Kwanini Wahaya hawana maendeleo kama Wachaga wakati kote elimu ilifika mapema?

Kwanini Wahaya hawana maendeleo kama Wachaga wakati kote elimu ilifika mapema?

Umeishawahi kufika bukoba? Ukaona Hari ilivyo? richa ya, dar kuwa na ma Pato makubwa, lakini kuna maeneo ukifika, kama Tandale,kawe ukwamani, kuna sura ya, ufukara wa kutisha,
Ukikutana na, omba omba New York, haiamaniishi USA ni, maskini, inabaki, kuwa taifa tajiri.
Ukitaka kujua bukoba ilivyo Bora, angalia matokeo ya mitiani shule za msingi, secondary, inaongoza katika mikoa yote 27 ya bongo,
Ukikuta bukoba, stend,soko,barabara ni mbovu? Ilo ni tatizo, la mwananchi mmoja mmoja au Sera za serikali.
Kama kigezo kuwa kagera nj maskini, ni jumla ya mapato ya shugguri za kiuchumi, gawa kwa idadi ya watu,
Kama mikoa hauna viwanda, shughuri za uzalishaji kubwa, lazima utaona Hari ni mbaya,
Juzi, walisema dar, ukwasi kwa kila mwananchi umeongezeka, kiasi kwamba kila mkazi wa Dar ana miriki milioni 5 kibindoni!!
Hizi, ni takwimu tu, hazina uhalisia,
Viwanda vya bakhresa vipo hapa, ukichukua mapato ya bakhresa, unajumlisha na mapato ya bodaboda, harafu unstafuta wastani, hawa wananchi wa kipato cha chini, wataonekana wana mkwanja mrefu kumbe bure kabisa,
Haya, tuna maprofesa wengi, wafanyabiashara wengi, mzunguko mkubwa wa pesa, hazipo bukoba tu, tupo kila eneo nchi hii,
Ukfika masasi Lindi, eneo la Jeddah, hotel kubwa ni ya muhaya!
Umewahi kufika same, uone ufukara uliopo.
Najua umesema Same unamanisha Wapare.Kwa taarifa yako Wapare hawakai tambarare wako kule milimani.Hata wachaga ukiwatathmini kwa kuangalia mji wa Moshi utaona wako nyuma sana ila panda kule juu milimani Machame,Marangu uone maendeleo yao.
Wahaya ukienda vijijini ndio utaona umasikini ulivyokidhiri.Kula kwao senene msidhani ni mila ni umasikini tena hata ngozi ya ngombe inakatwa vipande inachemshwa kisha inaanikwa inaliwa vipande vipande.
Upareni mjerumani alijenga makanisa mapema sana
 
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
wahaya wamepambana elimu wanao, wakati wachaga wana vyote elimu+biashara. kwahiyo wachaga wanavuna kote.
 
It is simple Wachaga ni WAFANYABIASHARA NA WAHAYA NI WAFANYAKAZI
Rekebisha kidogo
Wachaga ni wafanyakazi n'a wafanyabiashara
Yaani wapo kotekote sio kama nyie mmekalia angle Moja
Kuna Fani ambazo Wachaga wanaongoza mostly kuliko jamii yoyote mfano uhasibu,banking,maliasili na utalii
Nyingine walizobobea kwasana ni afya,Elimu, engineering,kilimo na mifugo na ardhi.
 
wacha upuuzi statistical Kagera ni moja ya mikoa maskini japokuwa wana ardhi ya rutuba na pia karibia kila kitu kama Kilimanjaro tena kwa kuzidi maana wana ardhi kubwa na ya rutuba haswa!
Mbona wanalisha mkoa wa shinyanga, mwanza na Tabora.
Ndizi, maharage na matunda.
Nazungumzia mwaka 9o+ wakati nakua hivyo vitu vilitoka kwa wahaya, usukumani hakukua na ndizi,maharage, nanasi, avocado nk.
Sasa iweje wawe masikini wakati wanalima matani ya mazao! Sijawahi fika kagera ila wametulisha sana usukumani, bila wao ndizi na maharage na matunda ingekuwa tabu.
 
Binafsi nilifika Kagera shule ziko nyingi kuliko wanafunzi, hospitali nyingi Sasa sijaelewa umasikini ni kukosa huduma za kijamii au kitu gani maana jamaa Kila huduma ya kijamii wanazo kuliko wengine

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Weeee,Kagera wanafunzi ni wengi kuliko shule,Kagera darasa Lina wastani WA wanafunzi 100+
Kilimanjaro madarasa ni Mengi Hadi yanakaliwa na mijusi
 
Umeishawahi kufika bukoba? Ukaona Hari ilivyo? richa ya, dar kuwa na ma Pato makubwa, lakini kuna maeneo ukifika, kama Tandale,kawe ukwamani, kuna sura ya, ufukara wa kutisha,
Ukikutana na, omba omba New York, haiamaniishi USA ni, maskini, inabaki, kuwa taifa tajiri.
Ukitaka kujua bukoba ilivyo Bora, angalia matokeo ya mitiani shule za msingi, secondary, inaongoza katika mikoa yote 27 ya bongo,
Ukikuta bukoba, stend,soko,barabara ni mbovu? Ilo ni tatizo, la mwananchi mmoja mmoja au Sera za serikali.
Kama kigezo kuwa kagera nj maskini, ni jumla ya mapato ya shugguri za kiuchumi, gawa kwa idadi ya watu,
Kama mikoa hauna viwanda, shughuri za uzalishaji kubwa, lazima utaona Hari ni mbaya,
Juzi, walisema dar, ukwasi kwa kila mwananchi umeongezeka, kiasi kwamba kila mkazi wa Dar ana miriki milioni 5 kibindoni!!
Hizi, ni takwimu tu, hazina uhalisia,
Viwanda vya bakhresa vipo hapa, ukichukua mapato ya bakhresa, unajumlisha na mapato ya bodaboda, harafu unstafuta wastani, hawa wananchi wa kipato cha chini, wataonekana wana mkwanja mrefu kumbe bure kabisa,
Haya, tuna maprofesa wengi, wafanyabiashara wengi, mzunguko mkubwa wa pesa, hazipo bukoba tu, tupo kila eneo nchi hii,
Ukfika masasi Lindi, eneo la Jeddah, hotel kubwa ni ya muhaya!
Umewahi kufika same, uone ufukara uliopo.
Iliongoza lini? Na mtihani gani?
Kilimanjaro kwanzia 2016 Hadi Sasa ndio kinara WA NECTA form four despite kuwa ndio mkoa wenye shule nyingi za secondary kuliko mkoa wowote Tanzania
 
Umeishawahi kufika bukoba? Ukaona Hari ilivyo? richa ya, dar kuwa na ma Pato makubwa, lakini kuna maeneo ukifika, kama Tandale,kawe ukwamani, kuna sura ya, ufukara wa kutisha,
Ukikutana na, omba omba New York, haiamaniishi USA ni, maskini, inabaki, kuwa taifa tajiri.
Ukitaka kujua bukoba ilivyo Bora, angalia matokeo ya mitiani shule za msingi, secondary, inaongoza katika mikoa yote 27 ya bongo,
Ukikuta bukoba, stend,soko,barabara ni mbovu? Ilo ni tatizo, la mwananchi mmoja mmoja au Sera za serikali.
Kama kigezo kuwa kagera nj maskini, ni jumla ya mapato ya shugguri za kiuchumi, gawa kwa idadi ya watu,
Kama mikoa hauna viwanda, shughuri za uzalishaji kubwa, lazima utaona Hari ni mbaya,
Juzi, walisema dar, ukwasi kwa kila mwananchi umeongezeka, kiasi kwamba kila mkazi wa Dar ana miriki milioni 5 kibindoni!!
Hizi, ni takwimu tu, hazina uhalisia,
Viwanda vya bakhresa vipo hapa, ukichukua mapato ya bakhresa, unajumlisha na mapato ya bodaboda, harafu unstafuta wastani, hawa wananchi wa kipato cha chini, wataonekana wana mkwanja mrefu kumbe bure kabisa,
Haya, tuna maprofesa wengi, wafanyabiashara wengi, mzunguko mkubwa wa pesa, hazipo bukoba tu, tupo kila eneo nchi hii,
Ukfika masasi Lindi, eneo la Jeddah, hotel kubwa ni ya muhaya!
Umewahi kufika same, uone ufukara uliopo.
Ufukara WA same hauwez kufanana hâta kidogo na WA Ngara
 
Najua umesema Same unamanisha Wapare.Kwa taarifa yako Wapare hawakai tambarare wako kule milimani.Hata wachaga ukiwatathmini kwa kuangalia mji wa Moshi utaona wako nyuma sana ila panda kule juu milimani Machame,Marangu uone maendeleo yao.
Wahaya ukienda vijijini ndio utaona umasikini ulivyokidhiri.Kula kwa senene msidhani ni mila ni umasikini tena hata ngozi ya ngombe inakatwa vipande inachemshwa kila inaanikwa inaliwa vipande vipande.
Upareni mjerumani alijenga makanisa mapema sana
Nna mdada wa ugweno namkubali sana, vipi hawa watu wakoje?
 
Mbona wanalisha mkoa wa shinyanga, mwanza na Tabora.
Ndizi, maharage na matunda.
Nazungumzia mwaka 9o+ wakati nakua hivyo vitu vilitoka kwa wahaya, usukumani hakukua na ndizi,maharage, nanasi, avocado nk.
Sasa iweje wawe masikini wakati wanalima matani ya mazao! Sijawahi fika kagera ila wametulisha sana usukumani, bila wao ndizi na maharage na matunda ingekuwa tabu.
Hujui usemacho,Yani Kagera iwalishe wasukuma WA mwanza,tabora shinyanga?
Aliyekwambia wasukuma wanakula ndizi ni nani? Wasukuma hula ugali na wali.
 
Una matatizo ya Akili
Mãendeleo yapo ndio maana ni mkoa WA 3 kwa watu wake kuwa na income kubwa
Ni mkoa WA kwanza kwa makazi bora ya kisasa vijijin
Ni mkoa unaoongoza kwa idadi kubwa ya shule za sekondar
Ni mkoa wenye miundombnu toshelezi kwa 95% kwanzia maji ya bomba,umeme,shule, hospital,zahanati,barabara safiView attachment 2788849
Sasa kwa nini wachagga msijilinganishe na top 5 yenu huko juu, kwa nini mnahangaika kujilinganisha na failures wahaya ambao wapo namba 25 kutokana na hizo takwimu
 
Sasa kwa nini wachagga msijilinganishe na top 5 yenu huko juu, kwa nini mnahangaika kujilinganisha na failures wahaya ambao wapo namba 25 kutokana na hizo takwimu
Kwasababu wahaya Wana mdomo mdomo WA kusema wamesoma kama Wachaga ilhali Elimu yao hai reflect Hali zao
 
Watu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.

Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.

Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?

Ni hayo tu.
Maendeleo yapi? Hujui kama Muhaya ndio kauleta umeme Bongo?
 
Spirit ya Wachaga ya kuendeleza kwao ilianza vizazi na vizazi nilienda kule Mahlangu nilimkuta Mzee anasema yeye kazaliwa kwenye bara bara ya lami huyo mtu uwezo wake wa kufikiri lazima utakua wa maendeleo tu ikiwa kijijini bara bara inapitika akitaka kufanya ujenzi hawezi kushindwa...Wachaga kila nikiwatembelea naona kabisa wana mawazo tofauti kabisa na vijiji vya makabila mengine...
 
Back
Top Bottom