Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we hukusoma historia ya shuke ya msingi? wakati wakina Mangi Meli na Sina wanapigana je? na kunyongwa baadae?hapana, wajerumani walifika uchagani 1885, wachaga ndo kabila la kwanza kutawaliwa na mtu mweupe tz
1892 nadhani ndo wachaga walianza mgomowe hukusoma historia ya shuke ya msingi? wakati wakina Mangi Meli na Sina wanapigana je? na kunyongwa baadae?
kabla ya wakoloni walikuja wamishionari na washirika wao! Si kweli unachosema!1892 nadhani ndo wachaga walianza mgomo
mangi meli alinyongwa 1900
mmissionary wa kwanza kuingia africa kupitia bahari ya indi, johaness rebman , alifika kwanza kilimanjaro 1846 ndio akenda maeneo ya bukoba na kenyakabla ya wakoloni walikuja wamishionari na washirika wao! Si kweli unachosema!
kwahiyo alivyokuja na shule zikaota kama uyoga?mmissionary wa kwanza kuingia africa kupitia bahari ya indi, johaness rebman , alifika kwanza kilimanjaro 1846 ndio akenda maeneo ya bukoba na kenya
we bisha niko na google hapa😂
itakua zilijengwa wakati wajerumani wanatawala 1885-1919kwahiyo alivyokuja na shule zikaota kama uyoga?
Hata wamisionari walijenga pia ila still huwezi kusema zoote zilijengwa nao kuna shule nyingi wanavijiji huko Kagera na Kilimanjaro walijenga!itakua zilijengwa wakati wajerumani wanatawala 1885-1919
nimeishi na wahaya, hata mama yangu pia ni muhaya .....ubinafsi na ile roho ya umimi ndio inayowamaliza wahayaWatu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.
Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.
Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?
Ni hayo tu.
Hata wao kwa wao.nimeishi na wahaya, hata mama yangu pia ni muhaya .....ubinafsi na ile roho ya umimi ndio inayowamaliza wahaya
Na ziwa Victoria wanalo ongezawacha upuuzi statistical Kagera ni moja ya mikoa maskini japokuwa wana ardhi ya rutuba na pia karibia kila kitu kama Kilimanjaro tena kwa kuzidi maana wana ardhi kubwa na ya rutuba haswa!
ubinafsi wa wahaya ni ule wa uharibifu......yaani tusipate sote tufananeHata wao kwa wao.
Si tunaambiwa ili ufanikiwe inabidi uwe mbinafsi au ni mbwembwe za motivesheno spikazi.
Wahaya Meneno mengi kazi kidogo......hata pesa wanazopata wanaishia kugongea mademu tu.Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.
Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.
Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?
Ni hayo tu.
Leo nshimile watakomaHawa ndugu zangu kwani midomo yao wanakula nn ? Maana ukikutana na wahaya 10 basi 9 midomo inaleta hewa mbaya
Mashauzi yao na ubinafsi ndo kilichowaponza mpaka teacher akawalamba block sehemu nying na wangepewa nafas kutokana na elimu yao ingekuwa balaa sana ndani ya nchi hiiWatu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.
Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.
Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?
Ni hayo tu.
Kuna mmoja nangoja aingie kweny timing zangu nimchane anajifanya anajua sana kumbe mshamba tu.Leo nshimile watakoma
Nani....Britanica au Gentamycin?Kuna mmoja nangoja aingie kweny timing zangu nimchane anajifanya anajua sana kumbe mshamba tu.