Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Bro wewe utakua "age go Sana"... Mama Samia ni dada kwako?
Mimi sio "age go sana", ila nina makaka na dada wanampita mbali na wengine wanalingana na huyo SHH.

Hivi wewe huoni kuna shida sehemu mtu kama Mbowe au Lissu kumuita SSH mama??

Nimekataa huo mkumbo, kwakua anapendwa kuitwa mama badala ya Rais basi mimi nitamwita dada.
 
Picha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.

Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.

Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.

Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.

#MaendeleoHayanaChama
Facts tupu
 
Picha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.

Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.

Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.

Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.

#MaendeleoHayanaChama
Kazi ipoo.....
 
Mimi sio "age go sana", ila nina makaka na dada wanampita mbali na wengine wanalingana na huyo SHH.

Hivi wewe huoni kuna shida sehemu mtu kama Mbowe au Lissu kumuita SSH mama??

Nimekataa huo mkumbo, kwakua anapendwa kuitwa mama badala ya Rais basi mimi nitamwita dada.
Wewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.

Sasa imagine kinchi tumuite Rais wetu Dada Samia badala ya mama Samia?

Aisee siipendi ccm lakini chuki zako binafsi zimekutia upofu na ukapofuka haswaa.

Na nikukere vizuri mama yupo madarakani mpaka 2030 kwa kibali cha afya njema na uhai tu kutoka kwa Mungu lakini otherwise hakuna cha kuzuia hilo lisitokee.

Tuache ulalamishi someni mchezo watu wanakulaje na nyinyi muwe connected.
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
🤣🤣🤣sina komenti
 
Wewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.

Sasa imagine kinchi tumuite Rais wetu Dada Samia badala ya mama Samia?

Aisee siipendi ccm lakini chuki zako binafsi zimekutia upofu na ukapofuka haswaa.

Na nikukere vizuri mama yupo madarakani mpaka 2030 kwa kibali cha afya njema na uhai tu kutoka kwa Mungu lakini otherwise hakuna cha kuzuia hilo lisitokee.

Tuache ulalamishi someni mchezo watu wanakulaje na nyinyi muwe connected.
wewe ndio sio ccm? huipendi? mmh
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Ni wajinga lakini pia ni athari za dikteta uchwara kudhibiti taarifa na kuwaaminiaha ujinga.

Hii ndiyo Hali pia iliyojitokeza kipindi cha Nyerere na kuwaathiri viongozi waliofuatia.

Mwisho,ukichukua leo utendaji wa Samia mwaka 1 vs Mwendazake mwaka 1 ,Samia kampita mbali Mwendazake.
 
Mimi sio "age go sana", ila nina makaka na dada wanampita mbali na wengine wanalingana na huyo SHH.

Hivi wewe huoni kuna shida sehemu mtu kama Mbowe au Lissu kumuita SSH mama??

Nimekataa huo mkumbo, kwakua anapendwa kuitwa mama badala ya Rais basi mimi nitamwita dada.
Mama ni jina la heshima tu haimanishi kuwa anaweza kukuzaa
 
nisiwe mnafiki,mimi niliogopa sana Makamba na Riz1 kuwa mawaziri wizara vyeti
Kwenye siasa kuna Cartel, hata wewe tukikupa madaraka leo huwezi kuwatosa wana.

Magufuli alifanya hivyohivyo pia kuwajaza kanda ya ziwa

Dr Slaa akiwa katibu mkuu wa Chadema kazi za kutangazwa tenda za kutengeneza software alikuwa akimpa demu wake Josephine Mushumbushi, hadi ID ya Dr slaa hapa JF akawa anaitumia Josephine na watu wakamdharau kabisa Dr.
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Hiyo awamu ya sita nani aliipigia kura
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya,au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Wananchi tuna imani Sana, na awamu ya sita. Walio kwenye mtandao, sio watanzania, watanzania, au mtanzania lakini mvivu wa kufanyakazi, anasubiri aletewa alipo.Fanyakazi acha kulia lia.
 
Viongozi wa awamu ya sita waelewe kuwa wanao watawala wanaishi katika dunia ya utandawazi. Wanaona yanayotokea Ghana, Indonesia, Kenya na maziri yake wangependa yatokee Tanzania.

Siasa za propaganda zilishapitwa na wakati.
Acha kulia lia Fanyakazi.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom