Muislam hta awe kahitimu kuusoma msahafu tu, hakuna hata orofesa wenu uchwara mmoja ataempata uelewa wake.Wivu utakuua wewe kibibi
Unaona wivu n'a Elimu Yako ya memkwa uliosomea huko makunduchi
Ukisema umesoma means Elimu iinyeshe reflection, Wachaga Elimu yao Ina reflect maisha murua,sio unasema umesoma alafu mkoa Wako unaongoza kwa umaskin Kila sikuOkey kumbe wanadai wamesoma kama wachaga kitu ambacho ni kweli lakini hawajadai wana maisha makubwa kuliko wachagga . Sasa shida iko wapi
Ukweli mtupu mkuuSpirit ya Wachaga ya kuendeleza kwao ilianza vizazi na vizazi nilienda kule Mahlangu nilimkuta Mzee anasema yeye kazaliwa kwenye bara bara ya lami huyo mtu uwezo wake wa kufikiri lazima utakua wa maendeleo tu ikiwa kijijini bara bara inapitika akitaka kufanya ujenzi hawezi kushindwa...Wachaga kila nikiwatembelea naona kabisa wana mawazo tofauti kabisa na vijiji vya makabila mengine...
DuhWa kuzaliwa na wa ukoo
Ndivyo mnavyodanganyana huko Masjid? [emoji1][emoji1][emoji1] Pole sana bibi Elimu ndio Kila kitu unaweza kutibiwa hospital bila taaluma ukatumia msaafu?Muislam hta awe kahitimu kuusoma msahafu tu, hakuna hata orofesa wenu uchwara mmoja ataempata uelewa wake.
Anachekesha eti anafananisha taaluma na msaafu[emoji1][emoji1][emoji1]Kumbe hata kuandika ujui vizuri wew
Mahlangu mabondeni ni safu za Mlima Kilimanjaro sasa nenda huko chini ukutane na nyumba kama zimeoteshwa wakati pana vijiji vipo bara barani tuu siwezi kuvitaja bado wana nyumba za tembe na watoto wao wapo Daslm vyeo vikubwa tuu...mtu anaenda nyumbani kwa kujificha ficha ili kuficha aibu na sio kutaka kubadilisha mazingira ya nyumbani wengine wanaenda kwao huku wakifikia Hotel vima kweli harafu unataka maendeleo ya nyumbani...Ukweli mtupu mkuu
Huko uchagani majumba ya kifahari Hadi unashangaa,heshima ya mchaga ni nyumbani kwanza,na Wachaga Tanzania nzima wapo na Kila awapo lazma aweke assetMahlangu mabondeni ni safu za Mlima Kilimanjaro sasa nenda huko chini ukutane na nyumba kama zimeoteshwa wakati pana vijiji vipo bara barani tuu siwezi kuvitaja bado wana nyumba za tembe na watoto wao wapo Daslm vyeo vikubwa tuu...mtu anaenda nyumbani kwa kujificha ficha ili kuficha aibu na sio kutaka kubadilisha mazingira ya nyumbani wengine wanaenda kwao huku wakifikia Hotel vima kweli harafu unataka maendeleo ya nyumbani...
Ndiyo maana humuendelei. Ujauji!Stori bila statistics ni porojo.
Chanzo cha stori yako ni kipi!
Maendeleo gani unazungumzia?
Ukisema maendeleo una maana gani
Maendeleo katika nyanda zipi?
MBALI NA HAPO,UNAONESHA CHUKI DHIDI YA KABILA HUSIKA.
Huo ndiyo ukweli, ukipenda upokee ukiona tunadanganya, tuwache wenyewe, wewe una dini yako nasi tuna dini yetu, chuki ya nini?Ndivyo mnavyodanganyana huko Masjid? [emoji1][emoji1][emoji1] Pole sana bibi Elimu ndio Kila kitu unaweza kutibiwa hospital bila taaluma ukatumia msaafu?
Nimekuuliza unaweza kufanyiwa upasuaji kwa kutumia msaafu bila Elimu?Huo ndiyo ukweli, ukipenda upokee ukiona tunadanganya, tuwache wenyewe, wewe una dini yako nasi tuna dini yetu, chuki ya nini?
Mkoa unahusiana nini na juhudi za mtu binafsi mimi binafsi sipajui bukoba wala sitawahi kupajua lakini asili yangu muhaya, pamoja na ndugu na jamaa naowafahamu wapo uko abroad sijui kama watarudi hata Dar es salaam hacha bukoba huko ata majina ya vijiji vyao sjui kama wanakumbukaUkisema umesoma means Elimu iinyeshe reflection, Wachaga Elimu yao Ina reflect maisha murua,sio unasema umesoma alafu mkoa Wako unaongoza kwa umaskin Kila siku
Wahaya si weziWatu wa Kagera hasa Wahaya, sambamba na Wachaga tunaambiwa elimu ilifika huko mapema kabla ya maeneo mengine nchini.
Tunaambiwa elimu ni ufunguo wa maisha, ila naona huu ufunguo umefanikiwa zaidi kwa wachaga kuliko wahaya.
Chanzo cha tatizo ni nini, hawa watani wangu walikwama wapi?
Ni hayo tu.
Mchaga anatofautiana na muhaya kwenye uwekezaji eneo alipotoka, maeneo mengi ya kilimanjaro yamekuwa na majengo alikadhalika miundombinu kama shule pia kunyanyuana kwa mitaji kwasababu waliofanikiwa kupata chochote walirejea nyumbani na wakizeeka watarudi huko, hiii tofauti kabisaaa na wahaya mfano mchukulie marehemu ruge mutahaba nyumba aliyokuwa anaishi dsm na alipoenda kuzikwa kama alishindwa kujenga hata kusaidia jamii ya kwao asingeweza. Hii ndo tofauti ya watu wa jamii hizi.Mkoa unahusiana nini na juhudi za mtu binafsi mimi binafsi sipajui bukoba wala sitawahi kupajua lakini asili yangu muhaya, pamoja na ndugu na jamaa naowafahamu wapo uko abroad sijui kama watarudi hata Dar es salaam hacha bukoba huko ata majina ya vijiji vyao sjui kama wanakumbuka
Na maswali ya hovyo hovyo...Ndiyo maana humuendelei. Ujauji!
Prof Lipumba.Muislam hta awe kahitimu kuusoma msahafu tu, hakuna hata orofesa wenu uchwara mmoja ataempata uelewa wake.