Kwanini Wahaya hawana maendeleo kama Wachaga wakati kote elimu ilifika mapema?

Kwanini Wahaya hawana maendeleo kama Wachaga wakati kote elimu ilifika mapema?

Okey kumbe wanadai wamesoma kama wachaga kitu ambacho ni kweli lakini hawajadai wana maisha makubwa kuliko wachagga . Sasa shida iko wapi
Ukisema umesoma means Elimu iinyeshe reflection, Wachaga Elimu yao Ina reflect maisha murua,sio unasema umesoma alafu mkoa Wako unaongoza kwa umaskin Kila siku
 
Spirit ya Wachaga ya kuendeleza kwao ilianza vizazi na vizazi nilienda kule Mahlangu nilimkuta Mzee anasema yeye kazaliwa kwenye bara bara ya lami huyo mtu uwezo wake wa kufikiri lazima utakua wa maendeleo tu ikiwa kijijini bara bara inapitika akitaka kufanya ujenzi hawezi kushindwa...Wachaga kila nikiwatembelea naona kabisa wana mawazo tofauti kabisa na vijiji vya makabila mengine...
Ukweli mtupu mkuu
 
Muislam hta awe kahitimu kuusoma msahafu tu, hakuna hata orofesa wenu uchwara mmoja ataempata uelewa wake.
Ndivyo mnavyodanganyana huko Masjid? [emoji1][emoji1][emoji1] Pole sana bibi Elimu ndio Kila kitu unaweza kutibiwa hospital bila taaluma ukatumia msaafu?
 
Ukweli mtupu mkuu
Mahlangu mabondeni ni safu za Mlima Kilimanjaro sasa nenda huko chini ukutane na nyumba kama zimeoteshwa wakati pana vijiji vipo bara barani tuu siwezi kuvitaja bado wana nyumba za tembe na watoto wao wapo Daslm vyeo vikubwa tuu...mtu anaenda nyumbani kwa kujificha ficha ili kuficha aibu na sio kutaka kubadilisha mazingira ya nyumbani wengine wanaenda kwao huku wakifikia Hotel vima kweli harafu unataka maendeleo ya nyumbani...
 
Mahlangu mabondeni ni safu za Mlima Kilimanjaro sasa nenda huko chini ukutane na nyumba kama zimeoteshwa wakati pana vijiji vipo bara barani tuu siwezi kuvitaja bado wana nyumba za tembe na watoto wao wapo Daslm vyeo vikubwa tuu...mtu anaenda nyumbani kwa kujificha ficha ili kuficha aibu na sio kutaka kubadilisha mazingira ya nyumbani wengine wanaenda kwao huku wakifikia Hotel vima kweli harafu unataka maendeleo ya nyumbani...
Huko uchagani majumba ya kifahari Hadi unashangaa,heshima ya mchaga ni nyumbani kwanza,na Wachaga Tanzania nzima wapo na Kila awapo lazma aweke asset
IMG_20230627_114436_613.jpg
IMG_20230627_114345_958.jpg
 
Ukisema umesoma means Elimu iinyeshe reflection, Wachaga Elimu yao Ina reflect maisha murua,sio unasema umesoma alafu mkoa Wako unaongoza kwa umaskin Kila siku
Mkoa unahusiana nini na juhudi za mtu binafsi mimi binafsi sipajui bukoba wala sitawahi kupajua lakini asili yangu muhaya, pamoja na ndugu na jamaa naowafahamu wapo uko abroad sijui kama watarudi hata Dar es salaam hacha bukoba huko ata majina ya vijiji vyao sjui kama wanakumbuka
 
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
Wahaya si wezi
 
Mkoa unahusiana nini na juhudi za mtu binafsi mimi binafsi sipajui bukoba wala sitawahi kupajua lakini asili yangu muhaya, pamoja na ndugu na jamaa naowafahamu wapo uko abroad sijui kama watarudi hata Dar es salaam hacha bukoba huko ata majina ya vijiji vyao sjui kama wanakumbuka
Mchaga anatofautiana na muhaya kwenye uwekezaji eneo alipotoka, maeneo mengi ya kilimanjaro yamekuwa na majengo alikadhalika miundombinu kama shule pia kunyanyuana kwa mitaji kwasababu waliofanikiwa kupata chochote walirejea nyumbani na wakizeeka watarudi huko, hiii tofauti kabisaaa na wahaya mfano mchukulie marehemu ruge mutahaba nyumba aliyokuwa anaishi dsm na alipoenda kuzikwa kama alishindwa kujenga hata kusaidia jamii ya kwao asingeweza. Hii ndo tofauti ya watu wa jamii hizi.
 
'' Mtu kupata elimu sio kwa ajili ya kuuondoa umasikini bali ni kwa ajili ya kupambana na huo umasikini''...........mwl Nyerere mwisho wa kunukuu.
Wahaya shida yao wameelimika lakini hawana mbinu za kutumia kupambana na huo umasikini.
Shida yao kubwa ni majivuno na majigambo yasiyo na tija hapa ndio wachaga wanapowapiga bao maana wenzao wana vyote.
Mhaya akipanda ndege kujishaua utaona anavaa suti na tai.Mchaga anaweza panda ndege amevaa jeans
Hizi tabia za kihaya utasikia professor wa kwanza mtanzania ni mhaya lakini ukiuliza alifanya nini hakuna.
Namfagilia sana Marehemu Laurian Rugambwa ndio Kardinali wa kwanza muafrica na mtanzania alijitahidi sana kuleta elimu kwa shule ya Rugambwa na Bugando kwa wasiojua mchango wake mkubwa sana ulitokana na yeye ikajengwa Bugando japo ilikuwepo lakini inasemekana Vatican waligundua anapata U papa sasa ubaguzi wa wazungu wakaona haiwezekani ikabidi wamuambie tukujengee hospitali tujenge wapi ndio vile Bukoba ni mpakani wakaona yeye na Nyerere waijengee Mwanza yaani kurekebisha majengo ya iliyo sasa.Mungu amuweke salama huyu mzee.

Mkuu wa mkoa mmoja aliyepita wa Kagera alipata kuwapiga madongo waache uvivu unakuta mtu anafungua duka saa tano akawaambia tatizo lenu nyie kila mtu ni mwanasheria hawapendi kazi ngumu.
Dada mmoja Mhaya rafiki yangu alipata kuniambia kaka zangu tatizo lao ni wavivu sana hawapendi kufanya kazi ngumu wanapenda kazi za kwenye makaratasi tu lakini mchaga kuuza supu,nyama choma ni kitu cha kawaida kabisa na anaingiza mhaya hawezi.
Picha chini angalia ma judge Kina Nshomile na Mangi Massawe
Judge Nshomile anasubiri hadi mwisho wa mwezi alipwe milioni chache.Mangi Massawe akimaliza huyo Mbuzi alivyomuandaa analipwa lakini tano sababu ni tender za harusi.Chukulia kwa mwezi anafanya mara 10 anapata millioni 5
Tofauti ilianzia hapa
 

Attachments

  • Barrister wig.PNG
    Barrister wig.PNG
    99.3 KB · Views: 3
  • Mangi.PNG
    Mangi.PNG
    113.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom