π€£sawa mkuu tumeskiaHii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Naunga mkono hoja ππBaadhi ya Wanajeshi wengi ni washamba sana, wakipata Hela ni shida tupu sifa kibao.
Sikatai wewe kudai haki yako, naona unaongeza mdai, mwanzo ulilalamikia kukopwa, baadae tena wanamshika mkeo makalio, mimi nimetilia shaka tu hayo madai yako, yanaweza kuwa ya uongo kwa nia ya kuwachafua mbele ya jamii, hivi kumshika mke wa mtu makalio mbele ya mume wake siyo jambo dogo, nashangaa ulikaa kimya, ukitagemea mloge je na kama ni mchawi.Hata ingekuwa wew kaka lazima udai haki yako
π Na wewe teacher nini , alafu mkiwa shuleni mnakuwaga mnatukazia kweli wazazi mnajifanya ndimuππ€£π€£π€£Tuacheeeee
Ndiyo maana Ulipohama mada, ukaandika mkeo wanamshika makalio, nikajua unaandika uwongo, umepishana lugha na mmoja, ukaamua kuwachafua wote.Kaka nakaa mtaa wenye madini mengi sana mbona wengine wananilipa kwa wakati ila huyu mmoja ndo ananifanya mimi kama nyani anipi pesa yangu kwa wakati.
π€£π€£π€£π€£ππ Na wewe teacher nini , alafu mkiwa shuleni mnakuwaga mnatukazia kweli wazazi mnajifanya ndimuπ
Msalimie barua hapo nachingweaMe nawajua nafanya nao kazi wengi tatizo kuzalisha ovyo
Nachingwea wenyeji ni wamwera, ulitakiwa uandike Mwamwejo.Msalimie barua hapo nachingwea
Uchidachi
Wakati huo mshahara wao ni shiling ngapi?Sio mshahara kuna posho wanapewa tena hii ni kwa majeshi yote mpaka polisi ulizia hapahapa jf upewe hii elimu..kuna posho ya nyumba,n.k....inafika mpaka laki 3 ulizia
Punguza ujuaji wakati haujui,eti asiye na familia hulipwa 300,000.Unajua maana ya ration allowance wewe?Nina marafiki polisi,uhamiaji. A zimamoto na wanajeshi wanalipwa allowance nyingi katikati za kisheria tena kama una familia ndo unapewa hela nzuri maana asiye na familia anapewa 300000 hapo baada ya week unapokea mshahara ila card zao zimeshikiliwa micro credit
Mkuu nisahihishePunguza ujuaji wakati haujui,eti asiye na familia hulipwa 300,000.Unajua maana ya ration allowance wewe?
Mkuu mshahara wa mtu ni siri yake na inategemea cheo,umri kazini n.kWakati huo mshahara wao ni shiling ngapi?
Mimi kuna mmoja namdai milioni 7, zilikuwa za kulipia mafundi site, nilisimamia nyumba yake na nimeshamkabidhi na amehamia tayari since 17 october mwaka jana.
Hilo deni la malipo ya mwisho lina mwaka sasa ni kupigwa kalenda tu, mbaya zaidi ni jirani yangu kabisa nyumba zinatazamana , nashindwa kumuwashia moto kutokana na huu ujirani.
Kuna project anataka kunipa, ndio imekuwa kisingizio kwamba tukianza project mpya ntakulipa kwanza deni lako ndio tuendelee.
Mi namuangalia tu...
wamekaa bila kupigana mda mrefu
Labda watapigania Kenya, hujui wakimbizi wengi ni sisi tusio na bunduki, tukikimbia wenye bunduki, na hiyo kukimbia ni bahati pia.Siku wakipigana wee utakua wapi