Mimi sio "age go sana", ila nina makaka na dada wanampita mbali na wengine wanalingana na huyo SHH.Bro wewe utakua "age go Sana"... Mama Samia ni dada kwako?
Facts tupuPicha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.
Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.
Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.
Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.
#MaendeleoHayanaChama
Kitu ambacho c sahihi nikumwita mkee MAMAKwani ukimwaadress huyu mama utapungukiwa na nini?
Utakuta jinga kama wewe mke wako unamuita mama.
Kazi ipoo.....Picha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.
Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.
Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.
Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.Mimi sio "age go sana", ila nina makaka na dada wanampita mbali na wengine wanalingana na huyo SHH.
Hivi wewe huoni kuna shida sehemu mtu kama Mbowe au Lissu kumuita SSH mama??
Nimekataa huo mkumbo, kwakua anapendwa kuitwa mama badala ya Rais basi mimi nitamwita dada.
π€£π€£π€£sina komentiKila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
wewe ndio sio ccm? huipendi? mmhWewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.
Sasa imagine kinchi tumuite Rais wetu Dada Samia badala ya mama Samia?
Aisee siipendi ccm lakini chuki zako binafsi zimekutia upofu na ukapofuka haswaa.
Na nikukere vizuri mama yupo madarakani mpaka 2030 kwa kibali cha afya njema na uhai tu kutoka kwa Mungu lakini otherwise hakuna cha kuzuia hilo lisitokee.
Tuache ulalamishi someni mchezo watu wanakulaje na nyinyi muwe connected.
Ni wajinga lakini pia ni athari za dikteta uchwara kudhibiti taarifa na kuwaaminiaha ujinga.Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Mama ni jina la heshima tu haimanishi kuwa anaweza kukuzaaMimi sio "age go sana", ila nina makaka na dada wanampita mbali na wengine wanalingana na huyo SHH.
Hivi wewe huoni kuna shida sehemu mtu kama Mbowe au Lissu kumuita SSH mama??
Nimekataa huo mkumbo, kwakua anapendwa kuitwa mama badala ya Rais basi mimi nitamwita dada.
Kwenye siasa kuna Cartel, hata wewe tukikupa madaraka leo huwezi kuwatosa wana.nisiwe mnafiki,mimi niliogopa sana Makamba na Riz1 kuwa mawaziri wizara vyeti
Bro wewe utakua "age go Sana"... Mama Samia ni dada kwako?
Nakubaliana na wewe 100%Ni wajinga lakini pia ni athari za dikteta uchwara kudhibiti taarifa na kuwaaminiaha ujinga.
Hii ndiyo Hali pia iliyojitokeza kipindi cha Nyerere na kuwaathiri viongozi waliofuatia.
Mwisho,ukichukua leo utendaji wa Samia mwaka 1 vs Mwendazake mwaka 1 ,Samia kampita mbali Mwendazake.
Wewe utakuwa mgeni hapa JF.wewe ndio sio ccm? huipendi? mmh
Hiyo awamu ya sita nani aliipigia kuraKila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Mkuu unatulisha matango Poli hayo macho mazima kweli apite humuJF ni kubwa humu Kuna Hadi wenye miaka 72.kuna jirani yangu mmoja anatumia Sana jukwaa hili yeye ni above 70.
Awamu ya6 itauza nchi uko mbeleni
Wananchi tuna imani Sana, na awamu ya sita. Walio kwenye mtandao, sio watanzania, watanzania, au mtanzania lakini mvivu wa kufanyakazi, anasubiri aletewa alipo.Fanyakazi acha kulia lia.Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.
Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.
Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?
Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Acha kulia lia Fanyakazi.Viongozi wa awamu ya sita waelewe kuwa wanao watawala wanaishi katika dunia ya utandawazi. Wanaona yanayotokea Ghana, Indonesia, Kenya na maziri yake wangependa yatokee Tanzania.
Siasa za propaganda zilishapitwa na wakati.