wafanyabiashara/wawekezaji, halafu sisi na mawazo yetu ya KIJIMA tunawaona kama wanyonyaji, stupid
Bei chee! Jinga wewe huyu ni mjomba wa Tanzania!Nimeishia darasa la hapa na pale but that doesnt mean kwamba sijui faida za uwekezaji. Hivi hujui baada ya Dangote kuanza uzalishaji bei ya cement nchini ilishuka? Dangote aliwapa sana changamoto wazalishaji wengine; ngoja nikupe hi nyingine; Cement ya Tanzania kwa sehemu kubwa iliokua inapatikana sokoni ilikua ile ya class 32.5, Dangote akawa anamwaga mzigo wa class 42.5 kwa bei chee, ndio sasa na kina Simba, Twiga nao ikabidi waji align na soko, zikaanza hizo sijui twiga plus, mara twiga extra nk. Bado utananmbia, Dangote hana faida?
Tatizo dangote ni mweusi mwenzetu ndio maana maneno yamekuwa mengi angekuwa mhindi au mzungu wala msingepiga hizi kelele za kujifanya mna uchungu sana na nchi.Hivi umeona kejeli wapi? Just for your info umeshajiuliza kwa nini wako group ya kupata referral visa kabla ya kuingia TZ.
Na legitimate business za West Africa hapa Tanzania unaelewa undani wake? Mimi naongea with facts.
Mbona kama un'hallucinate', kuna "mlengwa" yupi?Mlengwa kanielewa wewe pita tu kimya kimya.
Uliona popote nilipoandika humu JF nikiyashabikia na kuyashangilia matukio hayo?Ulikuwa na mawazo sawa na haya wakati Magu akikutana na akina Rostam au hata huyo Dangote hapo Ikulu?!
Unaweza kueleza hapa utofauti wa Dangote aliyekuwa amekutana na Magu na Dangote aliyekutana na SSH ili tuamini Dangote huyu anayekutana na SSH ni mwando tu wa kuturudisha kwenye uchuuzi lakini Dangote yule wa Magu alikuwa ni wa kutupeleka kwenye industrial nation!
View attachment 1797748
Hapo juu ni Mwenyekiti wa Bharti Enterrprise!!
Haya sasa... tofauti ya ukutanaji huu wa sasa ni ipi ukilinganisha na ule wa zamani hadi uone huu wa sasa unataka kuturudisha kwenye uchuuzi?!
Wanafiki sukuma gangAcheni chuki zenu kwa mama. Mbona Magufuli alipokutana na Dangote ikulu hamkutia neno?
"...na ndicho anakifanya mama"Fuatilia changamoto anazopitia Dangote kwenye kiwanda chake cha saruji (cement) huko mtwara, kuna somo linaitwa mjasiriamali na yanayomzunguka 'the entrepreneur and his environment ' tumepitia kwenye sera zisizo tabirika (policy uncertainty) huwezi kupanga namna ya kukuza biashara kwa sera ambazo hazina muelekeo 'you can not plan business growth with policy uncertainty' wafanya biashara wengi waliumizwa na hicho kikosi chenu cha 'task force ' kazi ya ziada inahitajika kurudisha imani ya wawekezaji na wafanya biashara na ndicho anakifa fanya Mama
MATAGA bwana!!eti mwekezaji mwenye kiwanda kimoja tu!!kwa akili yako unafikiria kuwa muwekezaji mkubwa ni yule mwenye viwanda vingi?hiyo tsh.trilion.1.7 kwenye huo uwekezaji wake ni ndogo?!!kwani aliyewakimbiza /kujenga mazingira yasiyotabirika ya biashara si alikuwa RAIS?Basi ni RAIS huyo huyo ndio anayeweza kujengea taswira mpya kwa hao wawekezaji.Yaani jamaa lile sijui hata lilitoka wapiTunavutia wawekezaji lakini njia za kuwekeza na Sheria za uwekezaji haziko Ikulu.
Tunazo Wizara na ofisi zinazohusika. Kwa kuwa marais wetu wameamua kuwa ni waalikaji wa wawekezaji, nawaona Mawaziri na wahusika wengine wakikaa pembeni na kufanya kazi za sekretari, kukopi kumbukumbu za mikutano na ahadi za Rais. Hii haifai. Leo Dangote, kesho wawekezaji wa Ulaya, kesho wachina, wahindi, Wakenya, n.k. mpaka lini hali hii?
Sasa Ikulu ni ya wafanyabiashara, wakiitwa wawekezaji. Ni vigumu kwa mkulima mashuhuri kufika Ikulu. Rais hajakutana na kundi lolote la waajiliwa wake; iwe Jeshi, waalimu, idara ya afya, nk.
Imekuwa ni rahisi sana Dangote kufika Ikulu kujadili uwekezaji wa kiwanda kimoja tu. Kuna udhaifu gani unaotafutwa Ikulu? Ni kugawa shares za kiwanda kama tulivyowahi sikia?
Huu sasa umekuwa mtindo wa kudumu kwa marais wetu wa CCM.
Tunavutia wawekezaji lakini njia za kuwekeza na Sheria za uwekezaji haziko Ikulu.
Tunazo Wizara na ofisi zinazohusika. Kwa kuwa marais wetu wameamua kuwa ni waalikaji wa wawekezaji, nawaona Mawaziri na wahusika wengine wakikaa pembeni na kufanya kazi za sekretari, kukopi kumbukumbu za mikutano na ahadi za Rais. Hii haifai. Leo Dangote, kesho wawekezaji wa Ulaya, kesho wachina, wahindi, Wakenya, n.k. mpaka lini hali hii?
Sasa Ikulu ni ya wafanyabiashara, wakiitwa wawekezaji. Ni vigumu kwa mkulima mashuhuri kufika Ikulu. Rais hajakutana na kundi lolote la waajiliwa wake; iwe Jeshi, waalimu, idara ya afya, nk.
Imekuwa ni rahisi sana Dangote kufika Ikulu kujadili uwekezaji wa kiwanda kimoja tu. Kuna udhaifu gani unaotafutwa Ikulu? Ni kugawa shares za kiwanda kama tulivyowahi sikia?
Huu sasa umekuwa mtindo wa kudumu kwa marais wetu wa CCM.
Tunasubiri muda wake uishe,afanye haraka na hao wawekezaji wake. Tumerudi kuwa shamba la bibi.
Raia wa kawaida angekutana na viunzi 1000 kisha anakata tamaa wakati ndiye mwenye-nchi ambaye biashara yake, kula kwake, kuuguzwa kwake, kusafiri kwake, kununua bidhaa kwake, kulima mazao ya chakula na na biashara ndio KODI endelevu inayoifanya serikali kuwa hai na kutanua misuli huku yenyewe ikijiimarisha kwenye fahamu kuu tano za kimamlaka ili kuendelea kutawala.Tunavutia wawekezaji lakini njia za kuwekeza na Sheria za uwekezaji haziko Ikulu.
Tunazo Wizara na ofisi zinazohusika. Kwa kuwa marais wetu wameamua kuwa ni waalikaji wa wawekezaji, nawaona Mawaziri na wahusika wengine wakikaa pembeni na kufanya kazi za sekretari, kukopi kumbukumbu za mikutano na ahadi za Rais. Hii haifai. Leo Dangote, kesho wawekezaji wa Ulaya, kesho wachina, wahindi, Wakenya, n.k. mpaka lini hali hii?
Sasa Ikulu ni ya wafanyabiashara, wakiitwa wawekezaji. Ni vigumu kwa mkulima mashuhuri kufika Ikulu. Rais hajakutana na kundi lolote la waajiliwa wake; iwe Jeshi, waalimu, idara ya afya, nk.
Imekuwa ni rahisi sana Dangote kufika Ikulu kujadili uwekezaji wa kiwanda kimoja tu. Kuna udhaifu gani unaotafutwa Ikulu? Ni kugawa shares za kiwanda kama tulivyowahi sikia?
Huu sasa umekuwa mtindo wa kudumu kwa marais wetu wa CCM.
Tunavutia wawekezaji lakini njia za kuwekeza na sheria za uwekezaji haziko ikulu! Tunazo wizara na ofisi zinazohusika. Kwa kuwa marais wetu wameamua kuwa ni waalikaji wa wawekezaji, nawaona mawaziri na wahusika wengine wakikaa pembeni na kufanya kazi za sekretari, kukopi kumbukumbu za mikutano na ahadi za rais. Hii haifai. Leo Dangote, kesho wawekezaji wa Ulaya, kesho wachina, wahindi, Wakenya, n.k. mpaka lini hali hii?
Sasa ikulu ni ya wafanyabiashara, wakiitwa wawekezaji. Ni vigumu kwa mkulima mashuhuri kufika ikulu. Rais hajakutana na kundi lolote la waajiliwa wake; iwe Jeshi, waalimu, idara ya afya, nk. Imekuwa ni rahisi sana Dangote kufika ikulu kujadili uwekezaji wa kiwanda kimoja tu! Kuna udhaifu gani unaotafutwa Ikulu? Ni kugawa shares za kiwanda kama tulivyowahi sikia? Huu sasa umekuwa mtindo wa kudumu kwa marais wetu wa CCM
Tunasubiri muda wake uishe,afanye haraka na hao wawekezaji wake. Tumerudi kuwa shamba la bibi.
Wanyonge ni wengi (kama alivyokuwa akiwaita meko)ni wapiga kura wazuri sana, ila uchumi wa nchi unaendeshwa na watu wachache(matajiri)huo ndio ukweli sasa aliwaaminisha wanyonge kuwa adui wao ni tajiri!!!Ogopa sana Technolojia, mtoa mada kule juu ana matatizo sana. Ana imani za kishamba kuwa ili kupata uwekezaji, unatakiwa na sera za NGUNGULI, mambo ambayo yamepitwa na wakati. Hizi enzi ni za utandawazi, utajikuta unaogelea peke yako. Dunia hii ni ya uwekezaji(narudia uwekezaji na siyo uchuuzi)!
Falsafa za kichuuzi na kujitenga zimeonesha kushindwa, kifo cha mende!
Swali fikirishi Nyumba ikiwa na ufa utasubiri ibomoke?"...na ndicho anakifanya mama"
Marekebisho ya hizo sera mbovu yalifanyika wakati gani; hebu eleza hili kidogo.
Ni yeye mwenyewe kazirekebisha, au kuna utaratibu wa kufanya kazi hiyo?
"Tanzania hakuna matajiri,wanaoitwa matajiri ni wapigaji"Wanyonge ni wengi (kama alivyokuwa akiwaita meko)ni wapiga kura wazuri sana, ila uchumi wa nchi unaendeshwa na watu wachache(matajiri)huo ndio ukweli sasa aliwaaminisha wanyonge kuwa adui wao ni tajiri!!!